Waislam tuachane na adhana tutumie alarm za simu zetu

Waislam tuachane na adhana tutumie alarm za simu zetu

Mtume anasema "umma wangu utagawanyika makundi 73 yote yataingia motoni isipokua moja tu ambalo litakua kama yeye na maswahaba zake walivo" sasa ww unasemaje huna dhehebu?
Dhehebu la haki na la kulifuata ni lile lenye kufuata Qur'an na sunna za mtume na hao si wengine nao wanajulikana ni Assalafiyun peke ao

Kwahiyo Assalafiyun ndio dheheb pekee sahihi? Ibadhi, Sunni n.k ni wamotoni??
 
Mtaongea sana, adhana itaendelea kama kawaida,,,, sasa ajifanye mtu kuzuia, atakipata akitakacho na huko ataenda kusimulia
Kwamba unatangaza amani huku umeficha mapanga..dini ya hakhi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nyie mbwa hizi spekaker mmezikuta huku mitaani na mtaziacha. Na hakuna cha kutoa spekaker misikitini. Kama hamtaki kusikia adhana nendeni mkaishi mbali na misikiti mbuzi nyie
Ndio mafunzo yenu makubwa kutukana...uwezo wa kujibu hoja hamnaga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mleta uzi upo sawa..mana ni kero kweli kweli kupigizana makelele kuamshana watuwazima kama watoto wadogo ambao hawajui nini cha kufanya.

Wengi wafia dini watakupinga ila zama zimebadilika watumie hata group za WhatsApp kuamshana kuswali.

Kama unaishi karibu na msikiti hakika ni kero kweli kweli wengine hadi sifa sasa..mpaka mawaiza wanafanya hayo maspika yakiwa on.

Mbaya zaidi adhana zenyewe ni full kutishana mara ooh kitanda kaburi mara shuka ni sada..utadhani wao wameyapatia maisha sana kumbe ndio wale wale.

Ni muda sasa wa kuachana na analogia na kwenda kidikitali...alam zinatosha.

#MaendeleoHayanaChama
Hizo Adhana ndio zinakusaidia kuwahi kukiamsha ili uende kwenye Shughuli zako.
 
Haya Sheikh niambie hayo niliyopinga, kama ni loudspeakers enzi za Nabii Muhammad (SAW) hazikuwepo. Hata enzi zetu tulipokuwa wadogo watu wakiadhini tu kwa kutumia sauti na watu wakienda kusali kama kawaida.

Munaongeza mambo ya bid'a halafu munasema eti tunapinga. Subhaana 'llah
Ndugu yangu, unajua Bid'aa ni nini kwanza kishari'ah ?

Unachokisema ni sawa na kusema kwenda Hijja na Ndege ni Bid'aa. Hujaelewa maana ya Bid'aa Kishari'ah.
 
Vipi Bro nawe ushakuwa kama wale wa Mungu kaniotesha usiku wa jana sio

Au unahisi kila jambo lina taratibu za kujiamulia tu.
 
Hizi simu za wazungu?
Elimu dunia hiyo hatuitaki
Najua umeandika kutukejeli Waislam ila fahamu Adhana ni jambo la Kishari'ah. Sio kwamba wakati ule labda Adhana ilikuwa ni ubunifu fulani hivi wa kiteknolojia, la, bali hiyo ni Ibada iliyowekwa Kishari'ah.

Na kuhusu "Elimu Dunia"; Uislam haukatazi kusoma "Elimu Dunia" wala kutumia teknolojia za kisasa. Itoshe tu kusema hivyo kwa sasa.
 
Mimi naona saudia uislam upo maka na madina TU.angalia wafanyakazi wa ndani wanavyopata shida huko saudia utasema uislam ndo unafundisha haya?dola la kiislam linashindwa vipi KUTETEA dhulma inayofanywa na watu wake?haya leo saudia na Iran hawapatani nao NI waislam wenzetu lakini haziwivi.saudia yeye ni Kama mama anatakiwa atuunganishe waislam yeye ndo kioo ila anayifanya anayajua mwenyewe.mimi uwa nasema SINA DHEHEBU Mimi ni muislam.kama nakosea Mungu atanisamehe
Wairan washia saudia wasunni...watapatanaje mkuu?
 
Nitajie DHEHEBU la mtume muhammad.kati ya haya tuliojipa waislam
Mpaka hapa naona upo mbali na watu wenye elimu
Epuka kua mbishi mpaka jina lako ilo likakusadifu kua ni kweli
 
Haya Sheikh niambie hayo niliyopinga, kama ni loudspeakers enzi za Nabii Muhammad (SAW) hazikuwepo. Hata enzi zetu tulipokuwa wadogo watu wakiadhini tu kwa kutumia sauti na watu wakienda kusali kama kawaida.

Munaongeza mambo ya bid'a halafu munasema eti tunapinga. Subhaana 'llah
Nini maana bid'aa?
 
Najua umeandika kutukejeli Waislam ila fahamu Adhana ni jambo la Kishari'ah. Sio kwamba wakati ule labda Adhana ilikuwa ni ubunifu fulani hivi wa kiteknolojia, la, bali hiyo ni Ibada iliyowekwa Kishari'ah.

Na kuhusu "Elimu Dunia"; Uislam haukatazi kusoma "Elimu Dunia" wala kutumia teknolojia za kisasa. Itoshe tu kusema hivyo kwa sasa.
Mimi sina tatizo,ongezeni sauti kabisa
 
Back
Top Bottom