Haya maneno ukiyaweka katika kiswahili yatakuchanganya maana utaona yana maana moja.Uyahudi ni dini pia!!??
Wakati serikali ya israel inawashawishi wahamie israel ila wewe unasema sio wanapewa hadi ofa za 60,000usd ili wahame .Hao siyo wayahudi bali ni wa Iran pure kabisa, vizazi vyao vimekaa huko zaidi ya miaka 7000 halafu waseme ni waisraeli kweli? Wayahudi nao wanakwama
Hiyo ya waisrael kuwa watumwa nadhani ni kabla ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Lakini mwaka 70 BK waisrael walitoka Israel na kusambaa kwenye nchi mbali mbali zilizo jirani na Israel ya sasa. Kumbuka hii mipaka ya utambuzi wa nchi iliyopo sasa haikuwepo zama hizo.Mimi sio mjuzi sana wa historia lakini kama kuna ushahidi wa wazungu kukubali utumwa Misri basi hoja ya wayahudi wazungu itakuwa ina make sense
Inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi.Wayahudi wanasemwa ni watoto wa Judah tu na si vinginevyo.Ibrahim kamzaa Isaac na Ishmael na wototo wengine(possibly japo bible imeandika kuhusu Isaac ,na Ishmael kwa kifupi sana)Kama unaamini Biblia basi Wayahudi ni ndugu moja na watu wa Iraq kwa sababu inasemwa huko ndiko baba yao Ibrahim alipotoka, watakuwa ndugu mmoja na Ishmael pia.
Unafahamu kuwa kuna waarabu pale shinyanga na tabora ambao ni wasukuma?Again,kama kuna mtu ana-claim kwamba Jews(Wayahudi) ni wazungu basi anipe historical evidence inayoonyesha ni lini wazungu walikuwa slaves katika Misri ya kale.
Kwa maana katika book of Genesis na Exodus wana wa Israel(watoto wa Jacob) ambao na Judah(wayahudi kulingana na maelezo ya biblia)ni miongoni, walitumikishwa Egypt kabla ya kuwa liberated na Mungu kupitia Moses and Aron.
Mimi sio mjuzi sana wa historia lakini kama kuna ushahidi wa wazungu kukubali utumwa Misri basi hoja ya wayahudi wazungu itakuwa ina make sense
Uki track kizazi cha Esau kinakuleta Africa. Ndio hapo mkanganyiko unaanza.Inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi.Wayahudi wanasemwa ni watoto wa Judah tu na si vinginevyo.Ibrahim kamzaa Isaac na Ishmael na wototo wengine(possibly japo bible imeandika kuhusu Isaac ,na Ishmael kwa kifupi sana)
Isaac ndio kamzaa Jacob na Essau(Biblia ikaendelea kuandika zaidi kuhusu Jacob)
Jacob akapewa miliki(ardhi) na jina Isreal.Akapata watoto kumi na wawili ambao Judah ni miongoni(hawa ndio wayahudi sasa).Sasa ukisema kuanzia kwa Ibrahim mpaka umpate Judah then utoe hitimisho kwamba wote ni wayahudi kwa sababu ya kuwa na babu mmoja ntapinga ndio maana kuna Levites(kutoka kwa mtoto wa Jacob Levi na wengineo)
Huu mjadala utatusaidia sana...Uki track kizazi cha Esau kinakuleta Africa. Ndio hapo mkanganyiko unaanza.
Israel ni watoto wa kizazi cha Jacob.
Ndio nafahamu lakini huoni unajikanganya yani ni msukuma then ni mwarabu sio? ebu eleza vizuri sema ni mwarabu anayeishi na wasukuma au ni mwarabu anayefata tamaduni za kisukuma hapo ntaelewa lakini utambulisho wake ni mwarabuUnafahamu kuwa kuna waarabu pale shinyanga na tabora ambao ni wasukuma?
Muingiliano wa hao watu ndio unaleta huo utofauti. Ukihamia Saudi Arabia, ukaoa na kuzaa hapo na kizazi cha 4 toka wewe kitaitwa ni cha asili gani? Je rangi yao ya ngozi itakuwa black kama wewe au itabadilika,?
Huu mjadala utatusaidia sana...
Wale wa kulia au kushoto wameukimbia mjadala...
Hivi Mfalme Abdullah II wa Jordan ni muarabu au mzungu?Ndio nafahamu lakini huoni unajikanganya yani ni msukuma then ni mwarabu sio? ebu eleza vizuri sema ni mwarabu anayeishi na wasukuma au ni mwarabu anayefata tamaduni za kisukuma hapo ntaelewa lakini utambulisho wake ni mwarabu
Anyway,hoja yako ilikuwa ni hipi sijaelewa kiongozi au ulikuwa unatoa maelezo ya ziada.
Mimi nikihamia Saudia leo hii nkapata mtoto wa kiarabu tukazaa uzao wangu wote watahesabika weusi na watu kutoka taifa la Tanzania ata wangekuwa weupe kupita huo weupe
Umejibu vizuri. Kama kizazi chako kitaendelea kuitwa watanzania japo ki muonekano ni waarabu basi hao wanaosema kuna waisrael wazungu wana maanisha rangi.Ndio nafahamu lakini huoni unajikanganya yani ni msukuma then ni mwarabu sio? ebu eleza vizuri sema ni mwarabu anayeishi na wasukuma au ni mwarabu anayefata tamaduni za kisukuma hapo ntaelewa lakini utambulisho wake ni mwarabu
Anyway,hoja yako ilikuwa ni hipi sijaelewa kiongozi au ulikuwa unatoa maelezo ya ziada.
Mimi nikihamia Saudia leo hii nkapata mtoto wa kiarabu tukazaa uzao wangu wote watahesabika weusi na watu kutoka taifa la Tanzania ata wangekuwa weupe kupita huo weupe
Mapandikizi hayoHao ni ndugu kabisa ila wale wazungu pale wakina Netanyau ni watu wa hovyo.
Sijamfatilia vizuri lakini kama unamjua vema unaweza kusema sitaki niseme uongoHivi Mfalme Abdullah II wa Jordan ni muarabu au mzungu?
Mbona blacks wazungu wapo wengi tu,Epuka matapeli, hakuna jew ambaye ni mzungu, black, mwarabu, mchina, mjapani n.k kama vile tu ambavyo hakuna black mzungu au mzungu mwarabu.
Uzungu ni nini!!??Mbona blacks wazungu wapo wengi tu,
Aaaa you wish! Ni sawa na kusema wakristo wa zenj,saudia,misri wanajivunia kuwa na uraia wa nchi zao!we know better Madame!Katikati ya mitaa ya Tehran kuna masinagogi takribani 35 ambayo ni maeneo ya ibada ya wayahudi wakiiran inasemekana mpaka mwaka 2021 takribani wayahudi 8000-9000 bado wanaishi na kufurahia maisha ktk Tehran huku wakiwa na uraia wa iran wa kuzaliwa wengi wao wakiwa ktk kazi za sayansi na utabibu. Japo wengi wamehama na kwenda nchi za magharibi na israel ila hao waliobakia wanajivunia kuwa wairan.
View attachment 2970638
Picha Rais wa Iran Muhammad Khatami alipohudhuria sherehe ya mwaka mpya wa Kiyahudi kwenye synagogue Tehran, akiwa na Rabi Myahudi -Muiran.
Mama yake ni British kwa hiyo ni chotara wa kiarabuHivi Mfalme Abdullah II wa Jordan ni muarabu au mzungu?
Muktadha wa swali umeuelewa??Mama yake ni British kwa hiyo ni chotara wa kiarabu