Waislam mnasemaje kuhusu kuacha kushikana mikono baada ya swala Msikitini?

Waislam mnasemaje kuhusu kuacha kushikana mikono baada ya swala Msikitini?

Sijasema siwapi mkono sababu ya Corona, kutokupeana mikono ni utaratibu wangu nimejiwekea enzi na enzi,
Nimesema sababu ya huu mlipuko wa Corona basi hata Ijumaa siendi kuswali msikitini naswalia nyumbani,
Kupeana mikono kwa waislam ni suna, kwa hiyo huwezi ukasema kuwa hupendelei kupeana mikono na wenzio kwa kuwa huo ndio utaratibu wako. Wewe huna ruhusa ya kujitungia utaratibu. wako mwenyewe bali unatakiwa ufuate suna.
Unatakiwa ufuate utaratibu ule ule aliokuja nao Rasulu Laah sala lahu alaihi wasalam.
Kilichokatazwa ni mwanamke kumpa mkono mwanamume isipokuwa watu maalum.
Pia huwezi ukasema kuwa huendi kwenye sala ya ljumaa eti kwa sababu ya corona.!
Huo utakuwa ni ujuha wa karne. Aliyeleta corona ni Allah. Na Mwenye uwezo wa kuiondosha ni Allah.
Allah akitaka kukuletea madhara, hakuna atayeweza kukunusuru na wala huna hila wala ujanja.
Na Allah akitaka kukuletea neema hakuna wa kuzuia wala kukupinga. Usome Uislamu kijana.
Hata hivyo, mwanamke kwenda kusali sala ya ljumaa sio lazima, kama unaamua kuwa usiende kusali msikitini basi usinde, lakini usiseme kuwa huendi kusali msiikitini eti kwa sababu ya corona.! Huo utakuwa ni unafik.
 
Hakuna story ya kutunga its reality

Wanaokula virusi ndo wanatakiwa wafungiwe Kwenye camp ,sio kuhangaika na watu sababu ya ujinga mtupu

Eti they are a threat

Sasa Wameumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndo walipewa adhabu kama mlivyosema? Mbona sasa kwao ugonjwa umeshatulia ila huku kwingine ndo inakua shida maana hata huyo alietoa adhabu kwa wachina huko kwake watu wamekatazwa kwenda kuhiji
 
Kupeana mikono kwa waislam ni suna, kwa hiyo huwezi ukasema kuwa hupendelei kupeana mikono na wenzio kwa kuwa huo ndio utaratibu wako. Wewe huna ruhusa ya kujitungia utaratibu. wako mwenyewe bali unatakiwa ufuate suna.
Unatakiwa ufuate utaratibu ule ule aliokuja nao Rasulu Laah sala lahu alaihi wasalam.
Kilichokatazwa ni mwanamke kumpa mkono mwanamume isipokuwa watu maalum.
Pia huwezi ukasema kuwa huendi kwenye sala ya ljumaa eti kwa sababu ya corona.!
Huo utakuwa ni ujuha wa karne. Aliyeleta corona ni Allah. Na Mwenye uwezo wa kuiondosha ni Allah.
Allah akitaka kukuletea madhara, hakuna atayeweza kukunusuru na wala huna hila wala ujanja.
Na Allah akitaka kukuletea neema hakuna wa kuzuia wala kukupinga. Usome Uislamu kijana.
Hata hivyo, mwanamke kwenda kusali sala ya ljumaa sio lazima, kama unaamua kuwa usiende kusali msikitini basi usinde, lakini usiseme kuwa huendi kusali msiikitini eti kwa sababu ya corona.! Huo utakuwa ni unafik.
Wewe ndio juha usiyeelewa chochote cha ulimwenguni mawazo yako yametawaliwa na dini tu hadi unaisahau afya yako, maradhi yameletwa na Allah yes Dini yenyewe inasemaje juu ya maradhi ya kuambukiza? Ulikua unaandika ukiwa usingizini?
Ati huo ni unafki wewe ndio mnafki namba moja niache kujilinda na magonjwa ya mlipuko nianze kufatilia ujinga wako,

Na kuhusu kupeana mikono yes ni utaratibu wangu nimejiwekea kama inakuuma pole kikubwa wewe endelea na utaratibu wako.
 
Wewe ndio juha usiyeelewa chochote cha ulimwenguni mawazo yako yametawaliwa na dini tu hadi unaisahau afya yako, maradhi yameletwa na Allah yes Dini yenyewe inasemaje juu ya maradhi ya kuambukiza? Ulikua unaandika ukiwa usingizini?
Ati huo ni unafki wewe ndio mnafki namba moja niache kujilinda na magonjwa ya mlipuko nianze kufatilia ujinga wako,

Na kuhusu kupeana mikono yes ni utaratibu wangu nimejiwekea kama inakuuma pole kikubwa wewe endelea na utaratibu wako.
Jamani nawashangaa wote ni waislam alafu mnatukanana,sio vizuri kabisaa .Nyinyi ni ndugu mnatakiwa kuelimishana kwa uzuri na kurefer qur-an inavyosema na hadithi za mtume.

Tusiwe na kiburi na huuu uhai ukatufanya tunajiona kama vile tumejileta duniani,au sijui hizo elimu za mazingira au mali tulizo nazo zinatuadaa sana.Mgeweza kuelekezana bila kuudhiana kama mtume anavyoelekeza.

Allah anapenda waja wake wenye kujishusha na kutumia zaidi hekima na busara.Unaposema mwenzako ametaliwa na mambo ya dini wewe unataka atawaliwe na nini? ,

Dadaangu nakushauri tu usirudie tena kusema hivyo.Dini ndoo kila kitu kama wewe hauwamiini hivyo mbona bado upo kwenye huo uislam? Au hauja tafuta dini yako unayoiona inafaa? Yote hayo yanasababishwa na kiburi cha uhai uliopewa na Mungu.

Kama ni mali na hayo yote utayaacha tu na hautakauwa wakwanza kufanya hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio juha usiyeelewa chochote cha ulimwenguni mawazo yako yametawaliwa na dini tu hadi unaisahau afya yako, maradhi yameletwa na Allah yes Dini yenyewe inasemaje juu ya maradhi ya kuambukiza? Ulikua unaandika ukiwa usingizini?
Ati huo ni unafki wewe ndio mnafki namba moja niache kujilinda na magonjwa ya mlipuko nianze kufatilia ujinga wako,

Na kuhusu kupeana mikono yes ni utaratibu wangu nimejiwekea kama inakuuma pole kikubwa wewe endelea na utaratibu wako.
Ulichokiandika hiki si miongoni mwa mafundisho ya Allah na Mtume wake. Alichokiandika Msuluhishi 1 ndio nasaha zilizo sahihi kwa dyni. Dini ya Kiislam imekamilika ndugu yetu. Huwezi kuja na utaratibu wako kisha naponasiiwa kukaidi. Uislamu hautaki hivyo.

وَمَا كَانَ لِمُؤۡمِنٖ وَلَا مُؤۡمِنَةٍ إِذَا قَضَى ٱللَّهُ وَرَسُولُهُۥٓ أَمۡرًا أَن يَكُونَ لَهُمُ ٱلۡخِيَرَةُ مِنۡ أَمۡرِهِمۡۗ وَمَن يَعۡصِ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ فَقَدۡ ضَلَّ ضَلَٰلٗا مُّبِينٗا

"Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanapo kata shauri katika jambo lao. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi hakika amepotea upotofu ulio wazi"- (33:36).
 
Huko Iran na hijab zao imekuwaje tena? Kwa namna ulivyofikia hitimisho lako ni wazi tofauti iliyopo kati ya kichwa chako na tikiti maji ni rangi tu.
Allah kaleta corona kudhihirisha ukweli ni upi na uongo ni upi

Ukweli ni kuwa ukivaa hijab ukijifunika uso
Huna haja ya kuvaa mask, imedhihirika huko ulaya Hijab sio vazi la kukataza.

Ukweli ni kuwa ukishika udhu au kunawa mara tano Kwa siku, unajilinda na maambukizi tele na msikitini hawaingii wala virusi vya popo na nguruwe

Uongo ni huu, kuna story Yesu alipigwa busu na yule aliemsaliti, hii story ukiileta Kwenye context ya sasa ya corona, yule aliembusu yesu angemuambukiza yesu corona so yesu angekufa Kwa corona na sio msalabani, hii inadhihirisha tukio la msalabani ni uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la kupeana mikono halipo baada ya kumaliza swala, halafu likija suala la afya dini yetu haikuja kukandamiza waumini wake, ni rahisi mno na atakaeitia uzito itamshinda.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wasichokijua ni kwamba uislam ndio dini imejibu kero zote za wanadam tena kwa wakati.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Allah kaleta corona kudhihirisha ukweli ni upi na uongo ni upi

Ukweli ni kuwa ukivaa hijab ukijifunika uso
Huna haja ya kuvaa mask, imedhihirika huko ulaya Hijab sio vazi la kukataza.

Ukweli ni kuwa ukishika udhu au kunawa mara tano Kwa siku, unajilinda na maambukizi tele na msikitini hawaingii wala virusi vya popo na nguruwe

Uongo ni huu, kuna story Yesu alipigwa busu na yule aliemsaliti, hii story ukiileta Kwenye context ya sasa ya corona, yule aliembusu yesu angemuambukiza yesu corona so yesu angekufa Kwa corona na sio msalabani, hii inadhihirisha tukio la msalabani ni uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Iran ndio nchi ya tatu kwa kuwa na vifo vya Corona baada ya China na italy.. .


Huyo Allah Ni mpuuzi tu why aue watu wasio na hatia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuanzia kuumbwa kwa ulimwengu huu magonjwa yapo kila siku, wala hakuna uhusiano kati ya kutowasaidia waafrika na ugonjwa wa corona. Mungu hakuwahi kuwapa wazungu jukumu la kuisimamia Afrika, Asia au Amerika. Tunachagua viongozi wabovu ambao hawawezi kutatua changamoto za watu, tunachagua wezi na wala rushwa na wengine wanaanzisha vita vyao huko kwa sababu za kumpigania Mungu bandia, yakitokea ya kutokea kila mmoja anataka akimbilie Ulaya na Amerika. Kibaya zaidi hata wakikaribishwa huko ndio huanza kutenda jinai za kila aina na ugaidi juu. Kama wazungu ndio suluhisho la matatizo yetu basi tuwaombe warudi ili watutawale tena, kinyume na hapo hakuna tukomae na matatizo yetu bila kukimbia nchi.
Hio ilikua observation ya corana kabla haija expand kutoka China, hio iliprove watu waliokua wanatakiwa kuwekwa kwenye camps ni watu wa wuhan, hao uighur sio tishio kwa china

Chukua hii observation nyingine


Tumeshuhudia waafrika wakifa huko libya baharini kukimbilia ulaya for the sake Of life wakikimbia umaskini uliopo African

Europe and US did nothing for Africans kuwafanya hawa watu waendelee kubaki Africa na uwezo walikua nao

Leo corona ,Europe and Us wanatumia zaidi 100 trillions kupambana na corona
Maana uhai wa waafrica hauna thamani

Bas hata kuiondelea Zimbabwe vikwazo wamegoma na Mugabe tushamzika

Corona imewaumbua na ubinafsi wao

I love You corona




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulichokiandika hiki si miongoni mwa mafundisho ya Allah na Mtume wake. Alichokiandika Msuluhishi 1 ndio nasaha zilizo sahihi kwa dyni. Dini ya Kiislam imekamilika ndugu yetu. Huwezi kuja na utaratibu wako kisha naponasiiwa kukaidi. Uislamu hautaki hivyo.

وَمَا كَانَ لِمُؤۡمِنٖ وَلَا مُؤۡمِنَةٍ إِذَا قَضَى ٱللَّهُ وَرَسُولُهُۥٓ أَمۡرًا أَن يَكُونَ لَهُمُ ٱلۡخِيَرَةُ مِنۡ أَمۡرِهِمۡۗ وَمَن يَعۡصِ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ فَقَدۡ ضَلَّ ضَلَٰلٗا مُّبِينٗا

"Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanapo kata shauri katika jambo lao. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi hakika amepotea upotofu ulio wazi"- (33:36).
Tutolee hizi takataka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani nawashangaa wote ni waislam alafu mnatukanana,sio vizuri kabisaa .Nyinyi ni ndugu mnatakiwa kuelimishana kwa uzuri na kurefer qur-an inavyosema na hadithi za mtume.

Tusiwe na kiburi na huuu uhai ukatufanya tunajiona kama vile tumejileta duniani,au sijui hizo elimu za mazingira au mali tulizo nazo zinatuadaa sana.Mgeweza kuelekezana bila kuudhiana kama mtume anavyoelekeza.

Allah anapenda waja wake wenye kujishusha na kutumia zaidi hekima na busara.Unaposema mwenzako ametaliwa na mambo ya dini wewe unataka atawaliwe na nini? ,

Dadaangu nakushauri tu usirudie tena kusema hivyo.Dini ndoo kila kitu kama wewe hauwamiini hivyo mbona bado upo kwenye huo uislam? Au hauja tafuta dini yako unayoiona inafaa? Yote hayo yanasababishwa na kiburi cha uhai uliopewa na Mungu.

Kama ni mali na hayo yote utayaacha tu na hautakauwa wakwanza kufanya hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii yote sababu nimesema sipeani mikono na mtu haha mnanishangaza sana, kwani ni lazima kupeana mikono? Hebu niambie wapi imeandikwa kua baada ya Sala ni LAZIMA kupeana mikono?

Unakuja kunishushia gazeti mbona huyo aliyeniita majina ya kifedhuli hujasemezana nae, tatizo lenu mmetawaliwa sana na jazba,
Nakazia kua UTARATIBU WANGU SIPEANI MIKONO NA MTU BAADA YA SWALA, sijatoka nje ya mada unless uwe hujui mada imeuliza nini.
 
Ulichokiandika hiki si miongoni mwa mafundisho ya Allah na Mtume wake. Alichokiandika Msuluhishi 1 ndio nasaha zilizo sahihi kwa dyni. Dini ya Kiislam imekamilika ndugu yetu. Huwezi kuja na utaratibu wako kisha naponasiiwa kukaidi. Uislamu hautaki hivyo.

وَمَا كَانَ لِمُؤۡمِنٖ وَلَا مُؤۡمِنَةٍ إِذَا قَضَى ٱللَّهُ وَرَسُولُهُۥٓ أَمۡرًا أَن يَكُونَ لَهُمُ ٱلۡخِيَرَةُ مِنۡ أَمۡرِهِمۡۗ وَمَن يَعۡصِ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ فَقَدۡ ضَلَّ ضَلَٰلٗا مُّبِينٗا

"Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanapo kata shauri katika jambo lao. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi hakika amepotea upotofu ulio wazi"- (33:36).
Hua muda ulioutumia kuandika hayo yasiohusika na mada ungeutumia kumjibu mtoa mada na papo hapo ukanijibu na mimi, UISLAM UNASEMAJE KUHUSU MAGONJWA YA KUAMBUKIZA? Halafu nakuongezea na hili, ni wapi tumeambiwa ni LAZIMA kushikana mikono baada ya swala?
 
Nikianza kucategorize mpaka Juba, unadhani watu wote wanaelewa thats a General term, angalia nimetumia post modifier ipi ,Niqab ndo inaingia hapo


Turudi Kwenye hoja ,

Maji ni uhai, usafi, tiba

Mtu anaetumia toilet paper, kula virusi vya popo au nguruwe kwake sio issue maana hana mwongozo,lazima alete majanga

Refer the Spanish flue 1918

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ujinga na unajua.
Maji ni uhai, maji yanaleta usafi pia maji ni TIBA

Tukirejea habari za Biblia takatifu Kristo alivyomponya Bathlomayo.
Yohana 9:1-7
1 Hata alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa.
2 Wanafunzi wake wakamwuliza wakisema, Rabi, ni yupi aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu?
3 Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi, wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake.
4 Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenipeleka maadamu ni mchana, usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi.
5 Muda nilipo ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.
6 Alipokwisha kusema hayo, alitema mate chini, akafanya tope kwa yale mate. Akampaka kipofu tope za macho,
7 akamwambia, Nenda kanawe katika birika ya Siloamu, (maana yake, Aliyetumwa). Basi akaenda na kunawa; akarudi anaona.

Swali langu kuu ambalo haujalijibu huko miskitini mnatumia sanitizers kuosha mikono yenu?
 
Hio ilikua observation ya corana kabla haija expand kutoka China, hio iliprove watu waliokua wanatakiwa kuwekwa kwenye camps ni watu wa wuhan, hao uighur sio tishio kwa china
Kwa akili yako unadhani hao watu wa Uighur wapo kwenye camps kwa sababu gani?
Tishio la watu wa Uighur ni kubwa sana kwa taifa kama lile la kikomunisti sasa nisitoe majibu mpaka pale utakapojibu swali langu.

Chukua hii observation nyingine


Tumeshuhudia waafrika wakifa huko libya baharini kukimbilia ulaya for the sake Of life wakikimbia umaskini uliopo African

Europe and US did nothing for Africans kuwafanya hawa watu waendelee kubaki Africa na uwezo walikua nao
Yani wewe kwa akili yako kabisa unawaza hilo jambo litendeke waache kufanya mambo ya ndani ya nchi zao kwa manufaa ya mtu wa Africa?
.
Mambo makubwa yaliyofanywa na US pamoja na EU including U.K kwa uchache hapa Africa
1. Kuhakikisha kila muafrica anapata elimu. Hili ni lengo la millenia na limeanza muda mrefu tu.
2. Kuhakikisha kila taifa linapatiwa pesa kwa ajili ya maendeleo tena zenye masharti nafuu.
3. Kuhakikisha kila taifa la afrika linajimudu kwa mambo mengi.

Sasa tumewaona wapumbavu tukamgeukia mchina anayetupa mikopo mikubwa mikubwa pasipo hata kuchukua muda, na kutupa kila tunachotaka na ili kututhibitishia kuwa yeye ana upendo nasi zaidi kuliko mabeberu anajenga viwanda kwenye ardhi za afrika hii inaitwa kalagabaho.
Sitaki kueleza mengi

Leo corona ,Europe and Us wanatumia zaidi 100 trillions kupambana na corona
Maana uhai wa waafrica hauna thamani
Wakati Ebola iko Africa nani alipambana hadi imekwisha? Do you think was Arabs?

Bas hata kuiondelea Zimbabwe vikwazo wamegoma na Mugabe tushamzika

Corona imewaumbua na ubinafsi wao

I love You corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani wewe uko na kinga dhidi ya hiki kirusi unajidanganya here in Gartens kuna hofu kubwa sana na tuko watu weusi kibao tu.
Bado hakijaingia vizuri just continue on loving sh*t disease and you shall see what's gonna happen to y'all na vimiji vyenu kama madampo ya Alabama
 
Hijja na Umbra vitakuwepo Mecca na Madina? Je, Nguzo moja ya uislam ya Hijja itaanguka na kubaki 4?
Waombe sana wanaowaita MAKAFIRI wagundue chanjo mapema Corona isiwe tishio la sivyo mwaka huu hakuna hijja.
 
Baada ya Swala

Ni khiyari kupeana Mikono,maana halina ushahidi
Moja ya njia za kuzuia kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa korona ni kuacha kushikana mikono. Waislam wana tabia ya kushikana mikono baada ya kumalizika kwa swala.

Je, inaswihi kuacha kushikana mikono baada ya swala ya jamaa?

Je, kushikana mikono baada ya swala ni agizo la dini au khiari tu ya muumini?

Mufti anasemaje kuhusu waislamu kupeana mikono?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Allah kaleta corona kudhihirisha ukweli ni upi na uongo ni upi

Ukweli ni kuwa ukivaa hijab ukijifunika uso
Huna haja ya kuvaa mask, imedhihirika huko ulaya Hijab sio vazi la kukataza.

Ukweli ni kuwa ukishika udhu au kunawa mara tano Kwa siku, unajilinda na maambukizi tele na msikitini hawaingii wala virusi vya popo na nguruwe

Uongo ni huu, kuna story Yesu alipigwa busu na yule aliemsaliti, hii story ukiileta Kwenye context ya sasa ya corona, yule aliembusu yesu angemuambukiza yesu corona so yesu angekufa Kwa corona na sio msalabani, hii inadhihirisha tukio la msalabani ni uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo naninyi wanaume mnataka kuvaa hijabu [emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa Uighur wamesababisha madhara gani Kwa china so far?
Ingekuwa vyema sana kama ungejibu swali langu kisha nianze kushuka nondo zenye ushahidi.

"Kwa akili yako unadhani kwanini waislamu wa Uighur wako kwenue camps?

Unasema waache kufanya mambo yao, France alitumia nguvu Kubwa kumng'oa Gadafi, huko kwake yellow vest protest wanamtesa, so Africa alikuja kujitengeneza mazingira ya kuroot resources za Africa
This is nonsense!
Umoja wa mataifa ndio ulimuondoa Gadafi (sio UN) ni nchi kadhaa ziliungana kumuondoa.

Yellow vest hawa wana historia pana sana na hawajaanza leo wala juzi wengi ni wakaazi wa mashambani hawapingi u-dictatorship wana mambo yao wanayoyataka.

US baada ya kuona mazingira yake ya kuroot resourses huko Afghan yako hatarini, leo anaingia mkataba na watu alioiaminisha dunia ni MAGAIDI,baada ya kulazimisha silaha zake zinunuliwe huko Korea kufeli
Ofcourse Taliban ni magaidi pengine huijui tafsiri ya ugaidi waweza google.
Serikali ya Afghanistan imewaambia Taliban kaka wanataka kuongoza wananchi au kuingia bungeni basi waombe ridhaa kwa wananchi otherwise there's nothing they'll get.

U.S troops ziko Afghanistan kwa ajili ya kulinda amani lakini kumbuka wanatumia pesa nyingi sana kuwepo kwao huko hivyo ni lazima iwepo return.
Makubaliano yaliyoingiwa ndicho walichokiendea huko kuna mbinu mbalimbali za kuondoa ugaidi kama imeshindikana kuwaondoa kwenye kwa nguvu why isitumike njia ya amani?

Wanaopenda shit ni hao wanaotoa misaada Kwa masharti wa kusupport Ugay
Kwanini Africa wasikimbilie china
Ushoga no one is supporting it kiuhalisia na tena Trump and Republicans wote wako against ushoga ila Obama plus all Dems wana support Ushoga ila haki za binadamu zinasemaje?

China anakupa mapesa mengi kisha anajimilikisha kabisa rasimali za nchi yako unabaki huna kitu, Tanzania haina gesi asilia hiyo Gesi mnayoiona ina wenyewe siku nyingi sana.

Misaada asilimia 10 alafu kila siku unaniroot 90 through multinational companies,IMF, its like giving back to the community


The world is full of injustice, corona is a good test

Sent using Jamii Forums mobile app
Corona is deadly and nakwambia itakuwa the deadliest Africa hamtaamini na mnaoishi DASLAM mmekwisha ka mji kama dampo
 
Moja ya njia za kuzuia kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa korona ni kuacha kushikana mikono. Waislam wana tabia ya kushikana mikono baada ya kumalizika kwa swala.

Je, inaswihi kuacha kushikana mikono baada ya swala ya jamaa?

Je, kushikana mikono baada ya swala ni agizo la dini au khiari tu ya muumini?

Mufti anasemaje kuhusu waislamu kupeana mikono?
Kwani huu ugonjwa umeshaingia hapa kwetu mpaka tuanze kujiwekea masharti hayo yanayopingana na utamaduni na dini zetu?
Wacheni kujitia kwenye shangwe ambayo haijafika kwetu.
ikiingia ,hata kuswali msikitini kunaweza kuzuiliwa ikiwa hali itakuwa tete.
Tazama Makka,
 
Back
Top Bottom