Waislam tulio wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji n.k

Noah
Meza kubwa
Mbuzi katoliki
Kiti moto
Swine
Mdudu
Kasongo wa kufugwa
 
Maagizo yote haya alikua anapewa nani?
 
Waislamu wanaruhusiwa kula nguruwe hawajakatazwa,ila wale tu kipindi wakikosa chakula kingine.

Ila inavyoonekana majini hayapendi kitimoto.
Mwanadamu ana haki zaidi ya kuishi kuliko kiumbe kingine duniani....hata ikiwa kula mavi itamuongezea uhai mahala pa njaa ANARUHUSIWA
 
Alafu anafanana na nanihii yule wa humu
 
Reactions: K11
Kwa bahati Nzuri Mshkaji hanaga baya Na mtu! Yeye na mishe zake Tu za kugawa utamu bila choyo!

Kila siku kashfa dhidi yake haziishi ila Jamaa chati inapanda Tu daily. Long live Kitimoto the Clan
 
Mbona hata kwenye Biblia yenu amekatazwa? Soma
Walawi 11:7-8 Na NGURUWE kwasababu anazo kwato,ni mwenye miguu iliyopasuka kati,lakini hacheui,yeye ni najisi kwenu.Msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.

Au wewe Biblia hausomi? jumapili unaenda tu kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement na kuondoka kama huyu mwenzako?
 
haya makatazo yanahusu nguruwe gani? hawahawa nguruwe wazuri watamu wakuvutia tunaokula kila siku au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…