Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Uongo ni ibada kwenu.
Wala sintoshangaa mwamposa na gwajima pi ukadai ni waislamu.

Hapa napoteza muda wangu tu.
Tafuta mwenye elimu ya Bible aje hapa tujadili.
Wewe bado kabisa.

Ila nakushauri uusome UISLAMU km mimi nilivyousoma Ukristo.
Ukishapata elimu maamuzi yatabaki kwako.
Uamue Kuabudu MUNGU MMOJA au uendelee kuabudu SANAMU.
Adios
 
Waislam tena. Hamtaki kushauriwa.
 
Alichofanya Petro Magoti ni kumfitinisha Rais Dr Samia Suluhu Hassan dhidi ya waislam na uislam.
Aacha utoto na kukuza jambo, huo msikiti una waumini wangapi? Peleka malalamiko yako mahakamani au kwa mkuu wa mkoa.
 
bro, nakuambia ukweli wote, mimi mwamposa simkubali kinoma, ila wanaoenda pale wengi sana waislam karibia robo yao ni waislam, wengine wanahojiwa na wanakuambia ni waislam na hawadanganyi.

kuhusiana na uongo, kwetu sisi uongo ni dhambi, ila najua kwako ukidanganya kwa ajili ya dini ni thawabu.
 
umeshawaona waliosoma degree wanatembea na kobaz barabarani wakiwa na suruari za vinjiwa? be serious. walau kichwani wanakuwa na akili na ustaarabu sio kihivyo ndugu.
umeshawaona waliosoma degree wanatembea na kobaz barabarani wakiwa na suruari za vinjiwa? be serious. walau kichwani wanakuwa na akili na ustaarabu sio kihivyo ndugu.
Vijan wana degree wanashinda kubeti? Na degree zao twawaona na vikaputula na boksa mtaan. Huo ndio ustaarabu unaosemea
 
Mkuu wa wilaya ya kinondoni nae aende kwa mwamposa akaufunge uwanja wa Tanganyika packers pale kawe kwasababu analaza maelffu ya wananchi wa Tanzania nje wakiwemo watoto wadogo.
Umeambiwa kwa Mwamposa ni shule?
 
Thread hii imekwenda haraka sana; vipi rais ameshamshauri DC kufungulia madrasa inayohataraisha usalama wa watoto? Je DC akikataa ushauri huo itakuwaje ?
 
Mbona mkuu wa Wilaya alikuwa sahihi. Alimwambia shehe ya kwamba Jenga majengo yakikamilika leta wanafunzi. Shida ipo wapi? Watoto wanaishi Kama wanyama.
mleta mada ndiye analeta udini mimi ni muislam ila mkuu wa wilaya alikua sahihi sana zaidi ya sana yale mazingira mimi mtu mzima siwezi kuyaishi itakuaje serikali iache watoto wapitie katika hali dhalili kama ile?
 
Mkuu wa wilaya yupo sahihi. Hii ni nchi na kuna taratibu zake hususan kungetokea Moto hapo swali anaulizwa nani. Watu wakae 90 sehemu moja halafu uone ni sahihi kweli kwa kigezo cha dini. Kwanini wasijenge majengo ya kutosha au wajenge shule kabisa hapo ili wapate vyote pamoja. Hiv kwanini tunaficha madhaifu sana kwa kigezo cha dini. Mbona juz kati Padre kahusishwa na kuua albino na wametangaza live wasiseme kuna taasisi zifahamishwe kwanza. Mkuu wa wilaya kasema kuna watoto wamefaulu kwenda shule lakini wapo hapo hilo mbona mmekaa kimya.
 
Kwani hapo umeambiwa hawafundishwi kuelewa? Umeona hawalelewi katika misingi ya kiislam ?

Kungekuwa na viashiria vya mafunzo ya ugaidi basi Rais Mama Samia asingepeleka mchango wa mifuko ya cement 300 katika misikiti hiyo.
 
Muislam aneijua dini hukuti anasema ELIMU DUNIA kamwe, mtume wetu aliambiwa SOMA, SOMA KWAAJILI YA MOLA WAKO, hakuambiwa asome nini



Madrasa pekee haitoshi kumuondoa mtu ujinga.


Mkuu somesheni watoto kwa manufaa yao na vizazi vyao itafika hatua wataja walaumu.
 
Huyo DC pamoja na kazi zote anazofanya ajitahidi kuwa nstarabu na mtulivu,nimeona hata juzi anaingelea suala la katazo la kubeba mkaa ,anonekana Kama anatamia nguvu sana , apunguze dhiaka kwa anaowapa ujumbe.
 
Madrasa pekee haitoshi kumuondoa mtu ujinga.


Mkuu somesheni watoto kwa manufaa yao na vizazi vyao itafika hatua wataja walaumu.
Nani kasema wasome madrasa pekee? Wale watoto karibia wote wamefeli darasa la saba na wazazi hawana uwezo wa kuwapeleka shule za private unataka wawaache nyumbani wasisome dini yao? Au umeambiwa pale madrasa watakaa milele?
 
Nani kasema wasome madrasa pekee? Wale watoto karibia wote wamefeli darasa la saba na wazazi hawana uwezo wa kuwapeleka shule za private unataka wawaache nyumbani wasisome dini yao? Au umeambiwa pale madrasa watakaa milele?


Elimu ya madrasa ndio elimu yenu pekee mnayoijua na sijui hua mnawalisha nini kwenye bongo zao hao watoto.
 
Wewe ushamwona Nabii Mwamposa akiingia kusali Roman Katoriki?
Nabii Elyasi ndiye Nabii wa sasa wa Waislamu na anaingia misikiti ya Waislamu kuswali kila anapo pata nafasi.
Viongozi wa Kiislamu walimwita kuongea naye na akawafafanulia uhalari wa Unabii wake.
Elyasi anakiri kuwa yeye ni Nabii wa Kiislamu na ana wafuasi wake Waislamu.
Hana mfuasi Mkristo.
Wewe unani umbishie Nabii wa Allah.?
 
Hawataki kuwa criticised wakati vichwa vyao vibovu wanajaza watoto duniani wasioweza kuwahudumia?
Sera yao ni kuzaana na kuongezeka ili Dunia ijae Waislamu.
Waunde Dola la Kiislamu na mwisho waitawale dunia na kulazimisha watu wote wawe Waislamu.
Huwa nashangaa sana, hivi kwanini wanalazimisha watu wote wawe Waislamu.
Badala ya kufurahia na kuridhika kuwa wameupata Uislamu mzuri kwao wanafosi kila mtu awe Mwislamu.
Wako radhi kuchinja mtu kama hautaki Uislamu.
Mfano wale Magaidi wa Garissa Kenya waliwatenga wasio Waislamu na kuwapigia risasi na kuwaua.
Hawa jamaa mimi siwaamini kabisa na nimesoma Madrasa ili nikikutana na Magaidi najifanya Mwislamu.
 
Allah ndio anaye watuma Mashetani kuwashambulia Wakristo.
ุฃูŽู„ูŽู…ู’ ุชูŽุฑูŽ ุฃูŽู†ู‘ูŽุง ุฃูŽุฑู’ุณูŽู„ู’ู†ูŽุง ุงู„ุดู‘ูŽูŠูŽุงุทููŠู†ูŽ ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู’ูƒูŽุงููุฑููŠู†ูŽ ุชูŽุคูุฒู‘ูู‡ูู…ู’ ุฃูŽุฒู‘ู‹ุง

[ MARYAM - 83 ]
Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
Ili watufitinishe na Mungu wetu.
 
Muislam aneijua dini hukuti anasema ELIMU DUNIA kamwe, mtume wetu aliambiwa SOMA, SOMA KWAAJILI YA MOLA WAKO, hakuambiwa asome nini
Aliye mwambie mtume wenu "Soma" ni nani ?
Hebu tuwekee Hilo andiko, mtume wenu akiambiwa asome.
Tafadhari kama lipo.
Halipo, ni hadithi za kusadikika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ