Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kabisa mkuu. Ila siku za mfungo zikiisha inaweza ikapaa pengine kufidia siku zote.Ndio kwasababu ni sehemu ya jamii hata maji mchana siku hizi watu hawauzi kama kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu. Ila siku za mfungo zikiisha inaweza ikapaa pengine kufidia siku zote.Ndio kwasababu ni sehemu ya jamii hata maji mchana siku hizi watu hawauzi kama kawaida
Tundu ana kazi kubwa sana ya kuziba Matundu😂Lete hoja yako maana umetaja chadema wakati mada inahusu Nguruwe acha kuweweseka
Wewe inawezekana ukienda china utapiga Wow na MewAta kilo mbili kiongozi niunganishe😹😹
Mkuu ukiangaliaAssalaam alaykum,
Leo bhana wakati nimemaliza kuftari na kushiba basi yakawa yanakuja mawazo kedekede kuhusu mafundisho ya dini....
Nimetafakari nimeona waislam wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji, kuliko kamari na kadhalika! Kitu ambacho binafsi nimegundua sio sahihi kabisa, TUNAKOSEA MNO, hiki ni kiumbe cha Allah mtukufu, na hajatuamrisha tukichukie!
Hiki kiumbe kama vilivyo viumbe vingine kinaweza kuwa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu, "sasaiv" nasikia unaweza kuungwa mguu wake kama wako umekatika🥴 hivyo basi nawasii mno MSIMCHUKIE HANA HATIA KABISA!
Nb:-Allah mtukufu kaharamisha nyama ya nguruwe kuliwa na muumini., kama alivyoharamisha DAMU, NYAMAFU, KAMARI NA ZINAA🙂
Nimeambatanisha na picha ya KIUMBE CHA ALLAH MTUKUFU, kikiwa kimepozi kinakuangalia kwa huruma wewe unaekipiga rungu na kukiua, na wewe unaekichukia bila elimu..! Asanteni kwa kuja🤝
View attachment 3265913
Unaleta habari za Kuru wakati najadili na wewe mmatumbi...KULA WEWE, kama kila kitu kinafaa kuliwa😅![]()
Maajabu Kabila Linalokula Nyama za Watu! – 5
BAADA ya kuona makabila ya Kuru na Wakorowai yanayopatikana kwenye Visiwa vya Papua New Guinea namna yanavyokula nyama ya binadamu wenzao, wiki hii tunamalizia simulizi hii kwa kulitazama kabila lingine linalopatikana kwenye visiwa hivyo. Kabila lingglobalpublishers.co.tz
Haituumi bali kinachotuuma ni unafiki wenu eti kula kiti moto hadharani kwenu ni haramu lakini ukila kwa kujificha imeruhusiwa.Kwanini wagalatia waislamu kutokula nguruwe kuna wauma saana?
Hili swali umeligeuza. Linatakiwa liwe hivi, KWANINI WAISLAMU INAWAUMA SANA WAKRISTO KULA NGURUWE?Kwanini wagalatia waislamu kutokula nguruwe kuna wauma saana?
Sijawaongelea wakristo kijana... kwa nini lakini!?Mkuu ukiangalia
Wakristo wengi wanakula na wanapendanvitamu
Nyie mnaogopa vitamu mnaita harsmu sie ndio starehe zetu
YAAN ukimwona anaogopa papuchi HUYO n mwehu anaogopa kula kitimoto hajielewi
Mkuu hivi sasa inakaribia bei ya SWALA 22000
Kwa sasa kitimoto 15000
Ni dhambi kwangu kwasababu sina hatari yeyote ya maisha yangu, nina vitu vingi vinasubiri mdomo wangu nile tuKaribu tule kitimoto
Onjeni muoneeee ...yu mwemaaaMshana Huo Mshikaki Ni Wa Nguruwe Pori au Wa Nguruwe wa Kawaida
Unaweweseka hivi vitu vimekuzidi uwezoTundu ana kazi kubwa sana ya kuziba Matundu😂
Kawaida hii binadamu ana uhuru, imani ni suala binafsi akitaka atafanya au asipotaka pia ni uamuzi wakeKabisa mkuu. Ila siku za mfungo zikiisha inaweza ikapaa pengine kufidia siku zote.
Yes yes. Mdudu anatrend mno kipindi hicho.Kawaida hii binadamu ana uhuru, imani ni suala binafsi akitaka atafanya au asipotaka pia ni uamuzi wake
Tuendelee tu kushangaana ndugu yanguNa sisi pia tunakushangaa
Mdudu hajawai kutrend ni maneno ya mitaani ya wala Nguruwe kutafuta walaji wapyaYes yes. Mdudu anatrend mno kipindi hicho.
😱😱😱Tuendelee tu kushangaana ndugu yangu
Kuna wapumbafu waliandamana kisa uwepo wa mabucha ya nguruwe,na maandamano hayo yaliratibiwa na mzee Mohamed Said hii chuki ya kitimoto sijui imetokana na nini,majini ya jehenam yanawapeleka vibaya sana hawa jamaaMtu kutokula Nguruwe Siwezi kushangaa.
Lakini kutengeneza Chuki zidi ya Nguruwe, Kiasi kwamba hata kama Jirani yako anafuga Nguruwe huwezi kumtembelea huu nao ni ujinga.
Magomeni wali andaman ndugu zako katika imani ya nyaazi kwenda kuvunja mabucha ya nyama ya nguruwe je huo ni upendo au chuki dhidi ya kitimoto.Nani kakwambia Nguruwe anachukiwa? ni suala la amri tu kuwa asiliwe sio achukiwe
Hujwahi kumegwa na muislamu...!? Chunga sana usitiwe nae mimba tu maana utajakuwa na mtoto wa kiislam akugomee kula nyama ya nguruwe mbele zakoTuendelee tu kushangaana ndugu yangu
Naona kila siku mnakazi ya kuwasema waislamu kwanini hawali nguruweHili swali umeligeuza. Linatakiwa liwe hivi, KWANINI WAISLAMU INAWAUMA SANA WAKRISTO KULA NGURUWE?