Hapana asilipe kisasi amuache tu ndiyo binadamu tulivo Mana yake Mbowe ndo anapata Neema na Baraka zaidi
Kimeingia mahala pekeee🐞
Subiri hotuba yake mara tu baada ya kutoka gerezani.
Usisahau sehemu ya hukumu ni hii hapa:
View attachment 2138496
Ipitie pitie vizuri kujiridhisha.
Kwani angurumapo Simba mcheza nani?
wewe ni mbulula kama kesi imeondolewa mahakamani maana yake yote yaliyosemwa wakati wa proceedings ni closed case kasome sheriaMkuu kwanini wawajibishwe?..kwani hukumu imetolewa kuwa mbowe ameshinda kesi?...kumbuka kuna mtego mbowe kawekewa..mahakama ilimkuta na kosa kabla ya leo DPP hajaachia unyoya
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhusika mkuu ni rais mwenyeweWaanze na IGP
Tuhuma bila kuthibitishwa ni usanii mtupu, msubirini 2023 ataondoka, bado mna chini ya mwaka mmoja kuendelea kumvumilia.Mbowe na yeye awajibike kwa kuwa na tuhuma za ugaidi.
Aachane na siasa sasa.
Integrity ya kuongoza chama ukiwa umetoka kwenye kesi ya Ugaidi haipo tena.
Hakuna mahakama iliyosema hana hatia.
Bali kesi imefutwa.
Hatujasikia utetezi wake hivyo bado hatuna uhakika wa lolote kuhusu tuhuma zake.
Kama kweli ana akili angejitetea ila kukubali kuondoka bila kujitetea na hukumu ya mahakama kumsafisha then bado tuhuma zinabakia vile vile.Tuhuma bila kuthibitishwa ni usanii mtupu, msubirini 2023 ataondoka, bado mna chini ya mwaka mmoja kuendelea kumvumilia.
Usilazimishe werevu kuvunja sheria kwa ushamba wako, DPP amepewa mamlaka kisheria kuondoa shauri mahakamani kama hana interest nalo, wewe unalazimisha Mbowe aendelee kujitetea licha ya DPP kutokuwa na nia hiyo kwa sheria ipi?Kama kweli ana akili angejitetea ila kukubali kuondoka bila kujitetea na hukumu ya mahakama kumsafisha then bado tuhuma zinabakia vile vile.
Mnamiaka 30 kwenye siasa ila makosa ya vyama vya upinzani ni yale yale siku zote.
Sirro na mkurugenzi wa usalama wa taifa watimuliwe kwa kuliaibisha taifaChereko chereko zinapoendelea kufuatia kuachiwa huru Mh. Freeman Mbowe, kadhia hii isiishe bila fidia wala watu fulani fulani kuwajibika au hata kuwajibishwa.
Kwenye kadhia hii kuna watu wamepotezwa, watu wameteswa, utaratibu wa sheria umekiukwa, watu wamedhulumiwa, nk.
Yote haya ikiwa ni ufedhuli mkubwa uliopitiliza usioweza kuvumilika.
Asiachwe awaye yote kwa ukiukwaji wowote uliofanyika.
Kama mamlaka haichukui hatua, waovu hawa na waburuzwe mahakamani wao kama raia.
IGP zero alimlisha mazaa tozo matango poli!Chereko chereko zinapoendelea kufuatia kuachiwa huru Mh. Freeman Mbowe, kadhia hii isiishe bila fidia wala watu fulani fulani kuwajibika au hata kuwajibishwa.
Kwenye kadhia hii kuna watu wamepotezwa, watu wameteswa, utaratibu wa sheria umekiukwa, watu wamedhulumiwa, nk.
Yote haya ikiwa ni ufedhuli mkubwa uliopitiliza usioweza kuvumilika.
Asiachwe awaye yote kwa ukiukwaji wowote uliofanyika.
Kama mamlaka haichukui hatua, waovu hawa na waburuzwe mahakamani wao kama raia.
Si nilikwambia?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama kweli ana akili angejitetea ila kukubali kuondoka bila kujitetea na hukumu ya mahakama kumsafisha then bado tuhuma zinabakia vile vile.
Mnamiaka 30 kwenye siasa ila makosa ya vyama vya upinzani ni yale yale siku zote.
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mwambieni mbowe awe na adabu.
Si wewe, Kingai, Sirro na Mburumundu wote. Yamepigwa vitu vizito utosini.
Hayaamini!
JESHJ LA POLISI LIANDAE MTAALA WA KUWAFUNDISHA ASKARI WAKE PGO. YAAANI NI AIBU ASKARI WA CHEO CHA JUU ANAULIZWA KUHUSU PGO ANASEMA HAJUI! POLISI WAPANDISHE MAAFISA WAO VYEO BAADA YA KUFAULU SOMO LA PGO.Tena wengine wanatakiwa washushwe vyeo, Ramadhani Kingai na wenzake akina inspector Mahita avulie rank hata tatu kisha wwekwe ofisini tu wawe wabeba mafaili wasiwekwe katika nafasi za kukutana na raia, iwe ni raia wema au wahalifu. Maana kwa sababu yao jeshi la polisi, ofisi ya dci, DPP na hata ofisi kuu ya taifa-rais na nchi kwa ujumla zimedhalilika sana ndani na nje ya nchi
JESHJ LA POLISI LIANDAE MTAALA WA KUWAFUNDISHA ASKARI WAKE PGO. YAAANI NI AIBU ASKARI WA CHEO CHA JUU ANAULIZWA KUHUSU PGO ANASEMA HAJUI! POLISI WAPANDISHE MAAFISA WAO VYEO BAADA YA KUFAULU SOMO LA PGO.
Kwa unafiki mpo vizuri.
Hapa kuna kudai katiba mpya KWELI?