Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Acha kulialia,kati ya dini ambayo ulimwengu unaiogopa na kuichunguza ni uislamu,naungana DC kuwafurusha hao magaidi tarajiwa.

Mbaya zaidi hadi waislamu wengewe wanaigopa,vipi yule DC wa dini yenu aliyebomoa msikiti mwaka jana huko dasilamu!?
 
Mkuu wengine wanafundisha sahihi..shida inakuja kuna wengine sijui wanakuwa na agenda zao.

Wanafundishwa vizuri baada ta hapo sasa kuna kunakuwa na yale mengengine baada ya masomo sumu zinaanza.
Mengine yapi?!
 
Niliwahi jipenyeza kwenye hizi taaluma aisee kuna sumu mno wanalishwa na wasiokuwa na nia njema... Yaani kwa mtoto asiyekuwa na uwezo wa kupembua mambo anaondoka nazo.
Sasa kama hao wengi ni wamefeli darasa la saba tena kwa kizazi hiki.
Wakilishwa stori za kina shehe ilunga kwamba kuna mfumo kristo unatengemea nini?
Au wengine makala za mzee mohamed said kwamba waislamu wanaonewa unategemea nini?
 
Wacheni Serikali ifanye kazi. Watoto ni mali ya Taifa na ni jukumu la serikali kusimamia ustawi wao kijamii na kielimu.

Ni nini unachofundisha watoto 90 kwenye kituo kimoja na wanalala hapo hapo? Mbona mjini kuna madrassa kibao tunaona watoto wanakwenda na kurudi mwakwao?
 
Pamoja mkuu tupinge sote nilienda singida aisee ni hatari..
watoto kama wako jeshini wengine nilikuwa nikikutana nao kitaa nawadodosa ..
Mkuu sumu walizonaso ni hatari.
Aisee mm nngezaliwa kwenye familia ya Kiislamu nisingejutia ila ningefanya namna nihamie Ukristo
 
Karo la choo limefunikwa kwa kitambaa cha kitenge na kikaziwa na mawe.
Shehe anawatunza watoto 97 anashindwa kufunika karo na zege.
Hadi magoti anataka kutumbukia
Kuna shida mahali (kichwani)
Eh hii mbona n kesi nyngn tena ya mauaji, yn Shekhe anataka kumuua bwana magoti kupitia shimo la choo 😂
 
!..nenda ocean road kakague uone,sidhani hata Kama umewahi fika,l
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpka hapo nitaongea kipi tena mkuu wangu?

ile kanisa pale bandari ulikua msikiti wa wavuvi pale,
Itakuwa Wavuvi waliamua kubadili dini
kumbuka ile bandari Kaanzisha mwarabu,so lazima pawe na msikiti karibu,
Huyu mnamuongelea kama vile ni mzawa na ana stahiki zote katika nchi
mjerumani kachukua nchi kajipa eneo lote la ufukweni,maana wanapenda fukwe
Lakini huyu mnamuongelea kama vile alivyo, yaani mvamizi asiyestahili chochote.
 
Tatizo mnataka uislamu uwe na nguvu kuliko serikali,hapo angekuwa kafanya hivyo muislamu mwenzenu mngekaa kimya ila kwakuwa aliyefanya ni mkristo mmeshaiona hiyo ni issue ya kidini....
 
Mwarabu alifika siku nyingi kabla ya mngoni,akazaliana na wenyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…