Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Vigezo vilivyotumika:

1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
5. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.

Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.

Twende pamoja sasa:

1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona

Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:

Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi

Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Christina HAPANA
 
6,7 sijui nyimbo zai hata moja



Ambwene ana nyimbo inaitwa nguvu ya kujua,chozi la haki[emoji1316][emoji1316][emoji1316]

Abiud misholi. Unikingie msiba,nani atanitazama
Fanuel sedekia album ya katika ibada[emoji1316]
Hakika mkuu, Abiudi na Sedekia ni level nyingine kabisa.

6 na 7 wacheki YouTube utawaona.
 
Unamjua Rehema Simfukwe?
Martha Mwaipaja ana tofauti gani na Bahati Bukuku? Tena kwa vigezo ulivyoweka, Bahati Bukuku yupo mbele ya Martha Mwaipaja. Boaz Danken pia yupo mbele ya Joel Lwaga!
Kweli Rehema nimemsahau bahati mbaya, anastahili kuwepo list ya pili.

Sidhani kama ni sahihi kumfananisha Martha na Bahati. Martha yupo level ya juu sana kwa bahati. Nyimbo za bahati siku hizi hazina uhalisia wa neno la Mungu.
 
Vigezo vilivyotumika:

1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
5. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.

Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.

Twende pamoja sasa:

1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona

Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:

Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe

Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Kwenye list umejichanganya na maelezo.
Ondoa
Lwanga
Clement
Shusho
Martha
Hawa ni watumbizaji
 
Kwa vigezo vilivyoainishwa basi ingepaswa
1. Paul Mwangosi
2. Boazi Danken
Boaz anakuja vizuri na pengine katika siku zijazo atapanda juu zaidi. Paul yupo poa sana lakini ukiangalia kwa karibu anabebwa zaidi na huduma ya mana na hajawa exceptional sana akisimama mwenyewe.
 
Kwenye list umejichanganya na maelezo.
Ondoa
Lwanga
Clement
Shusho
Martha
Hawa ni watumbizaji
Mkuu jaribu kueleza vizuri kwanini hao waondolewe maana hapa bado sijakuelewa.
 
Uuuuuuu!
Uu uuuuuuu!
Umeweka wimbo kinywani mwanguu,Bwana niimbe sifa zakoo!
Umeniumba Ili nikuabudu,nakuabuduu,nakuabuduuu.........

Wewe uketie juu ya vyote,sifa hizi zifike kitini pako,wimbo huu ukawe manukatooo.....we miss you Sedekia❤️❤️❤️
 
Back
Top Bottom