The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Utaishia kuropoka hivyo hivyo 👇Watahamishiwa Handeni, eneo ambalo limetengwa na serikali kama kimbilio la wakosefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaishia kuropoka hivyo hivyo 👇Watahamishiwa Handeni, eneo ambalo limetengwa na serikali kama kimbilio la wakosefu.
Hiyo ni pesa ya wahisani .. sio kodi yako.Wangekuwa wanakula usingeona barabara zilijengwa,mashule,mahospital,maji,nk
Kwa hiyo wahisani ndio Wana pesa za kuwapa nyie muwe mnazifisadi sio?Hiyo ni pesa ya wahisani .. sio kodi yako.
Ila kinachonisitua ni uharaka gani hui wa mwekezaji kuja na kutaka kuwatoa wananchi wa naeneo hayo haraka haraka?Nchi ishauzwa, sahizi wanachukua maeneo waliyonunua.
Arusha ilishajaa wawekezaji kitambo na watazidi.kuja hawana ushamba na ujuaji wa kijinga kama nyie Washamba..Arusha waende haraka sana, jiji lina jina kubwa lakini limejaa utopolo.
Umesoma hiyo article ukakuta kuna uharaka? Wenye kuharakisha ni Mwanza CC,wakizingua haji kwani lazima? Mwekezaji ndio ana shida ya huo umaskini wenu?Ila kinachonisitua ni uharaka gani hui wa mwekezaji kuja na kutaka kuwatoa wananchi wa naeneo hayo haraka haraka?
Nimetaja uanamke wako hapa? kwann unakimbilia kwenye hicho kigezo? Binafsi nawaheshimu sana wanawake, na ninaamini kwenye wanawake kupewa equal opportunities based on their abilities, talents, and etc. na kuwa judged equally as men based on their performances. Kama Meko alivyokosolewa na kupongezwa kwa utendaji wake, hvyo hvyo samia anapaswa kutendewa. Hakuna immunity ya criticism sababu ya gender otherwise utakuwa upuuzi. Samia ni rais, na utendaji wa rais una vipimo vyake ambavyo havihusishi jinsiaKwani.niko focused kwenye nini? Kwani Mwanamke hawezi kuwa focused kwenye hoja? Umeona Samia anatishwa na vijimaneno vyenu?
Unaposema Jenga hoja kama mwanaume kumbe opposite yake ni ipi? Unaongea Sana wakati kichwani mweupe..Nimetaja uanamke wako hapa? kwann unakimbilia kwenye hicho kigezo? Binafsi nawaheshimu sana wanawake, na ninaamini kwenye wanawake kupewa equal opportunities based on their abilities, talents, and etc. na kuwa judged equally as men based on their performances. Kama Meko alivyokosolewa na kupongezwa kwa utendaji wake, hvyo hvyo samia anapaswa kutendewa. Hakuna immunity ya criticism sababu ya gender otherwise utakuwa upuuzi. Samia ni rais, na utendaji wa rais una vipimo vyake ambavyo havihusishi jinsia
Mashemeji wengine wana upendo wa agape..!!!Shemeji atakupa bando ya kushinda mitandaoni kila siku? Wewe unaweza fanya hivyo Kwa shemeji Yako?
Changamoto kubwa ni kwamba wewe ni mpumbavu ingawa hujitambui na hapa ndo tatizo kubwa lilipo- tokea lini umeanza kuwa na akili zaid ya kulambalamba miguu ya wengine huku mitandaoni? Die hard CCM fans wenyewe wanakuona unatetea upumbavu huku mitandaoniUnaposema Jenga hoja kama mwanaume kumbe opposite yake ni ipi? Unaongea Sana wakati kichwani mweupe..
Umesoma hiyo article ya Nopashe umeona hao wananchi wanaporwa Ardhi ya kufurushwa?
Jambo baya hapo ni kipi? Acha upumbavu.
Mwana unajiona upo juu sana wallah..!!!Unaposema Jenga hoja kama mwanaume kumbe opposite yake ni ipi? Unaongea Sana wakati kichwani mweupe..
Umesoma hiyo article ya Nopashe umeona hao wananchi wanaporwa Ardhi ya kufurushwa?
Jambo baya hapo ni kipi? Acha upumbavu.
Tokea lini ukamwona mwerevu na aliyenacho akajikuza hv? kuna tatizo pahala. Rais wake mwenyewe anayemtetea hawezi kuzungumza huu upuuzi. Binadamu mwenye akili timamu hawezi kudharau wengine kutokana na hali zao kimaisha bali hupima kwa hekimaMwana unajiona upo juu sana wallah..!!!
Wa kumuonea huruma huyo jamaa...Changamoto kubwa ni kwamba wewe ni mpumbavu ingawa hujitambui na hapa ndo tatizo kubwa lilipo- tokea lini umeanza kuwa na akili zaid ya kulambalamba miguu ya wengine huku mitandaoni? Die hard CCM fans wenyewe wanakuona unatetea upumbavu huku mitandaoni
Achana na hao mkuu, ni walewale wa-farm na kiongozi wao yule m-chattle, ze dead!Utu gani? Hizo ni nyumba auntakataka? Kuwaacha kwenye Hali hiyo ya umaskini ndio utu? Acha upumbavu..
Kule magomeni wanapisha viwanja Serikali inajenga wanapewa floor za Juu harafu floor za Chini na vyumba vya Kati inakuwa mali ya Serikali inaingiza pesa..
Hata hao watoke kwenye huo umaskini wakapewa viwanja vizuri nje ya Mji na Fidia harafu hayo maeneo yako potential yaendelezwe serikali ipige pesa.
Yaani huyu jamaa ni wa kupima kila kitu yaani.. UZITO, UTI, AKILI, UBONGO, UWEZO WA KUWAZA, UKIMWI, KASWENDE. GONO, KIFADURO, KISONONO.. etcTokea lini ukamwona mwerevu na aliyenacho akajikuza hv? kuna tatizo pahala. Rais wake mwenyewe anayemtetea hawezi kuzungumza huu upuuzi. Binadamu mwenye akili timamu hawezi kudharau wengine kutokana na hali zao kimaisha bali hupima kwa hekima