Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Umefafanua vizuri mkuu na umejibu swali lakeUislamu ni uarabu kwa sababu kuanzia mavazi ni asili ya Uarabuni. Na hata ukiangalia dini yenu inafundishwa kwa kiarabu. Na ukifuatilia historian uislamu una matabaka. Hata ukienda uarabuni kuna familia na koo zina matabaka juu ya wengine.