Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Si wana building permit?Kama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
Hawa ndugu zangu wamekosa akili, hekima na uvumilivu wa kiimani.Kama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
πππππ»Kama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
Hawa kiboko yao ni Kagame .Aisee!!
Alafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.
Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.
Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.
Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
Na wewe umetengeneza nini kwa hiyo "Elimu Dunia"? Au wewe unakariri tu ila huna ulichokigundua?Hata hiyo hijabu unayovaa ni matokea ya utaalamu wa elimu dunia. Kitabu kipi cha dini chenye formula ya kutengeneza mashine ya kufuma nyuzi zikatengeneza jora la kushonea hijabu?
Tulia basi wewe!!!!
Itakuwa kuhifadhi mistari ya NasWewe elimu dunia imekupa faida gani?
Maandamano hayafai.Kama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
Kisiwa cha kidini sana hicho wakati wakija huku bara wanatanua sanaZanzibar ....
Adhana ni jambo la kisharia sio ubunifu wa kiteknolojia. Unatakiwa ulijue hilo.Aisee!!
Alafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.
Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.
Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.
Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
Khee!Wewe elimu dunia imekupa faida gani?
Kama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
dogo
Yanatupigia makelele tu mtaani, hayo maspika na wale wahubiri injiri wanaotumia vipaza sauti na maspika kwenye stend, wote wanachafua mazingira kwa makelele yao.Adhana ni jambo la kisharia sio ubunifu wa kiteknolojia. Unatakiwa ulijue hilo.
Kuna jipya gani kwenye makanisa yenu zaidi ya kutongozana na kuuwana jumlisha ushoga yaani upuuzi mtupu ndio utushawishiπππππ»
Sio poa yaan wanazuia kanisa lisijengwe maana wanajua nguvu ya kanisa, wanawake woooote wa kiislam watahamia kanisani maana walishaanza kuvua hijab sasa kinachofuata ni kuwahama kabisa
Sijasema mimi kuna mwamba nimemnukuu hapo juu
Nipishe nipite nitarudi...
Hatutaki ukafiri na ushogaUnaogopa Nini kaanisa bro, usiwe kama Giza kutoweka likiiona Nuru
Dah hii ni changamoto sana, japo haisemwi. Sina shida na adhana zingine, ila Ile ya alfajir ni kisangaAisee!!
Alafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.
Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.
Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.
Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.