Waislam tuachane na adhana tutumie alarm za simu zetu

Waislam tuachane na adhana tutumie alarm za simu zetu

Sawa nkimaanisha peace be unto you✌.
Kwasababu unachotaka nifanye siwezi...Sina tabia ya kuanza kufuatilia makablasha ya ID za jf sijui mwaka gani alipost nini...Sidhani kama wewe ulinifuatilia ulipoanza kuniita flatfooted, simpleton, mjinga nk....Huwa najadili hoja zilizopo mezani kwa wakati huo tu bila kujali ni nani najadiliana nae na alisema nini mwaka juzi. Kama unataka tuendelee kujadili sayansi sawa...
Sasa wewe unanitaka nikufuatilie ili nikujue na kukuacknowledge, its not in my character.
I know you'd be happy If I did so, But Im sorry that Im not sorry :'(
Umejionesha kwamba wewe ni mtu wa kubwabwaja kwa hisia badala ya kuangalia facts.

Pia ni mtu wa kuendekeza ego, ukikosea huwezi kukubali kwamba umekosea.

Ndiyo maana mazungumzo ya kisayansi huwezi.
 
Unakijua king'ora?
Sio kile cha zimamoto au msafara wa wakubwa.
Nikiwa mdogo pale bandarini ikifika asubuhi nuda wa kazi kinapigwa mji mzima wa mzizima mnakisikia.,
Mchana pia lunch break kitapigwa.
Na alasiri jumaliza kazi kitaoigwa
Mwaka jana nikiwa unguja nilikisikia,tena chao kikali kinasikika zanzibari yote kasoro pemba.
Lengo la hicho king'ora ni kukumbushana,ni kama kengere ya time keeper shuleni.
Sasa sisi waislam yatupasa kuachana na adhana kuitana kusali,alarm zipo nyingi siku hizi,tuzitumie.
Adhana kuna nchi fulani nadhani ni ufaransa sijui maana ndio nchi yenye waislam wengi iliwahi kupiga marufuku adhana.
Tukaswali ila tutumie njia mbadala kuitana na kukumbushana kumuabudu Mungu .
Kuna msikiti umejengwa jirani na nyumbani kwangu, Kwa kweli inatesa sana watoto alfajili kuwaamsha pasipo lidhaa yao, yaani yaaani[emoji848]
 
Umejionesha kwamba wewe ni mtu wa kubwabwaja kwa hisia badala ya kuangalia facts.

Ndiyo maana mazungumzo ya kisayansi huwezi.
Funny enough we ndo unakimbia hayo mazungumzo ya kisayansi kwa kukomalia hili la GenZ.
Namm ningekomalia hiyo simpleton ingekuwaje?
Mi naona tuachane na hizi personal attacks ambazo wewe ndo umeziasisi, ndomaana nkasema sawa kaka ili yaishe.
 
Funny enough we ndo unakimbia hayo mazungumzo ya kisayansi kwa kukomalia hili la GenZ.
Namm ningekomalia hiyo simpleton ingekuwaje?
Mi naona tuachane na hizi personal attacks ambazo wewe ndo umeziasisi, ndomaana nkasema sawa kaka ili yaishe.
Nakupeleka ignore list kwa sababu unashusha viwango vya mjadala.

Hutaki kwenda kwa facts, unakwenda kwa emotions, ukikosea hutaki kukubali kwamba umekosea. Sina muda mchafu wa kupoteza nawe.

Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
 
Nakupeleka ignore list kwa sababu unashusha viwango vya mjadala.

Hutaki kwenda kwa facts, unakwenda kwa emotions, ukikosea hutaki kukubali kwamba umekosea. Sina muda mchafu wa kupoteza nawe.

Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
I rest my case.
 
Kwa hyo mkuu hyo kelele ya dakika tano ni sawa na yale makelele ya siku nzima kutoka kanisani mnayotumia kumfukuza pepo kweli nyani haoni kundule kuna dini ina kelele kushinda wakristo na maspika siku nzima
Tena wakiwekaga Makongamano yao kwenye viwanja vya Mitaa yetu. Yani ni Makelele Mtindo mmoja kuanzia Asubuhi hadi jioni.

Watajiliza hapo na Mapepo Mara kutoa ushuhuda, mara kupiga Makofi du. Mikelele tu
 
Vipi na waislamu wasiokuwa na uwezo wa kumiliki vifaa vitoavyo alarm!!
 
Funny enough we ndo unakimbia hayo mazungumzo ya kisayansi kwa kukomalia hili la GenZ.
Namm ningekomalia hiyo simpleton ingekuwaje?
Mi naona tuachane na hizi personal attacks ambazo wewe ndo umeziasisi, ndomaana nkasema sawa kaka ili yaishe.

Sameheaneni bwana
 
Mleta uzi upo sawa..mana ni kero kweli kweli kupigizana makelele kuamshana watuwazima kama watoto wadogo ambao hawajui nini cha kufanya.

Wengi wafia dini watakupinga ila zama zimebadilika watumie hata group za WhatsApp kuamshana kuswali.

Kama unaishi karibu na msikiti hakika ni kero kweli kweli wengine hadi sifa sasa..mpaka mawaiza wanafanya hayo maspika yakiwa on.

Mbaya zaidi adhana zenyewe ni full kutishana mara ooh kitanda kaburi mara shuka ni sada..utadhani wao wameyapatia maisha sana kumbe ndio wale wale.

Ni muda sasa wa kuachana na analogia na kwenda kidikitali...alam zinatosha.

#MaendeleoHayanaChama
Isiishie tu kwenye msikiti bali hata makanisa hasa ya kilokole, walazimishwe kuweka miziki na sauti inayowatosha wao waliopo kanisani. Mikesha yote iwe na sauti za kuwatosha wahudhuriaji waliomo kanisani na si kulazimishwa kusikilizwa na wasiokuwepo.
 
Kea kuwa umeweka hadithi na aliyeiweka hyo hadithi ni sahihi bukhari na waislam wanaifuata.MIMI SINA CHA KUONGEZA.elimu yangu ya dini NI ndogo sana na Mungu anajua zaidi
Hapana, sasa katka hii kuunganisha ukawa unaswali mara 3 kila siku ni sawa?
 
Kea kuwa umeweka hadithi na aliyeiweka hyo hadithi ni sahihi bukhari na waislam wanaifuata.MIMI SINA CHA KUONGEZA.elimu yangu ya dini NI ndogo sana na Mungu anajua zaidi
Wewe huna cha kuongeza kivipi?
Maana kuna WAISLAM hawafuati hizo hadith Sahihi wanajiita wasunni, wao wamegoma kabisa kuunganisha salat.
Na WAISLAM wengine wanazifuata wanajiita washia. Wao kila siku wanaunganisha.

Hakuna option ya tatu, hakuna kuwa neutral hapa...ni lazima uchague upande, kufuata au kutozifuata.
Hii ya elimu yangu ndogo, Mungu anajua zaidi...ni chenga tu ambazo wewe mwenyewe moyoni unajijua unasimamia upande upi.
 
Eeeh braza, , si unaziunganisha mbili kwa Wakati mmoja ili usijisumbue unnecessarily.
Cheki apa
Sahih muslim 1524
Ibn Abbas reported: The messenger of Allah(may peace be upon him) observed the noon and afternoon prayers together in Medina without being in a state of fear or in a state of journey. Abu Zubair said: I asked Sa’id[one of the narrators] why he did that. He said: I asked Ibn Abbas as you have asked me, and he replied that he[the Holy prophet] wanted that no one among his Ummah should be put to [unnecessary] hardship.


Sahih muslim 1520
Abdullah b. Shaqiq reported: Ibn Abbas one day addressed us in the afternoon(after the afternoon prayer) till the sun disappeared, and the stars appeared, and the people began to say: Prayer, prayer. A person from Banu Tamim came there. He neither slackened nor turned away, but (continued crying): Prayer, prayer. Ibn Abbas said: May you be deprived of your mother, do you teach me sunnah? And then he said: I saw the messenger of Allah(may peace be upon him) combining the noon and afternoon prayers and the sunset and Isha prayers. Abdullah b. Shaqiq said: Some doubt was created in my mind about it. So I came to Abu Huraira and asked him(about it) and he testified his assertion.
Hadith inaweza kurekebisha Quran ?

Ikitokea mkanganyiko kati ya hadith na Quran unafuata kipi ?
 
Astaghfirullah.haya hayatokei kwa bahati mbaya.
Ndizo zile dalili za mwisho wa dunia.yaani watu wataona uislam unawabana.
Mbinguni hawajui Kama Kuna uislam huku ..njia haraka na rahisi ni kuokoka na kumpenda yesu acheni kelele
 
Unakijua king'ora?
Sio kile cha zimamoto au msafara wa wakubwa.
Nikiwa mdogo pale bandarini ikifika asubuhi nuda wa kazi kinapigwa mji mzima wa mzizima mnakisikia.,
Mchana pia lunch break kitapigwa.
Na alasiri jumaliza kazi kitaoigwa
Mwaka jana nikiwa unguja nilikisikia,tena chao kikali kinasikika zanzibari yote kasoro pemba.
Lengo la hicho king'ora ni kukumbushana,ni kama kengere ya time keeper shuleni.
Sasa sisi waislam yatupasa kuachana na adhana kuitana kusali,alarm zipo nyingi siku hizi,tuzitumie.
Adhana kuna nchi fulani nadhani ni ufaransa sijui maana ndio nchi yenye waislam wengi iliwahi kupiga marufuku adhana.
Tukaswali ila tutumie njia mbadala kuitana na kukumbushana kumuabudu Mungu .
Jana nililala karibu na guest flan maeneo ya korogwe, kumbe ipo karibu na misikiti. Ukweli ni kwamba zinakera sana, kibaya zaidi ukute spika imejichokea inakoroma kama jogoo kwenye mdondo.
 
Back
Top Bottom