Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Injili ni lazima ifike kila mahali ili siku ya kiama kusiwe na kisingizio. Pamoja na hayo maandamano trust me kama sio leo bas hata mwakani ni lazima kanisa kama mwili wa kristo ujengwe Pemba na ndo maana hata uko Iran tyr kuna kanisa...
 
Huoni aibu kuropoka huu utumbo....huna reference kaa kimya dogo
Pita hapo uelimishwe

 
Upo Sahihi kabisa Mkuu. Tatizo ni Ujinga na Ulimbukeni
 
Mm mkristo lakini sisumbiliwi na hilo ndo uvumilivu wa kidini huo .
 
Hawa ndugu zangu wamekosa akili, hekima na uvumilivu wa kiimani.

Kama walivyo huru kuamini katika uislamu na kujenga misikiti, ndivyo hivyo hivyo wanapaswa kujua kuna watu wengine wenye Imani tofauti wenye haki ya kuwa na uhuru huo huo.
Subiri matusi na kuitwa KAFIRI
 
Kuna jipya gani kwenye makanisa yenu zaidi ya kutongozana na kuuwana jumlisha ushoga yaani upuuzi mtupu ndio utushawishi
Ushoga umetamalaki zaidi katika misikiti, mikubwa USA, CANADA, SA n.k

Huko Zanzibar na Pwani yote ninyi Waislam ndio waasisi wa kuwaharibu wanawake nyuma na Ushoga mliasisi ninyi

Mwaita mambo ya pwani
 
Kutafuta kazi TRA, POLICE, au Uhamiaji kwa hongo ili ale rushwa
Hapo elimu ndio walipoifikisha
Kusoma sana ili uwe mwizi [emoji1]
Ndio maneno yenu na lawama mliokosa Elimu dunia

Kwa elimu akhera mtaishia kutawadha tu
 
Unaongelea Yesu wa biblia ipi?
 
Waandamanaji wengi wamevaa yebo yebo,sijui hichi kipimo cha kupanda uchumi uwa wanaangalia vigezo gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…