Ceftriaxon
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 446
- 692
Video nilizoona YouTube anaonekana kijana mdogo. Aliimba tangu miaka ya 80? Basi itakuwa nimepishana naye.Wewe humfahamu Jangalasoni...huyu ni mtumishi wa Mungu ambaye ameimba ktk upako kwa miaka mingi kabla hajaondoka nchini,kizazi cha miaka ya 80' mpk 90' +2000 mwanzon kinamjua vzr
"-Simbaa...anaungurumaaa-"Inasisimua na kufikirisha na kutia ujasiri pia.Kwangu ni gwiji wa Gospel Tanzania hii...Aliyoyapitia hayatupi sisi uhalali wa kum'judge..
Kila mtu ana mapito yake...tunaanguka ila Neema ya Mungu inatunyanyua tena....
Kwanza umeshausikiliza au kuuona wimbo wake wa 'Simba'? She is back like nothing happened.
Nitamfuatilia zaidi.We mfatilie au nikutajie baadhi ya kazi zake
Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo!!! Afu unaleta vituko?1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.
Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.
Twende pamoja sasa:
1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona
Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:
Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe
Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Kuna waimbaji humo kawataji walishaachika kwenye ndoa za kikristo na wakaolewa tena.Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo!!! Afu unaleta vituko?
1. Huyo Shusho amekuwa mfano mbovu kwa familia na huduma pia
2. Mwaipaja anaishi na mumewe wa ndoa?
Nadhani wote hawa wana makanisa kwa sasa, nani kamwita mwanamke afungue Kanisa?
Maisha binafsi ya mtu hakuna anayeweza kuyafahamu asilimia mia moja isipokuwa Mungu mwenyewe. Hapa tunaangalia general public life na kufuata maadili ya kikristo.Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo!!! Afu unaleta vituko?
1. Huyo Shusho amekuwa mfano mbovu kwa familia na huduma pia
2. Mwaipaja anaishi na mumewe wa ndoa?
Nadhani wote hawa wana makanisa kwa sasa, nani kamwita mwanamke afungue Kanisa?
Very trueKuna waimbaji humo kawataji walishaachika kwenye ndoa za kikristo na wakaolewa tena.
Kuachika kwenye ndoa ni jambo pana sana pengine linahitaji mjadala wake. Hata suala la kuoa/kuolewa upya nalo ni pana na lina theological perspectives nyingi hivyo tusiende sana huko.Kuna waimbaji humo kawataji walishaachika kwenye ndoa za kikristo na wakaolewa tena.
Unaposema maisha binafsi unamaanisha nini? Yaani ndoa ni maisha binafsi? Na kama unaangalia maisha ya ujumla kwenye jamii basi hawa wanatakiwa maisha yao YAMHUBIRI KRISTO. Je wanafanya hivyo?Maisha binafsi ya mtu hakuna anayeweza kuyafahamu asilimia mia moja isipokuwa Mungu mwenyewe. Hapa tunaangalia general public life na kufuata maadili ya kikristo.
Kufungua kanisa? Hapa tutaenda kwenye theological arguments ambazo ni nje ya mjadala huu. Ndani ya Kristo hakuna myahudi wala myunani, mwanaume au mwanamke, wote ni mwili wa Kristo.
Katika ujumla wake ninaona maisha yao yanamhubiri Kristo. Hakuna jambo lolote la wazi ambalo linafahamika kiasi kwamba waweze kuhesabika kuwa hawafuati maadili ya kikristo.Unaposema maisha binafsi unamaanisha nini? Yaani ndoa ni maisha binafsi? Na kama unaangalia maisha ya ujumla kwenye jamii basi hawa wanatakiwa maisha yao YAMHUBIRI KRISTO. Je wanafanya hivyo?
Halafu suala ala wanawake kuwa viongozi wala halihitaji theolojia yoyote, niaandiko tu yapo wazi kabisa. Hata hicho ulicho nukuu wala hakisemi hivyo, kina ujumbe tofauti kabisa. Kama ungependa ningefafanua kidogo lakini kwa kuwa umedai tutabadili mada basi naacha hivyo.
Shusho wa zamani kweli alikuwa anaimba injiliKwenye list umejichanganya na maelezo.
Ondoa
Lwanga
Clement
Shusho
Martha
Hawa ni watumbizaji
Hujawahi kumsikia Jangalasoni? Utakuwa umezaliwa miaka ya 2000Sijawahi kumsikia.. ajitahidi sasa na neema ya Mungu imsaidie afikie viwango vya kitaifa.
Bahati Bukuku ni Khadija Kopa aliyechangamkaAwe anaimba nyimbo zinazoendana na neno la Mungu..[emoji1787]
Naam siasa ya awamu ya 5 iliondoka na Ukristo wake, sasa anaimba bongo fleva na mipashoShusho wa zamani kweli alikuwa anaimba injili
Mwamba naona amekuwa askofu ameacha kuimbaHujawahi kumsikia Jangalasoni? Utakuwa umezaliwa miaka ya 2000
Madawa ya kulevya, roadmap my f**
Hakuna aliyeishika nafasi yake na kwa kizazi hiki cha studio artists na ulokole wa kisasa, sijui kama tutapata wa kariba yakeSure...
Rose atabaki kuwa Rose tu...
Ile Energy aliyonayo ni another level Aiseee....
Hata kumlinganisha na hawa wengine ni kumkosea sana....
Pamoja na kuwa mkongwe sana huyo sijawahi kumfahamu.Hujawahi kumsikia Jangalasoni? Utakuwa umezaliwa miaka ya 2000