Allah kaleta corona kudhihirisha ukweli ni upi na uongo ni upi
Ukweli ni kuwa ukivaa hijab ukijifunika uso
Huna haja ya kuvaa mask, imedhihirika huko ulaya Hijab sio vazi la kukataza.
Ukweli ni kuwa ukishika udhu au kunawa mara tano Kwa siku, unajilinda na maambukizi tele na msikitini hawaingii wala virusi vya popo na nguruwe
Uongo ni huu, kuna story Yesu alipigwa busu na yule aliemsaliti, hii story ukiileta Kwenye context ya sasa ya corona, yule aliembusu yesu angemuambukiza yesu corona so yesu angekufa Kwa corona na sio msalabani, hii inadhihirisha tukio la msalabani ni uongo.
Sent using
Jamii Forums mobile app