Waigizaji Tanzania mnamuona Lupita Nyong'o

Waigizaji Tanzania mnamuona Lupita Nyong'o

Udanganyifu wa umri wa celeb wa bongo bado ni janga la taifa,miaka yao huwa inachange kutokana na matukio.Wema kazaliwa kati ya mwaka 1985-1986.
 
heee nimependa huwo msuko wa nywele wa wema lol......
heaven on earth uje unisuke na mie lol

sent from my blackberry 9320 using jamiiforums
ahahaaa mambo ya maweaving hayo! Jamani shepu ya wema ule mpododo wa ukweli hv ni mchina ama real?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Wema kila siku yupo 22 ..au ni yale ya miaka 1000 ni kama siku moja kwake? Amekuwa mungu?
Sijui chibu ana mingapi mana nasikia wema kamzidi miaka 4


Lupita angekua bongo movie tungesikia ana miaka 19.
Wadada mashavu yanachambua kunde ila kujifanya watoto.
Mi naona kudanganya umri hata hakusaidii kitu maana sura itakuumbua tu.
 
Inasemekana daimondo anashindana na Punda halafu chukua na harakati za sembe kupakia mzigo na kupakua uje ujumlishe na kupigwa mbupu kama dawa kweli sura na viungo vitaacha kuwa tepe tepe??!!!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Watanzania kwa majungu nawapa phd! Puuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Mi nilidhan wako pamojaa Mareka picha ya pamojaa lol,afadhali hata wolper analipa kiasi Wema ashachinaa,hapo Lupita anaonekana mdogo wao wakubwaa
 
Wema manywelr ya bandia yanamsaidia mbona hapo mbaya hivyo lol
 
ahahaaa mambo ya maweaving hayo! Jamani shepu ya wema ule mpododo wa ukweli hv ni mchina ama real?

Mchina kila kitu chake feki lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Leo sio mara yangu ya kwanza kumsikia Lupita ila leo ndio nimeujua umri wake halisi.Lupita amezaliwa 1983 kwa hiyo ana miaka 31.
Ila inashangaza jinsi ambavyo Wema anayedai ana miaka 22 na Wolper anayedai ana 26 mbona sura zao zimelegea sana as if wamekula christmas nyingi kupita dada yao Lupita.

Kwa kweli ni vigumu mtu kunishawashi kuwa hawa warembo wetu ni wa wadogo kuliko Lupita.
Hawa dada zetu wamezidi kudanganya umri kama Wolper anaonekana kabisa yuko mid 30 ila anajifanya mdogo na kubehave kama teenager.

Dada zangu umri mkubwa nao una faida zake na pia kuishi kwingi ni baraka.Kwanini mnajirudisha nyuma wakati nyuso zetu zinaonesha nyie ni watu wazima?Au mnadhani mkisema umri wenu ndio hatutafurahia kazi zenu au mnaogopa nini hadi mtudanganye wakati tuna macho na tunaona kabisa mu wakubwa zaidi ya mnavyodai.

View attachment 143333View attachment 14333531 years old Lupita.

View attachment 143336View attachment 143337View attachment 143338View attachment 143340View attachment 14334122 years old miss Sepetu.

View attachment 143342View attachment 143343View attachment 14334526 years old Wolper

Hata kama wakweli matendo yao ndio yanawazeesha mapema,wanalambana muno na wanaume wataacha kuchakaa mapema hata wakiwa na umri mdogo?
 
Wameshughulika sana na mzee wa kazi na dawa, mara wema,mara joketi na kadhalika huyu ni mmoja wengine wengi
 
Tatizo la bongo kujikoboaaaa....wanawake wanazeeka haraka na lishe duni, afya mgogoro na kujikoroboaa kwa mavipodozi makalimakali
 
Back
Top Bottom