Waislam hawakushiriki kwenye biashara ya utumwa na vita kuu za dunia

Waislam hawakushiriki kwenye biashara ya utumwa na vita kuu za dunia

Rejea vitabuni chief..usome role of Ottoman empire katika vita vya kwanza vya dunia. Ottoman empire ilikuwa ni dola ya kiislamu. Tafuta muda usome.

Pili, tueleze role ya kina tip tip na sultanate of Oman katika slave trade ya east africa. Hawa ndiyo walikuwa madalali wakubwa zaidi wa watumwa duniani. Sultan na tip tip hakuwa myahudi au mkatoliki .

Biashara ya utumwa ya east africa yote ilikuwa dominated na arabs. Wazungu waliparticipate zaidi na transatlantic slave trade..ambapo walichukua watumwa west africa zaidi.

Waliotukomesha sisi wanyamwezi ni waarabu. Na watumwa wengi waliishia Uarabuni.

Hii ni historia ya darasa la tano afsa.

Utumwa kati ya Africa/East Africa ulifanywa na Waarabu tangu 650 A.D. mpaka 1963 A.D. kwani utumwa Saudi Arabia ulifanyika mpaka 1963 A.D. cha kusikitisha watumwa weusi kule Middle East (Uarabuni) waliopelekwa mamilioni kwa mamilioni mpaka leo hakuna visasi vyao, walihasiwa! Lakini waliopelekwa Western World kama Marekani, America Kusini wako kwa mamilioni, mfano kule Brazil wako zaidi ya million 70 na USA wako zaidi ya millioni 50, kule Haiti wako zaidi ya million 12. Uarabuni yaani Iraq, Iran, Yemen, Syria, Jordan, Lebanon, Saudi Arabia wako zero!!!!
 
Licha ya propaganda kubwa dhidi ya waislam lkn ukweli utabaki ukweli.

Nimesoma historia zote sikuona nchi ya kiislam duniani ilioshiriki vita 1 na 11 vikuu duniani. Sijasikia popote pale. Nasikia Ujerumani, UK, ISRAEL; Urusi, Japan na wengine.

Utumwa:
Nimesoma historia yote sijasikia misikiti ikifanywa sehemu ya makazi ya watumwa lkn nasikia makanisa yalikuwa na vyumba vya kuwafunga na kuwahifadhi watumwa.

Kama unabisha hoja hizi 2 lete hoja.

Usije na hasira njoo na hoja.

Usilete picha za CNN au BBC.
Nakubaliana na wewe na ndio maana wamejaa huko USA na UK wote asili zao Africa, sasa tujiulize walifikaje huko na sio kufika UAE au Saudia tu. Halafu kwa hapa bongo sijawahi kusikia mtu katoka hadharani na kusema babu yetu alipotea au alichukuliwa au kutokea mzazi?Family kudai mtu wetu aliuzwa. Tunasikia tu turudishieni mafuvu huko German. History iliandikwa kuaminisha mambo ambayo hayakuwa kweli. Tuliambiwa Idd Amin alikuwa anakula nyama za watu na tukaamini kabisa leo nasoma, mhh jamaa alikuwa anakubalika sana kwao.
 
Ok tuseme ni kweli, mbona hatujawahi kusikia hata family moja kutoka hadharani kuwa kuna mtu wetu alichukuliwa tulipwe fidia. Nchi ya USA ilifanya biashara hiyo sababu ya kiuchumi wafanyakazi mashambani. Ni miaka ya 1865 huko ndio waanza kuzuia utumwa.
Utumwa kati ya Africa/East Africa ulifanywa na Waarabu tangu 650 A.D. mpaka 1963 A.D. kwani utumwa Saudi Arabia ulifanyika mpaka 1963 A.D. cha kusikitisha watumwa weusi kule Middle East (Uarabuni) waliopelekwa mamilioni kwa mamilioni mpaka leo hakuna visasi vyao, walihasiwa! Lakini waliopelekwa Western World kama Marekani, America Kusini wako kwa mamilioni, mfano kule Brazil wako zaidi ya million 70 na USA wako zaidi ya millioni 50, kule Haiti wako zaidi ya million 12. Uarabuni yaani Iraq, Iran, Yemen, Syria, Jordan, Lebanon, Saudi Arabia wako zero!!!!
 
Nakubaliana na wewe na ndio maana wamejaa huko USA na UK wote asili zao Africa, sasa tujiulize walifikaje huko na sio kufika UAE au Saudia tu. Halafu kwa hapa bongo sijawahi kusikia mtu katoka hadharani na kusema babu yetu alipotea au alichukuliwa au kutokea mzazi?Family kudai mtu wetu aliuzwa. Tunasikia tu turudishieni mafuvu huko German. History iliandikwa kuaminisha mambo ambayo hayakuwa kweli. Tuliambiwa Idd Amin alikuwa anakula nyama za watu na tukaamini kabisa leo nasoma, mhh jamaa alikuwa anakubalika sana kwao.

Tatizo kubwa ni Uislamu, idi amin alikua muislamu, basi watamzushia kila kitu. Mwenyezi Mungu amrehemu ndugu yetu idi amin.
 
In the fifteenth century, Portugal became the first European nation to take significant part in African slave trading. The Portuguese primarily acquired slaves for labor on Atlantic African island plantations, and later for plantations in Brazil and the Caribbean, though they also sent a small number to Europe.
 
Unamjua Tip tip??

Unajua Afrika Mashariki soko kuu la watumwa lilikuwa Zanzibar??

Hayo ni kwa uchache sana.

Hongera kwa kumjua, pia hongera kwa kumuona. Wengine hatukupata bahati ya kumuona, Allah amrehemu na amuingize katika pepo mzee wetu tip tip

Free palestine 🇵🇸
 
Kweli wewe unaumwa malaria 2. Unakataa waislamu kuwa hawakufanya biashara ya utumwa halafu hapa unakiri kuwa waislamu walifanya biashara ya utumwa.
Mwaarabu alikuwa mkatili sana kama lile kundi la Islamic State la Syria lilivyokuwa linachinja watu kama kuku. Huo ndiyo ukatili wa Waarabu kwa watumwa.
Watumwa wengi sana walichukuliwa na kupelekwa nchi za kiislamu lakini waliishia kuawawa na kuasiwa ili wasizae ndiyo maana kizazi chao hakipo kule.
Angalia Marekani utawakutana 50 Cent, Ja rule na wengine.
Nimecheka sana, watumwa wa kiislamu walikuwa wanalishwa vizuri 😀😀😀😀😀. Mtumwa alishwe vizuri wakati madada zetu wanaoenda Uarabuni hurudishwa maiti kwa ukatili wanaofanyiwa mpk serikali imepiga marufuku wadada wa kazi kwenda nchi za waislamu kufanya kazi.
Nikuambie tu ila ni chungu na hupendi kulisikia. Mpaka sasa waarabu (waislamu) wanawachukulia waafrika waislamu ni watumwa wao ndiyo maana hawezi kukufanyia jambo la maendeleo. Atakujengea msikiti, kisima cha kujitawazia, atakupa tende, kanzu na maji ya Zamu zamu. Haya ndiyo wanaona maendeleo, angalia Zanzibar ilivyo masikini.

Pole sana, watoto wako watajifunza mazuri gani kutoka kwako! Ila kuwaaminisha na kuwajaza chuki dhidi ya waarabu na Uisilamu kwa ujumla. Nakupa pole sana
 
Kafiri si mtu sana. Wewe angalia rais wa nchi akiwa muislam tu utaona roho zinawauma

Zinawauma sana, kuna kafiri mmoja aliwahi kukiri mwenyewe kuukubali utawala wa muislamu na kuuponda utawala wa kikafiri. lakini acha waumie tu kwani wanampunguzia nini Rais wetu! Chuki dhidi ya waarabu na Uisilamu kwa ujumla zimo ndani ya vifua vyao.
 
Pole sana, watoto wako watajifunza mazuri gani kutoka kwako! Ila kuwaaminisha na kuwajaza chuki dhidi ya waarabu na Uisilamu kwa ujumla. Nakupa pole sana
Mtume Muhamad alikuwa ana watumwa wangapi? Huyu ni muislamu kbsa wa kwanza kusilimu.
Historia ipo na vitabu mpk ushahidi wa sehemu za watumwa waliokuwa wanachukuliwa kutoka sehemu mbali mbali hapa Tanganyika na kupelekwa utumwani Oman mpk Saudia Arabia.
Huwa mnaona Waarabu ni watu wema sana na hawajashiriki ktk biashara ya utumwa.
1. Kwenye nchi za waislamu hakuna magereza?
2. Kwenye nchi waislamu hakuna mahakama hizi za kawaida?
3. Mahakama ya kadhi ipo kwa ajili gani km wote ni safi?
Iran 99% ni waislamu lkn kuna binti wa kiislamu hakufunika kichwa, aliuwawa. Je, kama uislamu ni safi kwanini hakusamehewa?
  • Libya 99% ni waislamu kabisa lkn waliuana ovyo wakigombea madaraka. Je, huo uislamu safi walionao, kwanini wasingeishi kw amani?
  • Sudan 99% ni waislamu lkn sasa hivi wanagombania madaraka. Huo uislamu gani ambao ninachuki nao?
  • Somalia 99% ni waislamu lkn wamegawana nchi kuna Somalia na Somaliland
  • Kama nina chuki na uislamu mbona huwa hamuandamani kupinga makundi ya kigaidi ya kiislamu yanayoua, kubaka na kuiba mali km Boko Haram, ISIS, Hezbollah, Hamas, Al Shabab na Al Qaeda?
Unajua adhabu ya kuuacha uislamu kuingia kwenye imani nyingine? Najua hujui, adhabu yake unakatwa kichwa.
Km yote yanatokea Sudan, Libya na Somalia, watashindwa kufanya biashara ya utumwa wakati mtume Muhamad S.W alikuwa na watumwa?.
Waarabu (waislamu) walifanya biashara ya utumwa.
Hongera kwa kutetea kitu ambacho hukijui. Nenda Bagamoyo na ujiji. Ujifunze zaidi kuhusu waarabu kuhusu biadhara ya utumwa. Waislamu kwa waislamu wenyewe wanauana km kuku Sudan, Libya na Somalia halafu niwe na chuki nao?
Km muislamu anachuki juu ya muislamu mwenzake mpk hatua ya kumuua kisa hajafunika kichwa, mimi ni nani mpk niwe na chuki nao?
 
Pole sana, watoto wako watajifunza mazuri gani kutoka kwako! Ila kuwaaminisha na kuwajaza chuki dhidi ya waarabu na Uisilamu kwa ujumla. Nakupa pole sana
 
Mkuu sitaki kuamini kama uliishia madrasa tu! kama ulisoma shule ya Msingi au Sekondari, utakuwa umesahau au hukuwahi kusoma somo la Historia.
 
Zinawauma sana, kuna kafiri mmoja aliwahi kukiri mwenyewe kuukubali utawala wa muislamu na kuuponda utawala wa kikafiri. lakini acha waumie tu kwani wanampunguzia nini Rais wetu! Chuki dhidi ya waarabu na Uisilamu kwa ujumla zimo ndani ya vifua vyao.
Kinachonishangaza na kunichosha ni bidii yenu ya kuifia dini za kigeni eti ni safi... Dini safi ni zile za kiafrika tulizotelekeza.. kama matoto yasiyojielewa. BABU ZETU WATUSAMEHE kama watuona huko waliko.
 
Kinachonishangaza na kunichosha ni bidii yenu ya kuifia dini za kigeni eti ni safi... Dini safi ni zile za kiafrika tulizotelekeza.. kama matoto yasiyojielewa. BABU ZETU WATUSAMEHE kama watuona huko waliko.
وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?

Hakuna dini ya kiafrika hebu acha kupotosha watu, Uislamu ndio dini ya kweli na ya haki.

Free palestine 🇵🇸
 


وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Mtume Muhamad alikuwa ana watumwa wangapi? Huyu ni muislamu kbsa wa kwanza kusilimu.
Historia ipo na vitabu mpk ushahidi wa sehemu za watumwa waliokuwa wanachukuliwa kutoka sehemu mbali mbali hapa Tanganyika na kupelekwa utumwani Oman mpk Saudia Arabia.
Huwa mnaona Waarabu ni watu wema sana na hawajashiriki ktk biashara ya utumwa.
1. Kwenye nchi za waislamu hakuna magereza?
2. Kwenye nchi waislamu hakuna mahakama hizi za kawaida?
3. Mahakama ya kadhi ipo kwa ajili gani km wote ni safi?
Iran 99% ni waislamu lkn kuna binti wa kiislamu hakufunika kichwa, aliuwawa. Je, kama uislamu ni safi kwanini hakusamehewa?
  • Libya 99% ni waislamu kabisa lkn waliuana ovyo wakigombea madaraka. Je, huo uislamu safi walionao, kwanini wasingeishi kw amani?
  • Sudan 99% ni waislamu lkn sasa hivi wanagombania madaraka. Huo uislamu gani ambao ninachuki nao?
  • Somalia 99% ni waislamu lkn wamegawana nchi kuna Somalia na Somaliland
  • Kama nina chuki na uislamu mbona huwa hamuandamani kupinga makundi ya kigaidi ya kiislamu yanayoua, kubaka na kuiba mali km Boko Haram, ISIS, Hezbollah, Hamas, Al Shabab na Al Qaeda?
Unajua adhabu ya kuuacha uislamu kuingia kwenye imani nyingine? Najua hujui, adhabu yake unakatwa kichwa.
Km yote yanatokea Sudan, Libya na Somalia, watashindwa kufanya biashara ya utumwa wakati mtume Muhamad S.W alikuwa na watumwa?.
Waarabu (waislamu) walifanya biashara ya utumwa.
Hongera kwa kutetea kitu ambacho hukijui. Nenda Bagamoyo na ujiji. Ujifunze zaidi kuhusu waarabu kuhusu biadhara ya utumwa. Waislamu kwa waislamu wenyewe wanauana km kuku Sudan, Libya na Somalia halafu niwe na chuki nao?
Km muislamu anachuki juu ya muislamu mwenzake mpk hatua ya kumuua kisa hajafunika kichwa, mimi ni nani mpk niwe na chuki nao?


وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
Kwanini usiandike kitabu kinachopinga Arabs muslim hawakufanya biashara ya utumwa kuliko kuja kuandika humu?
 
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
 
Licha ya propaganda kubwa dhidi ya waislam lkn ukweli utabaki ukweli.

Nimesoma historia zote sikuona nchi ya kiislam duniani ilioshiriki vita 1 na 11 vikuu duniani. Sijasikia popote pale. Nasikia Ujerumani, UK, ISRAEL; Urusi, Japan na wengine.

Utumwa:
Nimesoma historia yote sijasikia misikiti ikifanywa sehemu ya makazi ya watumwa lkn nasikia makanisa yalikuwa na vyumba vya kuwafunga na kuwahifadhi watumwa.

Kama unabisha hoja hizi 2 lete hoja.

Usije na hasira njoo na hoja.

Usilete picha za CNN au BBC.
Kuna pahala umeonyesha ufinyu wa akili zako..!! Napo ni hapa, wewe unataka mwenye kubisha hoja zako, alete hoja zake, sawa, hivi hizo unazoziita hoja zako, mbona huna chanzo cha habari?? Au ndo yale ya niamini mimi?
 
Licha ya propaganda kubwa dhidi ya waislam lkn ukweli utabaki ukweli.

Nimesoma historia zote sikuona nchi ya kiislam duniani ilioshiriki vita 1 na 11 vikuu duniani. Sijasikia popote pale. Nasikia Ujerumani, UK, ISRAEL; Urusi, Japan na wengine.

Utumwa:
Nimesoma historia yote sijasikia misikiti ikifanywa sehemu ya makazi ya watumwa lkn nasikia makanisa yalikuwa na vyumba vya kuwafunga na kuwahifadhi watumwa.

Kama unabisha hoja hizi 2 lete hoja.

Usije na hasira njoo na hoja.

Usilete picha za CNN au BBC.
Malaria Sugu katika ubora wako
 
Uislam umeleta mateso na maumivu sana duniani kiliko kitu chichote.Waarabu walikuwa washenzi sana,hata sasa waarabu ni washenzi sana.
Wazungu waliwachukua watumwa ila waliwaruhusu kuzaliana,Waarabu wao waliwaasi.Ukatili na ushenzi uliopitiliza.
Mpaka leo ni rahisi kukuta mtu mweusi ameoana na Mzungu lakini siyo mwarabu.
Waarabu ni Mashetani kabisa.
 
Back
Top Bottom