Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kuvumiliana kukoje?Adhana ni sehem muhim sana dini ya uislam toka enzi ya enzi ya uislam ila ni muhimu kuishi kwa kuvumilana na kuheshimiana kati ya dini na dini na wasio na dini kila mtu ana uhuru wake
Kati ya mtu asiyependa kelele anayeona adhana ni kelele na yule anayeona adhana ni haki yake ya kidini nani amvumilie nani? Kwa nini?