Waislam mnasemaje kuhusu kuacha kushikana mikono baada ya swala Msikitini?

Waislam mnasemaje kuhusu kuacha kushikana mikono baada ya swala Msikitini?

Wazungu bhana hawana kitu cha bure sio kwa waafrika bala hata kwa wazungu wenyewe. Elimu wanayokupatia ni kwa faida yao kuweza kupata chip leba na vibaraka kwaajili ya kuendeleza ukoloni mambo leo, sio elimu ya kumfanya mwafrica aweze kuiendesha nchi, kutengezeza sindano, gari wala baiskeli.
Sasa boss mbona wanaturuhusu kusoma kwenye nchi zao?
Na tena tunasoma na wenyeji sawasawa
 
Moja ya njia za kuzuia kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa korona ni kuacha kushikana mikono. Waislam wana tabia ya kushikana mikono baada ya kumalizika kwa swala.

Je, inaswihi kuacha kushikana mikono baada ya swala ya jamaa?

Je, kushikana mikono baada ya swala ni agizo la dini au khiari tu ya muumini?

Mufti anasemaje kuhusu waislamu kupeana mikono?

Haina tatizo maadamu wataalamu wa tiba wamethibitisha hilo, basi sisi tunatii hilo katika hali ya tahadhari na Kujakilinda. Na huu ndio muongozo wa Uislamu.
 
Allah kaleta corona kudhihirisha ukweli ni upi na uongo ni upi

Ukweli ni kuwa ukivaa hijab ukijifunika uso
Huna haja ya kuvaa mask, imedhihirika huko ulaya Hijab sio vazi la kukataza.

Ukweli ni kuwa ukishika udhu au kunawa mara tano Kwa siku, unajilinda na maambukizi tele na msikitini hawaingii wala virusi vya popo na nguruwe

Uongo ni huu, kuna story Yesu alipigwa busu na yule aliemsaliti, hii story ukiileta Kwenye context ya sasa ya corona, yule aliembusu yesu angemuambukiza yesu corona so yesu angekufa Kwa corona na sio msalabani, hii inadhihirisha tukio la msalabani ni uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee
 
Allah kaleta corona kudhihirisha ukweli ni upi na uongo ni upi

Ukweli ni kuwa ukivaa hijab ukijifunika uso
Huna haja ya kuvaa mask, imedhihirika huko ulaya Hijab sio vazi la kukataza.

Ukweli ni kuwa ukishika udhu au kunawa mara tano Kwa siku, unajilinda na maambukizi tele na msikitini hawaingii wala virusi vya popo na nguruwe

Uongo ni huu, kuna story Yesu alipigwa busu na yule aliemsaliti, hii story ukiileta Kwenye context ya sasa ya corona, yule aliembusu yesu angemuambukiza yesu corona so yesu angekufa Kwa corona na sio msalabani, hii inadhihirisha tukio la msalabani ni uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha kuona uliepost ni mtu mzima sometimes muwe mnatumia akili kabla hamjatype haipendezi mtu mzima kupost utumbo hivi wakati Nchi ikiwa katika hali ya taharuki shame on you Swain
 
Moja ya njia za kuzuia kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa korona ni kuacha kushikana mikono. Waislam wana tabia ya kushikana mikono baada ya kumalizika kwa swala.

Je, inaswihi kuacha kushikana mikono baada ya swala ya jamaa?

Je, kushikana mikono baada ya swala ni agizo la dini au khiari tu ya muumini?

Mufti anasemaje kuhusu waislamu kupeana mikono?
Kama ungekuwa mchunguzi wa masuala hayo ungegundua kuwa jamii hiyo ina namna nyingi za kusalimiana na kutakiana kheri. Moja wapo ni mja anaposalimiwa na mwenzake naye huweka mikono yake miwili kwenye kifua chake na kuinama kidodgo. Hiyo ni salam tosha.
 
Currently World experts are arguing that, there should be a world medical center in each country in the World, that Will be dealing with pandemic outbreak and to make it in control, na kushare information

Wanasema the novel corona ingeweza kutokae nchi yeyote kama togo, peru rwanda etc

New pandemics zitaweza kudhibitiwa sehemu hata zikianzia Tanzania na taarifa za huo ugonjwa mpya zikawa shared Kwa experts wengine huko duniani

Sio kama sasa pandemic inaanzia sehemu moja then inatesa dunia nzima

On contrally hata Tanzania kuwa na lab moja tu ya dar si jambo Jema, kunatakiwa kuwe na lab nchi nzima ili pandemic ikitokea inadhibitiwa hukohuko na information inakua shared globally, sio mambo ya nenda rudi nenda rudi hii ni mauwaji


Kuhusu mauvumbuzi nenda kasomo yapo mengi sana



Sent using Jamii Forums mobile app
Bro i asked what are the Moslems majority countries doing to get a damn vaccine?

Mnaowaita makafiri wako kwenye majaribio
 
Allah kaleta corona kudhihirisha ukweli ni upi na uongo ni upi

Ukweli ni kuwa ukivaa hijab ukijifunika uso
Huna haja ya kuvaa mask, imedhihirika huko ulaya Hijab sio vazi la kukataza.

Ukweli ni kuwa ukishika udhu au kunawa mara tano Kwa siku, unajilinda na maambukizi tele na msikitini hawaingii wala virusi vya popo na nguruwe

Uongo ni huu, kuna story Yesu alipigwa busu na yule aliemsaliti, hii story ukiileta Kwenye context ya sasa ya corona, yule aliembusu yesu angemuambukiza yesu corona so yesu angekufa Kwa corona na sio msalabani, hii inadhihirisha tukio la msalabani ni uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshindwa kuelewa hiyo paragraph ya mwisho imeingiaje kwenye mada ya Waislamu kushikana mikono baada ya swala. Kama wewe unafahamu ukweli wa kilichotokea kati ya Yesu na Yuda, si uanzishe uzi wako kuuchambua huo 'uongo' unaosemwa na kutupa ukweli wake ambao sijui umeutoa wapi? Zaidi ya hayo, Wakristu wanafahamu wanachosema ndiyo hasa ilivyotokea. Wewe inakuhusu nini kuanza kudadisi imani yao? Waarabu na Wapalestina huamkiana kwa kubusiana. Sasa ni kipi cha ajabu kuambiwa Yuda aliwaambia watesi wa Yesu atamtambulisha kwao kwa kumbusu. Unang'ang'ania kusema kama kweli alimbusu basi angemwambukiza corona. Kwani nani kakuambia Yuda alikuwa na corona? Ataambukizaje ugonjwa ambao yeye hana? Nahisi ulikuwa na yako tu ya kusema ukakosea kwa kuchomekea fikra zako mahali ambapo wala hapastahili.
 
Sasa boss mbona wanaturuhusu kusoma kwenye nchi zao?
Na tena tunasoma na wenyeji sawasawa
Vyuo wanakoseshwa wazungu wanaoandaliwa kuwa think tank lao waafrika hawafiki huko. Na Kama utafika huko basi lazima watakubakisha hukohuko kwao
 
Currently World experts are arguing that, there should be a world medical center in each country in the World, that Will be dealing with pandemic outbreak and to make it in control, na kushare information

Wanasema the novel corona ingeweza kutokae nchi yeyote kama togo, peru rwanda etc

New pandemics zitaweza kudhibitiwa sehemu hata zikianzia Tanzania na taarifa za huo ugonjwa mpya zikawa shared Kwa experts wengine huko duniani

Sio kama sasa pandemic inaanzia sehemu moja then inatesa dunia nzima

On contrally hata Tanzania kuwa na lab moja tu ya dar si jambo Jema, kunatakiwa kuwe na lab nchi nzima ili pandemic ikitokea inadhibitiwa hukohuko na information inakua shared globally, sio mambo ya nenda rudi nenda rudi hii ni mauwaji


Kuhusu mauvumbuzi nenda kasomo yapo mengi sana



Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mkuu.

Kwa bahati mbaya wazungu walichekelea China kukumbwa na fatal corona wakidhani ingeishia hukohuko na kushusha uchumi wa China, kumbe walikuwa wakijidanganya. Kama dunia nzima ingekwenda kuisaidia China kupambana na maambukizi huenda hadithi ya corona isingekuwa hii tena.
 
Imeingia Kwa sababu ya CORANA

Dunia inajifunza leo ujinga wa mtu Mmoja unaweza kuisumbua dunia nzima

Hizi tabia za kula virusi vya nguruwe na virusi vya popo, athari yake ni mbaya na sio Kwa mlaji tu,

Sasa mafundisho ya dini yanayoruhusu watu kula Virusi lazima zitakua Story za kutunga


Ndio tumefanya kuhamisha hiyo Story Ya YUDA kwenye CONTEXT ya corona, tukaona kumbe ni Story ya kutunga,

Kubusiana sio issue ni culture nzuri


Ila Story za mungu kasalitiwa kwa kupigwa busu na mtu mwenye corona ,huu ni uongo

Kitendo alichofanya paulo cha kutunga hizi Story kimeathiri dunia nzima, sasa watu wanaishi Kwa kula virusi vya Nguruwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukristu halisi wa Kiyahudi ni ule uliyomo kwenye Agano la kale, PAULO aliukorokochoa kwa kuingiza tamaduni za Kirumi kwenye Ukristu wa Kiyahudi, na hapo ndipo mambo yalipoanza kuharibika, hasa pale waliposema kuwa kila kiingiacho mdomoni na tumboni ni halali, hivyo kusababisha watu wakaanza kula kila kitu kama vile popo, nguruwe, nyani, pombe, kambale, nk ambavyo Agano la Kale liliviharamisha kutokana na ubaya wake kiafya. Leo hii tunapata shida nyingi za korona, ebola, tegu, homa ya nguruwe (swine fever) kutokana na watu fulani kula popo, nyani, nguruwe, jongoo, nk
 
kavulata hata nguruwe ukila bila ku intend sio kosa.Pombe inabaki kuwa haram, lakini kwa kesi ya hapa matumizi yake ni kwa nia nzuri.
Sawa, ninachotaka mimi waislam wakifahamu ni kuwa sanitizers hizi za kunawa mikono zinatengenezwa na pombe kali (60% alcohol), Hivyo waone kama baada ya mwili na nguo zao kudondokewa na sanitizer bado wanao udhu au la. Quran inasema nini kuhusu pombe kwenye ngozi na nguo.

Hii inaonyesha kuwa mwislam kunywa pombe bila kulewa sio haramu
 
Waafrika sisi tuna tabu sana na haya mambo... anyway tutaona itakavokua
 
Waafrika sisi tuna tabu sana na haya mambo... anyway tutaona itakavokua
Turudishe vidole vyetu kwenye .mstari tuanze kula vitu tulivyoruhusiwa kula kwa mujibu wa Quran, torati,na injili ili kupunguza magonjwa ya hivi, zoonotics
 
Moja ya njia za kuzuia kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa korona ni kuacha kushikana mikono. Waislam wana tabia ya kushikana mikono baada ya kumalizika kwa swala.

Je, inaswihi kuacha kushikana mikono baada ya swala ya jamaa?

Je, kushikana mikono baada ya swala ni agizo la dini au khiari tu ya muumini?

Mufti anasemaje kuhusu waislamu kupeana mikono?

Ninavyo fahamu mimi, swala ya Jamaa inayojumuisha watu wengi kwa pamoja, ni kwa ajili ya kudumisha umoja, na kuweza kuunganisha waumini ili kushirikiana kwenye shuhuli za maendeleo na pia kwenye Shida na raha
Kwa maana hiyo, suala la kushikana mikono ni utaratibu tu (sunna) na wala sio sehemu ya swala (haibadilishi swala)

Nakumbuka katika mafundisho mbalimbali ya Mtume Muhamad; alisha fundisha kuwa inapotokea magonjwa ya mlipuko kama ukoma enzi hizo, haimpasi mtu anayejihisi mgonjwa kusali sala ya jamaa badala yake asalie Njumbani kwake. kwa hiyo panapotokea magonjwa ya kuambukiza kwa hewa/kugusana, kujitenga kupo tayari kwenye mafundisho ya kiislam ili kuepuka kuambukiza wengine
 
Back
Top Bottom