Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sheria zimepitwa na wakati inatakiwa iwe 24hrsSheria zetu mwisho saa sita usiku kupiga mziki
Vipi Kagame nae Ako na wheel chair ni nusu mwaka Sasa Toka adhaba ipigwe marufuku Rwanda na maisha yanaendaNasema hivi, wewe mtanzania na wenzio mnaoupiga vita uislamu jaribuni kuzuia adhana muone, mtarudi nyumbani kwenye wheelchair mzee, acha kabisa
Bhujiku ng'waka!
Huku kwetu Huwa tunatoa maoeoo hatukai nayo kuyatuliza ni nusu mwaka Sasa Toka Rwanda umepiga marufuku adhana na mambo yanaenda[
Ningekuwa karibu na chumba chako ningezielekezea spika za msikitini kwenye dirishani lako ili mapepo yakutoke.
Kagame anajua fika kuwa Genocide haikufanyika Msikitini.Huku kwetu Huwa tunatoa maoeoo hatukai nayo kuyatuliza ni nusu mwaka Sasa Toka Rwanda umepiga marufuku adhana na mambo yanaenda
Huwezi kula Thawabu, thawabu huwa ni kwa ajili ya Maisha ya Akhera.malipo anayolipwa mtu kwa kupiga adhana tofauti na kupata swawabu
Saudia hapo hawajakosea Huyo amekurupuka tu na kuleta taarifa hiyo bila kuelewa au kutaka kupotosha kwa makusudi. Ulitakiwa kuhakiki alichokileta kwanza.Kwanza nikupe elimu kidogo.HAKUNA MWENYE DINI YAKE UISLAM.muarabu sio mmiliki wa uislam.ni sawa na kusema wayahudi ndo wanaumiliki ukristo ile NI njia tu.
Pili SIO KILA anayevaa kanzu na kofia basi ni muislam.wengine wanavaa na kujiita waislam lakini matendo yao sio ya kiislam.saudia Sasa hivi imebadilika na ndio nilichosema DALILI ZA MWISHO WA DUNIA.watu wanataka Uhuru na kuona dini inawafunga funga na kuona dini ya UISLAM imepitwa na wakati.haya yote yalishatabiriwa na lazma yatokee ili huo MWISHO UJE
Licha ya hivyo saudia Sasa hivi imebadilika sheikh..Hadi matamasha ya muziki huko RUKSAwanashirikiana na marekani ambaye ndo adui mkubwa wa uislam,wanacheza mpira,mitandao ya kijamii ruksa .Sasa hivi kuona makalio ni Jambo la kawaida.KAMARI n k tunarudi kule kule kwenye dalili za siku za mwishoSaudia hapo hawajakosea Huyo amekurupuka tu na kuleta taarifa hiyo bila kuelewa au kutaka kupotosha kwa makusudi. Ulitakiwa kuhakiki alichokileta kwanza.
Vipi Kagame nae Ako na wheel chair ni nusu mwaka Sasa Toka adhaba ipigwe marufuku Rwanda na maisha yanaenda
Mimi naona hata wewe HAUPO.kama upo nithibitishie Kama UPO.maana sijawahi kukuona.Dini zinahubiri Mungu yupo.
Mungu huyu anayehubiriwa na dini hayupo.
Dini zinahubiri uongo.
Kama unabisha, thibitisha Mungu huyu anayehubiriwa na dini yupo.
Mimi naona hata wewe HAUPO.kama upo nithibitishie Kama UPO.maana sijawahi kukuona.
Tatizo genZ mkiweka neno Quantum tu kwenye statement mnadhani mmeshamaliza kila kitu.Nimekuonesha kwamba, katika physics, suala zima la cause and effect si fundamental kama unavyolifikiria. Hususan katika muktadha wa kuwa na first mover.
Hii habari ya kufanya first mover kuwa so fundamental and necessary ni dhana inayotokana na anthropic bias yetu tu, kwa sababu sisi kama watu hatuujui ulumwengu at the fundamental level.
Argument ya first mover, hata kama kila kitu kinahitaji cause, si valid wala fundamental.
Kwa sababu, katika quantum physics, hata kama kila kitu kinahitaji cause, the cause can be the effect and the effect can be the cause in a way that a first mover is not needed.
mfano wako wa kipofu hata sijauelewa maana rangi hazina sauti (Rangi ni perception/interpretation ya brains zetu juu ya specific electromagnetic wave frequency iliyo kwenye range fulan tunayoiita visible light, sauti ni interpretation ya ubongo wetu juu ya certain frequency of air vibrations) i feel like i shouldnt be explaining this but hizi ni concept mbili tofauti kabisa, maana moja ni mechanical wave nyingine ni electromagnetic....Pamoja maananyake ni nini? Katika ulimwengu ambao hata time yenyewe haipo, nanikiwapo ni relative, si absolute, utasemaje suala la pamoja?
Yani wewe sasa hivi ni kama mtu kipofu asiyeona, unahadithiwa kuhusu rangi za bendera ya taifa zilivyo.
Sasa unataka kuzijua zike rangi, lakini huoni. Unasikia tu.
Unataka uelezwe rangi nyeusi ina sauti gani, rangi ya njano ina sauti gani, rangi ya bluu ina sauti gani na rangi ya kijani sauti yake ikoje.
Wanaokuelezea dhana nzima ya rangi wanabtabu sana. Kwa sababu hawana nyenzo za kukuelezea rangi ni nini, na wewe kipofu hujui rangi ni nini.
Hii ndiyo kazi uliyonipa hapa.
Tofauti yako wewe nankipofu huyu ninkwamba, wewe una uwezo wa kuondoa upofu wako kwa kusoma breakdown of causality in quantum physics.
Nimeona umetumia maneno kama entropy, kwa hiyo una ufahamu japo wa msingi wa physics.
Nakushauri kasome kabla ya kubushana, iki hata ukibushana baada ya kusoma, uwe unabishana kwa maarifa ya usomi.
Sasa hivi naona hatuelewani.
Miki nakwambia causality is a mirage, an anthrooic bias, not fundamental.
Wewr unarudia kulekule kwenye causality, unaukiza nani kasababisha causality kuwa hivyo?
Swali lako linaonesha hata hujaanza kuelewa somo.
Leo na sisi tunataka atuthibitishie kuwa YEYE YUPO.maana hatujawahi kumuonaHuyu kaka bado tu anazunguka na neno lake "thibitisha" 😅
Mtume anasema "umma wangu utagawanyika makundi 73 yote yataingia motoni isipokua moja tu ambalo litakua kama yeye na maswahaba zake walivo" sasa ww unasemaje huna dhehebu?Mimi naona saudia uislam upo maka na madina TU.angalia wafanyakazi wa ndani wanavyopata shida huko saudia utasema uislam ndo unafundisha haya?dola la kiislam linashindwa vipi KUTETEA dhulma inayofanywa na watu wake?haya leo saudia na Iran hawapatani nao NI waislam wenzetu lakini haziwivi.saudia yeye ni Kama mama anatakiwa atuunganishe waislam yeye ndo kioo ila anayifanya anayajua mwenyewe.mimi uwa nasema SINA DHEHEBU Mimi ni muislam.kama nakosea Mungu atanisamehe
Nitajie DHEHEBU la mtume muhammad.kati ya haya tuliojipa waislamMtume anasema "umma wangu utagawanyika makundi 73 yote yataingia motoni isipokua moja tu ambalo litakua kama yeye na maswahaba zake walivo" sasa ww unasemaje huna dhehebu?
Dhehebu la haki na la kulifuata ni lile lenye kufuata Qur'an na sunna za mtume na hao si wengine nao wanajulikana ni Assalafiyun peke ao
Heheee..kweli dini ni ujinga fulani hivi..kwamba alla anategemea spika za wazungu kuamshiwa watu wake.Sasa kama point ya adhana ni yale maneno na si ile sauti, kwa nini Allah asiwaoteshe watu wote waamke kwa wakati sawa bila mtu kutoa sauti tujue kweli Allah anatuita tukaswali?
Cut the bullshit already.
Utaaamswa na majogoo...au mwambieni alla waamshe msali.Kma sina hiko kifaa kinachopiga aram je