The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hao ni wapumbavu Sana,hapo wananchi wanalipwa fidia na wanahamishiwa eneo zuri zaidi lenye huduma zote ikiwemo kupimiwa viwanja Ili kuongeza thamani ya Jiji lao huko mjini..Achana na hao mkuu, ni walewale wa-farm na kiongozi wao yule m-chattle, ze dead!
Jesus is Christ
Kuna mtu anaweza kufurahia kuishi kwenye umaskini ule? Je.wanafurushwa na kutelekezwa? Jibu ni hapana sasa kuna shida gani?
Hawa wapotoshaji ndio hulazimisha serikali iwe harsh maana mjinga ukimpa uhuru atakuharibia.