Hivi unadhani angekulia Kenya au kuwa na uraia wa Kenya angefika hapo alipofika?
Labda JB au Jackie Wolper wanawezathubutu someday
Labda JB au Jackie Wolper wanawezathubutu someday
Dr. Slaa na Mh. Mbowe wananuka damu.
Amejitahidi. Ila sidhani kwa maadili yetu ya Kiafrika kuna sababu ya kujivunia.
Ile movie huweza angalia na Wazazi wako wala hata mdogo wako. Adult scene zipo nyingi sana. Mfano. Pale Lupita alipokuwa akichwapwa bakola chuchu zinaonekana na ------ yake meusi yapo wazi.
Sidhani kama ile scene angecheza Mbongo mngekuja hapa kumshangilia.
Watanzania tuache unafki.
but sanaa kasoma us iyo nayo imemsaidia na lugha pia huyo wema hakuwahi kufikiria kuwa mwigizaji alikuwa kwenye urembo tu wahusika wakampenda wakamvutia huko but still wasanii wetu wengi hawana elimu wanaingia tu kwavile wanahisi wanajua kuigiza
Chuo cha sanaa Bagamoyo si kinafundisha uigizaji?
Kinachotokea kwa wasanii wa tanzania ni mwendelezo wa hekaya na kasumba ya watanzania kukosa focus ambayo labda husababishwa na upeo mdogo au mitazamo isiyokua huru, na hii ni hata kwa wanafunzi wetu ndo maana form six mtu anamaliza hajajua anatakiwa chuo kusoma kozi gani, wanasiasa nao pia hawako focused ndo maana hata sababu za taifa kua masikin hawazijui, hata jamii forum members wengi hawako focused ndo maana mnatukana hovyo na kwa werevu akikuona umetukana km mimi nakudharau tu , ndo maana kenyan na rwandees leo hii wanatuona km vichwa punguani kwa tunavokosa umakin ktk mambo yetu.
Wewe umeona tatizo lipo kwa waigizaji tu ? juzi kilichotokea kilimanjaro marathon haukuona au ? wakenya ndio wametamba wabongo tukawa wasindikizaji......
We ungesema tu watanzania ni janga na sio waigizaji peke yao.
Labda Sembe limewakomaza.
Unajua hawa dada zetu huwa wanaendekeza ule mchezo wa baba na mama wakiwa wadogo lazima kilometer zisogee na kuonekana wamezeeka! Na pia ukishazoea kutembea na wazee lazima nao wazeeke mapema!