Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
Licha ya propaganda kubwa dhidi ya waislam lkn ukweli utabaki ukweli.
Nimesoma historia zote sikuona nchi ya kiislam duniani ilioshiriki vita 1 na 11 vikuu duniani. Sijasikia popote pale. Nasikia Ujerumani, UK, ISRAEL; Urusi, Japan na wengine.
Utumwa:
Nimesoma historia yote sijasikia misikiti ikifanywa sehemu ya makazi ya watumwa lkn nasikia makanisa yalikuwa na vyumba vya kuwafunga na kuwahifadhi watumwa.
Kama unabisha hoja hizi 2 lete hoja.
Usije na hasira njoo na hoja.
Usilete picha za CNN au BBC.
Mbona unaanza kwa kupopoma kwa kujitetea kabla hujavurumishwa? Unadhani utazuia watu wasikunyuke? La hasha utagongwa tuu!