Waigizaji Tanzania mnamuona Lupita Nyong'o

Waigizaji Tanzania mnamuona Lupita Nyong'o

lupita ni mzuri na anauzuri wa asili,hamna mkorogo kwa lupita,naipenda sana rangi ya asili
 
Zile speculation kuwa huenda star mpya wa Hollywood Lupita Nyong'o ana uhusiano wa siri na mwigizaji mwenzake Jared Leto zimezikwa na speculation mpya kuwa huenda rapper na mwimbaji wa Somalia aitwaye K'naan ndiye mpenzi wa Lupita.​
Picha mbalimbali zilizosambaa siku moja baada ya Tuzo za Oscar zikiwaonesha Lupita na rapper K'naan mwenye asili ya Somalia, wakiwa katika pozi zinazoashiria ukaribu mkubwa ndio zimezua speculation hizo.
lupi-knaan-3.jpg
Katika picha hizo K'naana anaonekana pia amembebea tuzo yake ya Oscar.
lupi-knaan-5.jpg

Keinan Abdi Warsame a.k.a K'naan ambaye amewahi kuhit na single yake ‘Waving Flag' mwaka 2010, walionekana wakiwa pamoja siku ya Jumatatu wakati Lupita akitoka kufanya mahojiano na Live.
lupi-knaan-6.jpg

Ripoti zinasema kuwa K'naan pia alikuwepo katika matukio ya awali kabla ya siku ya Tuzo za Oscar kumpa support Lupita, na Lupita amekuwa akisema jinsi anayopenda muziki wake kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, na mwezi uliopita (February 27) alihudhuria show yake Hotel Café, huko Los Angeles ambayo pia alimsaidia kumfanyia promo.
lupi-knaan-2.jpg
Hii ni picha waliyopiga Ava DuVernay, K'naan na Lupita december 2013 wakisheherekea nomination za SAG Awards
lupi-knaan-1.jpg
Moja ya post za K'naan ambazo inathibitisha ukaribu wao

bkuHABARI Blog
 
Hahahahahahaha


Kweli peruvian hair zinasaidia

Hapo wema katokelezea kama bibi kizee

Hahahahahah


Utadhani ana miaka 50
 
Leo sio mara yangu ya kwanza kumsikia Lupita ila leo ndio nimeujua umri wake halisi.Lupita amezaliwa 1983 kwa hiyo ana miaka 31.
Ila inashangaza jinsi ambavyo Wema anayedai ana miaka 22 na Wolper anayedai ana 26 mbona sura zao zimelegea sana as if wamekula christmas nyingi kupita dada yao Lupita.

Kwa kweli ni vigumu mtu kunishawashi kuwa hawa warembo wetu ni wa wadogo kuliko Lupita.
Hawa dada zetu wamezidi kudanganya umri kama Wolper anaonekana kabisa yuko mid 30 ila anajifanya mdogo na kubehave kama teenager.

Dada zangu umri mkubwa nao una faida zake na pia kuishi kwingi ni baraka.Kwanini mnajirudisha nyuma wakati nyuso zetu zinaonesha nyie ni watu wazima?Au mnadhani mkisema umri wenu ndio hatutafurahia kazi zenu au mnaogopa nini hadi mtudanganye wakati tuna macho na tunaona kabisa mu wakubwa zaidi ya mnavyodai.

View attachment 143333View attachment 14333531 years old Lupita.

View attachment 143336View attachment 143337View attachment 143338View attachment 143340View attachment 14334122 years old miss Sepetu.

View attachment 143342View attachment 143343View attachment 14334526 years old Wolper

Mkuu mizigo wanayobeba imezidi, mfano MAWE, ebu wahesabu uone kama mwili hawezi choka na kurepweta
 
picha ya wema imeniacha hoi hyo mizigo wanayobeba uki compare Lupita anaonekana mdogo kama teeneger wao kama bibi kizee
 
Hiyo picha ya wema aliviziwa wakati wa kupigwa ama?
maana anaonekana ni kikongwe wa longtime.
 
hizo picha za Wema naona hata Anna Makinda ana nafuu ...
 
Back
Top Bottom