Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Yaani sultan alikua na ardhi tu hapo bila jengo!?..pale ocean road Kuna msikiti,Kuna kibla,vimetoka wapi!?.. unadhani watu hawajui walikotoka!?..mjerumani alipora ikulu, ikulu ndiyo darulssalaam yenyewe,yaani nyuma ya amani,huku kwingine ni mzizima
 
Kwani sheria za nchi hii zinazuia Waislamu kutembelewa usiku na pamoja na vyombo vya habari? Kuna kitu mnakuwa mnafanya usiku mpaka useme mnadharirishwa na hamtaki ushahidi wa media?

Ni kitu gani????
 
Kwani sheria za nchi hii zinazuia Waislamu kutembelewa usiku na pamoja na vyombo vya habari? Kuna kitu mnakuwa mnafanya usiku mpaka useme mnadharirishwa na hamtaki ushahidi wa media?

Ni kitu gani????
Watu walalapo hupunguza mavazi,ni vizuri mkuu wa wilaya kukuvamia saa Tisa usiku kwako na vyombo vya habari?..huyo magoti anatakiwa kunyooshwa
 
Kiongozi lazima uwe na hekima na busara kwa wale unaowaongoza. Petro anaweza kuwa sawa ila njia aliyoitumia kutatua hilo tatizo sio sawa. Ni njia ya kuzua taharuki na kumchonganisha Rais Samia dhidi ya waumini wa kiislam.
Hivi unadhan petro alikurupuka? Unadhani hakuwa na taarifa za nini kinafundishwa pale? Tabu mnafundisha watoto kupigana sasa sijui ili waje kupigana na nani
 
Mkuu wa wilaya ni mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani,ana vyombo vya kumpa taarifa,hakuota Bali vyombo vilimpa taarifa ndiyo akavamia usiku,yaani kiki kupitia dini ya watu,ajirekebishe
Amevamia usiku? Waislamu bhana 😂
 
Safi sana, Petro Magoti ni kiongozi bora, anastahili kuwa mkuu wa mkoa.
 
Walikua wanasoma shule gani kabla ya kwenda hapo?
Mheshimiwa kasema ni watoto....kwani watoto wanapaswa kuwa shule gani???

Hzo tahfidhu ni kichaka cha kuwanyima watoto haki zao (nazijua vzr) ......heri ungenambia taalim...kule angalau wamekuwa kdg.
 
Yaani sultan alikua na ardhi tu hapo bila jengo!?..pale ocean road Kuna msikiti,Kuna kibla,vimetoka wapi!?.. unadhani watu hawajui walikotoka!?..mjerumani alipora ikulu, ikulu ndiyo darulssalaam yenyewe,yaani nyuma ya amani,huku kwingine ni mzizima
Acheni story, hakuna kitu kama hicho mkuu. Ramani zote za yale majengo designing zipi na history zote zipo zinasema wazi kuhusiana na hayo. Inawezekana majengo yalikuwepo lakini siyo pale. Kumbuka, Sultani aliwekeza zaidi Bagamoyo huko Dar es salaam ilikuwa ni extension tu
 
Mm n mkiristo na angefanya hvy kwa Wakristo nngeunga mkono
 
Karo la choo limefunikwa kwa kitambaa cha kitenge na kikaziwa na mawe.
Shehe anawatunza watoto 97 anashindwa kufunika karo na zege.
Hadi magoti anataka kutumbukia
Kuna shida mahali (kichwani)
 
Mkuu wa wilaya ni mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani,ana vyombo vya kumpa taarifa,hakuota Bali vyombo vilimpa taarifa ndiyo akavamia usiku,yaani kiki kupitia dini ya watu,ajirekebishe
Ndo hivyo.mojawapo ya taarifa aliyopewa ni hiyo kua kuna sehemu watoto wanalazwa kwakulundikwa kama mawe ndo ikabidi aende mwenyewe akashuhudie.Akili zako ni ndogo ndomaana unawaza mambo ya kiki wakati ilo swala linahihusu jamii na lina faida kwenu wenyewe.Labda useme hampendani kwahiyo ata mtoto wa mwenzako akiwa analala pabovu kwako sio shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…