Pelekeni Kwanza ARV na carolite huko kwenu alaf baada ya hapo huyo mwekezaji tunamsubiri tumfurahisheUtu gani? Hizo ni nyumba auntakataka? Kuwaacha kwenye Hali hiyo ya umaskini ndio utu? Acha upumbavu..
Kule magomeni wanapisha viwanja Serikali inajenga wanapewa floor za Juu harafu floor za Chini na vyumba vya Kati inakuwa mali ya Serikali inaingiza pesa..
Hata hao watoke kwenye huo umaskini wakapewa viwanja vizuri nje ya Mji na Fidia harafu hayo maeneo yako potential yaendelezwe serikali ipige pesa.
Muulize Mzee Shamte.Ndiyo maana huwezi kusikia upande wa Zanzibar anauza akimaliza kuuza 2025 anaenda kuishi Zanzibar
Nimekwambia hao fukara kwanza watashukuru maana watapewa pesa na maeneo mazuri waondokane na ufukara..Pelekeni Kwanza ARV na carolite huko kwenu alaf baada ya hapo huyo mwekezaji tunamsubiri tumfurahishe
Zanzibar nasikia nako kuna mambo kama haya haya, kuna mwana-ccm mwenzao kazungumza akadai alitekwa na jana nadhan wametangaza kumvua uanachamaNdiyo maana huwezi kusikia upande wa Zanzibar anauza akimaliza kuuza 2025 anaenda kuishi Zanzibar
Na wewe unaamini hii porojo kuwa ni habari? Unaposema milimani kwa Mwanza ni maeneo kama yote, ndo iuziwe familia moja!Why ujinga?
Sio dharau ndio ukweli wenyewe.. Unadhani hao fukara huko ukiwaambia tunawapa maeneo kama wale wa magwepande watabisha? Kelele za kijinga mnapiga nyie msioishi hukoMwana umeandika kidharau sana..
Ndio kapiga ndani sasaBabako bora angepiga nje tu aisee
Acha dharau japo ni kweli. Umasikini wao haukuhusu.Sasa hizo ni nyumba au takataka? Walitakiwa waondolewe kitambo tuu maana wanachafua Mji..
Hao watu wa milimani Nina uhakika watakuwa wa kwanza kuitikia mwito maana watapewa maeneo mazuri yaliyopimwa na Fidia juu..
Nyanzaga Kule Sengerema wamehama kupisha Mwekezaji wa mgodi mkubwa dhahabu sembuse hao maskini wa huko milimani?
Acha dharau mkuu- Nchi yetu kiuhalisia tupo kwenye daraja la umaskini uliopitiliza- Asilimia zaid ya 70 ya watanzania ni maskini- sasa unashangaa kukuta maskin tanzania? Jenga hoja kama mtu mwenye akili timamu na utu pia.Nimekwambia hao fukara kwanza watashukuru maana watapewa pesa na maeneo mazuri waondokane na ufukara..
Wewe unaejichatisha humu huishi huko ndio maana unaropoka,nyie ndio mliodanganya Masai wamevunjwa miguu.
Kuna statement ya kulaani tukio toka Ikulu ya Zanzibar angalau siyo mbaya wanasema wapo na pamoja na mzeeZanzibar nasikia nako kuna mambo kama haya haya, kuna mwana-ccm mwenzao kazungumza akadai alitekwa na jana nadhan wametangaza kumvua uanachama
Kanda ya Ziwa imezidi,ndio kuna Mikoa inaongoza kwa umaskini huko .Acha dharau mkuu- Nchi yetu kiuhalisia tupo kwenye daraja la umaskini uliopitiliza- Asilimia zaid ya 70 ya watanzania ni maskini- sasa unashangaa kukuta maskin tanzania? Jenga hoja kama mtu mwenye akili timamu na utu pia.
Ni wahuni walimkamataMuulize Mzee Shamte.
Sawa mwekezajiWewe unaona hizo ni nyumba au uchafu?
Unanihusu, hauwezi jiji kubwa kama hilo harafu tija yake ni ndogo kwa Nchi Kwa sababu limejaa watu maskini..Acha dharau japo ni kweli. Umasikini wao haukuhusu.
Huko pemba kwenu na unguja kuna nn cha maana? yani Tanzania hii unaongea kanda ya ziwa ni maskini kuliko kanda zote? umeenda shule kweli au una akili timamu? 🤣 🤣Kanda ya Ziwa imezidi,ndio kuna Mikoa inaongoza kwa umaskini huko .
Sasa wanataka wawasaidie mnabisha.
Sababu ikiwa ni pamoja na kupinga vikali uuzaji wa visiwa.Ni wahuni walimkamata
Mimi sio wa Pemba ni WA Mbeya na Njombe.Huko pemba kwenu na unguja kuna nn cha maana? yani Tanzania hii unaongea kanda ya ziwa ni maskini kuliko kanda zote? umeenda shule kweli au una akili timamu? 🤣 🤣
Sana,inashangaza mnafurahia ufukara..🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anaupiga mwingi