Yani wewe uniite mimi GenZ, kama kitu cha kwanza kwenye post yako, bila ushahidi, halafu nikikubana, useme mimi ndiye nahamisha magoli?
Kwani ni mimi au wewe aliyeleta habari ya GenZ?
Yani, wewe unajamba, mimi nikikwambia hapa umejamba, umechafua hewa, umeharibu mambo, unanilaumu mimi kukuambia hapa umejamba? Unasema nahamisha goli?
Kwani hujajamba kweli?
Naona hujakiri kwamba umehemuka kuniita GenZ, hujaniomba radhi, unanilaumu kwa kosa ulilifanya wewe.
Yani wewe si muongo tu, wewe ni muongo usiye na nidhamu wala aibu.
Una tabia ya kwenda kwa hisia zaidi ya fact.
Ndiyo maana huwezi mazungumzo ya kisayansi yanayotaka kuweka hisia oembeni na kwenda na facts.
Wewe ni mjinga, tena mj8nga mvivu.
Unaniita GenZ wakati ungeangalia profile yangu tu ya JF ungejua kwamba kwa post zangu hapa JF siwezi kuwa GenZ.
You are hopelessly emotional, huwezi mazungumzo ya kisayansi yanayotaka facts.