Waislam tulio wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji n.k

Waislam tulio wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji n.k

Kama angeliwa na kila mtu basi angekuwa hatarini kutoweka.

Chuki yao kwa kitimoto ni kama chuki ya Watanzania kwa Idd Amin Dada... Yaani unazaliwa tu na chuki. Ila ukiulizwa kwanini unamchukia, huna jibu la kueleweka.
 
Kwa bahati Nzuri Mshkaji hanaga baya Na mtu! Yeye na mishe zake Tu za kugawa utamu bila choyo!

Kila siku kashfa dhidi yake haziishi ila Jamaa chati inapanda Tu daily. Long live Kitimoto the Clan
Hasara ya nyama yake ni kubwa kuliko faida acha kula kitimoto
 
Inatokea kama mkazo , wakristo wanalazimisha kuwataja waislamu kwenye mada zao za Nguruwe ..Utakuta point hazina umuhimu ;nakula nguruwe ila tutawachangia damu waislamu , utasikia waislamu wanakula nguruwe kwa kujificha , utasikia nguruwe ni halali .

Ishu ya wakristo kuwahusisha sana waislamu kwenye ishu ya nguruwe ndiyo inaleta mijadala yote , sehemu kukitajwa nguruwe basi watataja waislamu ili mradi iwe kama uchokozi.

Wapo wanaokula wakiwa na majina ya kiislamu , mambo yale yanafanywa na watu wote...Kuna mkristo anakula kila siku ila siku moja alinitumia whatsapp picha ya nguruwe ''eti karibu shekhe wangu" 😀
 
Hiv
Inatokea kama mkazo , wakristo wanalazimisha kuwataja waislamu kwenye mada zao za Nguruwe ..Utakuta point hazina umuhimu ;nakula nguruwe ila tutawachangia damu waislamu , utasikia waislamu wanakula nguruwe kwa kujificha , utasikia nguruwe ni halali .

Ishu ya wakristo kuwahusisha sana waislamu kwenye ishu ya nguruwe ndiyo inaleta mijadala yote , sehemu kukitajwa nguruwe basi watataja waislamu ili mradi iwe kama uchokozi.

Wapo wanaokula wakiwa na majina ya kiislamu , mambo yale yanafanywa na watu wote...Kuna mkristo anakula kila siku ila siku moja alinitumia whatsapp picha ya nguruwe ''eti karibu shekhe wangu" 😀
Hivi nguruwe ni haramu!?
 
Ukisema unachukia nguruwe wewe si muislamu.
Waislamu hawamchukii nguruwe. Bali wana mafunzo kwamba ameharamishwa kuliwa.
Hivo ni vizuri ufahamu tofauti ya kumchukia mnyama na kutoruhusiwa kula.
 
Haijalishi mtaipamba vipi hiyo nyama ni haramu kwa mujibu wa mafundisho katika dini ya kiislamu... kama ilivyokuwa pombe kamari nyamafu damu na zinaa
Unajua nn ! sisi binadamu tunapenda sana kuona wengine wakichukia huku tukifurahi ...Fuatilia post za nguruwe ni lazima wakristo watawataja waislamu kwa vile wanataka wachkie tu .

Ishu ya nguruwe sio dhambi pekee inayochukiwa ila inaleta ushabiki kwa sana ..Dhambi zote zinachukiwa ila ni tabia ya ushabiki ndiyo maan amwezi huu wa Ramadhani unakuta mtu anaacha uhuni halafu ikiisha anaendelea , huu ni unafiki kwa baadhi ya watu wanaopenda ushabiki
 
Mbona hata kwenye Biblia yenu amekatazwa? Soma
Walawi 11:7-8 Na NGURUWE kwasababu anazo kwato,ni mwenye miguu iliyopasuka kati,lakini hacheui,yeye ni najisi kwenu.Msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.

Au wewe Biblia hausomi? jumapili unaenda tu kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement na kuondoka kama huyu mwenzako?
View attachment 3266100
Kila jumapili wanasema msile nguruwe ni haramu?

Haya mimi nakupa hii na biblia hiyo hiyo nijibu sasa wewe unayeenda kila siku kanisani.
Marko 7:18-19, Yesu alisema:
Hamwelewi kwamba chochote kiingiacho katika mtu kutoka nje hakiwezi kumtia unajisi? Kwa maana hakiingii moyoni mwake, bali tumboni, na kisha hutolewa nje



Pia, katika Matendo ya Mitume 10:9-16, Mtume Petro alipewa maono na Mungu ambapo alionywa kuwa asiviite najisi vyakula ambavyo Mungu amevitakasa.
 
Na kw
Unajua nn ! sisi binadamu tunapenda sana kuona wengine wakichukia huku tukifurahi ...Fuatilia post za nguruwe ni lazima wakristo watawataja waislamu kwa vile wanataka wachkie tu .

Ishu ya nguruwe sio dhambi pekee inayochukiwa ila inaleta ushabiki kwa sana ..Dhambi zote zinachukiwa ila ni tabia ya ushabiki ndiyo maan amwezi huu wa Ramadhani unakuta mtu anaacha uhuni halafu ikiisha anaendelea , huu ni unafiki kwa baadhi ya watu wanaopenda ushabiki
Na kwanini muislam achukie akitajiwa nguruwe!? Mbona wakitajiwa damu hawachukii!?
 
Na kw

Na kwanini muislam achukie akitajiwa nguruwe!? Mbona wakitajiwa damu hawachukii!?
Ni vile unamuhusisha kwa vile unajua kakatazwa🤣🤣kuna haja gani ya kumuhusisha?

Uislamu hauruhusu kumchukiza mtu ni makruu ...Unatakiwa usome ujue dhambi ,haramu na makruu halafu uje.

Hakuna anayemchukia Nguruwe ila nyie mnapenda kuwahusisha waislamu kwenye mada zenu za nguruwe.

Hizo nyingine mbona zinatajwa kila siku ,nina mwaka sijawahi kusikia hotuba ya ijumaa ikitaja nguwure zaidi ya kukataza; zinaa ,riba ,na kusisitiza kufanya ibada na kusaidiana.
 
Back
Top Bottom