Waislam, Ramadan/Ramadhan Imekaribia , Kisiwe Kikwazo Kwa Dini Nyingine Hasa Masuala Ya Ulaji Na Mfumo Wa Maisha .

Waislam, Ramadan/Ramadhan Imekaribia , Kisiwe Kikwazo Kwa Dini Nyingine Hasa Masuala Ya Ulaji Na Mfumo Wa Maisha .

Nyafwili

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2023
Posts
4,240
Reaction score
10,561
Wale wanaofunga mnapaswa kuelewa kuwa si kila mtu anafunga, hivyo haipaswi kuwa ni sababu ya kuwahukumu wengine, kuwaita majina ya hovyo au kuwalazimisha dini nyingine au watu wengine kufuata mtindo wa maisha wa kufunga.

. Jambo la msingi katika jamii zenye mchanganyiko wa imani. Ramadhan ni mwezi mtukufu kwa Waislamu, ambapo wanatakiwa kufunga kutoka alfajiri hadi jua linapozama kwa hiyo msijione nyinyi ni watu muhimu sana katika suala la iman bali wote ni sawa.

Mambo muhimu ya kuzingatia
1. Kuwa smart ( maana unaweza kutana na mtu aliye funga mdomo umekauka utadhani ameishiwa maji mwilini, usifanye hivyo maana kufunga siyo adhabu ya kushinda njaa kutwa zima )​
2. Usifunge kwa kulazimishwa na mtu, kwa sababu dini ni suala la imani na siyo kufuata mkumbo kutoka kwa familia yako, kutoka kwa sheikh wako au jamii Fulani.​
3. Siyo lazima kila mtu ajue kama upo kwenye mfungo, na punguzeni hasira ukiona sehemu Fulani vyakula vinanukia.​
 
Kule Zanzibar kama wewe Mzanzibar na hauumwi kufunga ni lazima usipo fungal jamii inakuandama ndiyo Maana Wazanzibar wasiofunga wanakimbilia Tanganyika mpaka mfungo umalizike.
Wale wanaofunga mnapaswa kuelewa kuwa si kila mtu anafunga, hivyo haipaswi kuwa ni sababu ya kuwahukumu wengine, kuwaita majina ya hovyo au kuwalazimisha dini nyingine au watu wengine kufuata mtindo wa maisha wa kufunga.

. Jambo la msingi katika jamii zenye mchanganyiko wa imani. Ramadhan ni mwezi mtukufu kwa Waislamu, ambapo wanatakiwa kufunga kutoka alfajiri hadi jua linapozama kwa hiyo msijione nyinyi ni watu muhimu sana katika suala la iman bali wote ni sawa.

Mambo muhimu ya kuzingatia
1. Kuwa smart ( maana unaweza kutana na mtu aliye funga mdomo umekauka utadhani ameishiwa maji mwilini, usifanye hivyo maana kufunga siyo adhabu ya kushinda njaa kutwa zima )​
2. Usifunge kwa kulazimishwa na mtu, kwa sababu dini ni suala la imani na siyo kufuata mkumbo kutoka kwa familia yako, kutoka kwa sheikh wako au jamii Fulani.​
3. Siyo lazima kila mtu ajue kama upo kwenye mfungo, na punguzeni hasira ukiona sehemu Fulani vyakula vinanukia.​
 
Kule Zanzibar kama wewe Mzanzibar na hauumwi kufunga ni lazima usipo fungal jamii inakuandama ndiyo Maana Wazanzibar wasiofunga wanakimbilia Tanganyika mpaka mfungo umalizike.
. Ni Uelewa mdogo huo kwenye suala la dini, siku zote dini hailazimishwi..

. Mtu analazimishwa kufunga kwa amri, ni mambo ya ajabu sana
 
Nakutahadharisha tu
Hiki sio kipindi kizuri cha kwenda Zanzibar

Ni ujinga wa kiwango cha juu kulazimisha watu kufunga
. Ukifanya utafiti ni wachache sana ndo wanafunga, ( wengi wanapiga misosi kimya kimya magetoni)

. Mtu anafunga asubuhi mpaka jioni, ila ikifika mda wa kufuturisha anakula utadhani anahama nchi.
 
Wale wanaofunga mnapaswa kuelewa kuwa si kila mtu anafunga, hivyo haipaswi kuwa ni sababu ya kuwahukumu wengine, kuwaita majina ya hovyo au kuwalazimisha dini nyingine au watu wengine kufuata mtindo wa maisha wa kufunga.
Bara hakuna hiyo shida, tatizo ni Zanzibar maana huku ukikutwa hata unakunywa maji tu kupooza kiu wakati wa mfungo waweza kuchezea bakora za kutosha.

Unapewa kipigo kizito huku ukiambiwa:
" hapa siyo Bara..."


View: https://youtu.be/hxqz10va-sA?si=-kynU1yakpgCVzxs
 
Wale wanaofunga mnapaswa kuelewa kuwa si kila mtu anafunga, hivyo haipaswi kuwa ni sababu ya kuwahukumu wengine, kuwaita majina ya hovyo au kuwalazimisha dini nyingine au watu wengine kufuata mtindo wa maisha wa kufunga.

. Jambo la msingi katika jamii zenye mchanganyiko wa imani. Ramadhan ni mwezi mtukufu kwa Waislamu, ambapo wanatakiwa kufunga kutoka alfajiri hadi jua linapozama kwa hiyo msijione nyinyi ni watu muhimu sana katika suala la iman bali wote ni sawa.

Mambo muhimu ya kuzingatia
1. Kuwa smart ( maana unaweza kutana na mtu aliye funga mdomo umekauka utadhani ameishiwa maji mwilini, usifanye hivyo maana kufunga siyo adhabu ya kushinda njaa kutwa zima )​
2. Usifunge kwa kulazimishwa na mtu, kwa sababu dini ni suala la imani na siyo kufuata mkumbo kutoka kwa familia yako, kutoka kwa sheikh wako au jamii Fulani.​
3. Siyo lazima kila mtu ajue kama upo kwenye mfungo, na punguzeni hasira ukiona sehemu Fulani vyakula vinanukia.​
Ombea Refa wa YANGA na Simba asiwauzi maana mnaweza msifungekshooyaake nusu yenu
 
Back
Top Bottom