- Thread starter
- #41
Yule jamaa aliyekuwa akitajwa kama Kakobe, sijui hatma yake itakuwaje
Kingai na genge lake la wasiojulikana wanajua alipo. Wawajibishwe kumrejesha akiwa hai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule jamaa aliyekuwa akitajwa kama Kakobe, sijui hatma yake itakuwaje
Kwa hyo mnafurahia mbowe" kufika Bei"
Kawaulize washirika wenu "Zitto na sheikh Zuberi" na misamaha uchwara yao kama kafika bei.
Sasa unadhani kasamehewa BURE?
shtuka
Tena wengine wanatakiwa washushwe vyeo, Ramadhani Kingai na wenzake akina inspector Mahita avulie rank hata tatu kisha wwekwe ofisini tu wawe wabeba mafaili wasiwekwe katika nafasi za kukutana na raia, iwe ni raia wema au wahalifu. Maana kwa sababu yao jeshi la polisi, ofisi ya dci, DPP na hata ofisi kuu ya taifa-rais na nchi kwa ujumla zimedhalilika sana ndani na nje ya nchiChereko chereko zinapoendelea kufuatia kuachiwa huru Mh. Freeman Mbowe, kadhia hii isiishe bila fidia wala watu fulani fulani kuwajibika au hata kuwajibishwa.
Kwenye kadhia hii kuna watu wamepotezwa, watu wameteswa, utaratibu wa sheria umekiukwa, watu wamedhulumiwa, nk.
Yote haya ikiwa ni ufedhuli mkubwa uliopitiliza usioweza kuvumilika.
Asiachwe awaye yote kwa ukiukwaji wowote uliofanyika.
Kama mamlaka haichukui hatua, waovu hawa na waburuzwe mahakamani wao kama raia.
Mjinga we we chupi linakupwayaUngesema haya Kama mngeshinda kesi
Wewe na washirika wako hao Zitto - sambarau na Zuberi - sheikh ubwabwa, mna msiba mzito.
Wekeni matanga!
Kosa lipi hilo ambalo mwenzetu umeliona?Mkuu kwanini wawajibishwe?..kwani hukumu imetolewa kuwa mbowe ameshinda kesi?...kumbuka kuna mtego mbowe kawekewa..mahakama ilimkuta na kosa kabla ya leo DPP hajaachia unyoya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahita tia ndani.Chereko chereko zinapoendelea kufuatia kuachiwa huru Mh. Freeman Mbowe, kadhia hii isiishe bila fidia wala watu fulani fulani kuwajibika au hata kuwajibishwa.
Kwenye kadhia hii kuna watu wamepotezwa, watu wameteswa, utaratibu wa sheria umekiukwa, watu wamedhulumiwa, nk.
Yote haya ikiwa ni ufedhuli mkubwa uliopitiliza usioweza kuvumilika.
Asiachwe awaye yote kwa ukiukwaji wowote uliofanyika.
Kama mamlaka haichukui hatua, waovu hawa na waburuzwe mahakamani wao kama raia.
Unayasoma wapi hayo ewe mburumundu?Sheikh zuberi mbaya tena?
Mahita tia ndani.
Kingai tia ndani.
Na wengine wengi
Unayasoma wapi hayo ewe mburumundu?
Si wewe mwenyewe umeandika?
Mbowe kutoka ni jambo zuri.
Ila zile harakati zake ataziacha.
keshachukua chake mapema
Mastermind wa kesi yupo? Tuseme tu imekwisha!
Hapana asilipe kisasi amuache tu ndiyo binadamu tulivo Mana yake Mbowe ndo anapata Neema na Baraka zaidiMbowe afanye juu chini akachukue nyumba yake anayokaa yule padri mpora wake za watu.
Kimeingia mahala pekeee🐞Chokoa chokoa pweza binadamu hutamweza