Waimba kwaya wanaokata miuno na kunengua kanisani wanamsifu Mungu kweli?

ila tuache utan mapenz matamu nyiny
 
Ambao hawachezi kanisani wana hoja ya msingi.

Ila nyinyi ambao mnaanza kulalama mtu akicheza akapitiliza nashindwa kuwaelewa kabisa.
Kuna tofauti na kumchezea Mungu na kumchezea shetani
 
Dansi na mavazi ya hovyo makanisani sio mafundisho ya UKRISTO wala hayapo kwenye biblia, sema mitume na manabii feki wanaogopa kusema ukweli hofu ya kukimbiwa sadaka zikapungua
 
Hapana awamsifu Mungu bali shetani, pili sio makanisa yote ni Mungu siri anajua mmiliki wa kanisa husika.
 
Kasome tena bible. Yupo nabii mmoja alicheza mpaka nguo zikamvuka na kubaki kama alivyo zaliwa. Isitoshe mbinguni unakufahamu? Je Kuna utaratibu wote unao kuelekea namna ya kucheza? Mwili ni hekalu la mungu cheza itakavyo.
Dah Sasa mbona hawatuvulii na sisi tuone bana kumbe nabii alicheza hadi akavua nguo waambie watuvulie na sisi tudindishe vizur sio wanatukatikia tu hatuoni vizur tena mm napenda miuno ya waimbaji mabonge [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Kucheza kwa Mfalme Daudi hadi nguo kumvuka haina maana na sisi Waleo tucheze kihuni.
Inawezekana zilimvuka kwa bahati mbaya , Je tuige hiyo bahati mbaya yake?

Pia haijaandikwa kama agizo kwa watu wote kuwa kwamba tuwe tunacheza kama yeye alivyocheza.

Msichanganye Habari!
 
Only Christian na hawataki kurekebishwa na vimini vyenye mpasuko.
 
Ila ukweli tuseme, wakata mauno na wale wavaa vimini wanachangamsha mazingira, Hata waumini huengezeka.

mrangi
 
Kama huyo
Your browser is not able to display this video.
 
Kwani kiuno si kimeumbwa na Mungu, acha kinenguliwe tu...
Mungu hawezi kukereka na mauno ya watu. Binadamu wenyewe ndio wanajitengezea vya kupenda na kuvichukia halafu wanamsingizia Mungu.
 
Wameshukiwa na upako
 
Pole kwa kubanwa na nguo!
Ila ni kweli inatia kichefuchefu!
 
Kukata viuno ni tamaduni Za mahali.... Congo kukata viuno ni kama zanzibar kuomba taarabu.....
Sis ndo tunaona ni dhambi.... Kuna makabila mengine kusalimia a wanasalimiana kwa kujamba.... Sis sio rahisi mtu kujamba hadharan
 
Mathayo 15: 8-9

“ watu hawa huniheshimu kwa midomo,
Ila mioyo yao iko mbali nami”

Nao waniabudu bure wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya Wanadamu.


Wanakwaya wakata viuno mioyo yao huwa mbali na Bwana Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…