Hongera kwa serikali ya Rais, Mama Dr. Samia Suluhu Hassan kupitia Dc Mh.Petro Magoti kwa kutoa mchango wa mifuko ya cement ili kuharakisha ujenzi wa Mabweni ya Wanafunzi wa kiislam katika msikiti wa Salafi ,Kiluvya. Pia naushukuru uongozi wa Jamii forums kwa kutupa platform ya kuishauri na kuinasihi serikali na viongozi wake ili kuhakikisha amani,mshikamano na upendo baina ya watanzania wenye imani za dini tofauti ukiendelea
Mpuuzi kweli wewe.Yaan muwalaze watoto msikitini awachekee.Mtaendelea kua duni miaka yote kwa ubishi.
Hapo alipaswa kukamata mkuu wa hiko kituo cha uhalifu na kumsweka ndani
Uislam huwa haukubali kuwa critisized. Siyo vitabu vyake tu hata viongozi wao hawakubali kukosolewa. Na hii ndiyo ilichangia wazungu wakaawaacha mbali toka karne ya 11.
Hivi karibuni, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe amezua taharuki na sintofahamu kwa Waislamu wa Wilaya ya Kisarawe na Tanzania kwa ujumla baada ya kuvamia msikiti huko Kiluvya na kufungia kituo cha kuhifadhisha Quran. Alitoa amri kuwa wanafunzi warudi makwao na akasema kuwa kitendo cha wanafunzi wa Kiislamu kukusanyika na kusoma dini yao ni udhalilishaji.
Hii ni chokochoko dhidi ya Uislamu na Waislamu. Jamii ambayo kwa miaka mingi imekuwa ikijenga amani na maadili mema katika nchi hii. Masuala ya imani sio masuala ya kuyafanyia mzaha kwa kuwa yanagusa mioyo ya watu wengi na ni rahisi sana kuivuruga amani endapo mtu ataichezea ama kuidhihaki dini ya watu fulani.
Watanzania tumelelewa katika misingi ya amani, upendo, umoja na mshikamano. Hii ni mizizi iliyoasisiwa na wapigania uhuru wa nchi hii na tumeweza kudumu katika misingi hiyo kwa miongo kadhaa sasa.
Anapotokea mtu, awe kiongozi ama yoyote yule, akafanya dhihaka, kukashifu, kubeza na kuingilia imani za dini fulani basi bila shaka anapaswa kukemewa kwa nguvu zote.
Serikali ya Rais Mama Samia ni serikali sikivu na yenye weledi inayosimamia misingi iliyowekwa na waasisi wa taifa hili. Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe hakupaswa kuzua taharuki kwenye vyombo vya habari kwa kufanya ziara ya kushtukiza usiku wa manane msikitini, ambayo Waislamu wameitafsiri kama uvamizi dhidi ya msikiti huko Kisarawe na kuamuru kituo cha kuhifadhisha Quran kifungiwe huku akiita kuwa ni udhalilishaji.
Pia, alidai kuwa misikiti ni sehemu ya watu kuswali na kuondoka tu huku akitumia kauli za kebehi na dharau kwamba watoto wanalala kama nyanya, wamepangwa kama tofali za block, hata nguruwe hawezi kulala katika mazingira hayo. Mara aseme watoto hao walipaswa wachapwe viboko wote na wazazi wao wawekwe gerezani kwa kuwa wameshindwa kuwalea! Hizi ni dharau kwa wazazi wa Kiislamu! Mzazi anayempeleka mwanae kuisoma dini yake ili awe na maadili mema katika jamii yake aonekane ameshindwa kumlea mwanae!
Leo hii, Mkuu mpya wa Wilaya ya Kisarawe aje kuwafundisha Waislamu tafsiri na kazi ya msikiti. Ni jambo la ajabu na aibu sana.
Waislamu nchini Tanzania wana taasisi yao ya BAKWATA, ambayo inashirikiana na taasisi nyingine ndogondogo kusimamia masuala ya Waislamu kwa ujumla. Petro Magoti alishindwa nini kuongea na uongozi wa BAKWATA unaoongozwa na Mufti Abubakar bin Zuber kuwa waboreshe kituo hicho cha msikiti wa Kiluvya ili kuweka mazingira rafiki ya vijana wa Kiislamu kuisoma dini yao na jambo hilo lisifike kwenye mitandao na kuzua sintofahamu kama alivyofanya yeye?
Msimamizi wa kituo cha msikiti wa Kiluvya alionekana akimueleza Mkuu huyo wa wilaya kuwa wanafunzi wanaishi katika hali hiyo kwa dharura tu huku jitihada mbalimbali za kuanzisha ujenzi wa mabweni zikiendelea. Nondo, mchanga, cement na matofali tayari vimeshakusanywa na jitihada za kuomba vibali vya ujenzi zikiendelea kufanyika ili kuhakikisha wanafunzi wanaishi katika mazingira rafiki.
Wito wangu kwa Rais ni kuhakikisha kuwa wateule wake kama Petro Magoti hawaingilii masuala ya kidini moja kwa moja kwa sababu ni eneo nyeti linaloweza kuvunja amani ya nchi hii kwa haraka sana. Awashauri wateule wake wawe na busara katika masuala ya utawala.
Alilofanya Petro Magoti ni kutafuta "kiki" tu, na kuleta kebehi na kudhalilisha Waislamu na Uislamu kwa ujumla. Jambo la hatari sana.
Video ya Sheikh akitoa mapendekezo kwa serikali nini kilipaswa kufanyika.
Hivi karibuni, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe amezua taharuki na sintofahamu kwa Waislamu wa Wilaya ya Kisarawe na Tanzania kwa ujumla baada ya kuvamia msikiti huko Kiluvya na kufungia kituo cha kuhifadhisha Quran. Alitoa amri kuwa wanafunzi warudi makwao na akasema kuwa kitendo cha wanafunzi wa Kiislamu kukusanyika na kusoma dini yao ni udhalilishaji.
Hii ni chokochoko dhidi ya Uislamu na Waislamu. Jamii ambayo kwa miaka mingi imekuwa ikijenga amani na maadili mema katika nchi hii. Masuala ya imani sio masuala ya kuyafanyia mzaha kwa kuwa yanagusa mioyo ya watu wengi na ni rahisi sana kuivuruga amani endapo mtu ataichezea ama kuidhihaki dini ya watu fulani.
Watanzania tumelelewa katika misingi ya amani, upendo, umoja na mshikamano. Hii ni mizizi iliyoasisiwa na wapigania uhuru wa nchi hii na tumeweza kudumu katika misingi hiyo kwa miongo kadhaa sasa.
Anapotokea mtu, awe kiongozi ama yoyote yule, akafanya dhihaka, kukashifu, kubeza na kuingilia imani za dini fulani basi bila shaka anapaswa kukemewa kwa nguvu zote.
Serikali ya Rais Mama Samia ni serikali sikivu na yenye weledi inayosimamia misingi iliyowekwa na waasisi wa taifa hili. Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe hakupaswa kuzua taharuki kwenye vyombo vya habari kwa kufanya ziara ya kushtukiza usiku wa manane msikitini, ambayo Waislamu wameitafsiri kama uvamizi dhidi ya msikiti huko Kisarawe na kuamuru kituo cha kuhifadhisha Quran kifungiwe huku akiita kuwa ni udhalilishaji.
Pia, alidai kuwa misikiti ni sehemu ya watu kuswali na kuondoka tu huku akitumia kauli za kebehi na dharau kwamba watoto wanalala kama nyanya, wamepangwa kama tofali za block, hata nguruwe hawezi kulala katika mazingira hayo. Mara aseme watoto hao walipaswa wachapwe viboko wote na wazazi wao wawekwe gerezani kwa kuwa wameshindwa kuwalea! Hizi ni dharau kwa wazazi wa Kiislamu! Mzazi anayempeleka mwanae kuisoma dini yake ili awe na maadili mema katika jamii yake aonekane ameshindwa kumlea mwanae!
Leo hii, Mkuu mpya wa Wilaya ya Kisarawe aje kuwafundisha Waislamu tafsiri na kazi ya msikiti. Ni jambo la ajabu na aibu sana.
Waislamu nchini Tanzania wana taasisi yao ya BAKWATA, ambayo inashirikiana na taasisi nyingine ndogondogo kusimamia masuala ya Waislamu kwa ujumla. Petro Magoti alishindwa nini kuongea na uongozi wa BAKWATA unaoongozwa na Mufti Abubakar bin Zuber kuwa waboreshe kituo hicho cha msikiti wa Kiluvya ili kuweka mazingira rafiki ya vijana wa Kiislamu kuisoma dini yao na jambo hilo lisifike kwenye mitandao na kuzua sintofahamu kama alivyofanya yeye?
Msimamizi wa kituo cha msikiti wa Kiluvya alionekana akimueleza Mkuu huyo wa wilaya kuwa wanafunzi wanaishi katika hali hiyo kwa dharura tu huku jitihada mbalimbali za kuanzisha ujenzi wa mabweni zikiendelea. Nondo, mchanga, cement na matofali tayari vimeshakusanywa na jitihada za kuomba vibali vya ujenzi zikiendelea kufanyika ili kuhakikisha wanafunzi wanaishi katika mazingira rafiki.
Wito wangu kwa Rais ni kuhakikisha kuwa wateule wake kama Petro Magoti hawaingilii masuala ya kidini moja kwa moja kwa sababu ni eneo nyeti linaloweza kuvunja amani ya nchi hii kwa haraka sana. Awashauri wateule wake wawe na busara katika masuala ya utawala.
Alilofanya Petro Magoti ni kutafuta "kiki" tu, na kuleta kebehi na kudhalilisha Waislamu na Uislamu kwa ujumla. Jambo la hatari sana.
Video ya Sheikh akitoa mapendekezo kwa serikali nini kilipaswa kufanyika.
Kwani kinachoendelea hukioni au unataka kumtia lawama MH. Rais kutokana na Udini? ACHA UCHOCHEZI NA KUTAKA KUMUONA MH.RAIS HAWAJIBIKI.........TUMSAPOTI MAMA anafanya kazi kubwa kwa Muda mfupi, tusimpe lawama zisizo na KICHWA wala miguu .
Uislam huwa haukubali kuwa critisized. Siyo vitabu vyake tu hata viongozi wao hawakubali kukosolewa. Na hii ndiyo ilichangia wazungu wakaawaacha mbali toka karne ya 11.
Yule Nabii Elyasi Nabii wa Kiislamu wa kule Kibaha mbona hamumfanyi kitu na bado yupo na anafundisha Dini ya Kiislamu na ana Wafuasi wake wengi tu.
Acha mikwala.
Huyo unaemuita Nabii umewahi kumuona msikitini akihubiri ?
Huyo ni kafiri ambae amenunuliwa na wagalatia kujaribu kuchafua Uislamu matokeo yake kawa kafariki jumla.
Huyo ni kafiri mwenzenu. Na hatambuliki km muislamu ndio ma'am huwezi kumkuta msikitini hata siku moja lkn kila mara anahubiri makanisani
Dini yetu lazima tuisome. Kwa sababu dini yetu inahitaji Elimu. Lazima Waislam waisome dini yao. Halafu kumbe "UDINI" maana yake ni Uislam! Basi najivunia kuwa MDINI.
Na hiyo sekula kumbe mmesoma peke yenu? Na ukisoma Madrasa kumbe hauwezi kabisa kuisoma sekula?
Enhee mmeibadilishaje dunia nyinyi binafsi msiosoma madrasa hapa Tanzania?
Maana ni nyinyi peke yenu ndio mmesoma sekula Tanzania nzima.
Wewe mleta mada ndo unataka kuhamisha magoli ili nia nzuri ya DC ionekane mbaya. DC alikuwa sahihi kabisa, siku waislam mkiacha kuwaza kwa akili za malalamiko malalamiko mtafika mbali sana
Watangulizi wa Petro Magoti mbona hawakuleta taharuki hizi.
Wamepita ma DC, Mh Jokate mwegelo na Nikki wa pili wameishi vizuri tu na wana Kisarawe ila yeye toka aje Kisarawe amekuwa ni mtu wa kuzua taharuki.
Kwanza kaanza kwa kutoa matamko kuwa mabinti wa kizaramo wasichezwe, pikipiki zisitumike kubeba mkaa pikipiki ikikamatwa anaitaifisha , hajakaa vizuri kaja na haya
Huyo unaemuita Nabii umewahi kumuona msikitini akihubiri ?
Huyo ni kafiri ambae amenunuliwa na wagalatia kujaribu kuchafua Uislamu matokeo yake kawa kafariki jumla.
Huyo ni kafiri mwenzenu. Na hatambuliki km muislamu ndio ma'am huwezi kumkuta msikitini hata siku moja lkn kila mara anahubiri makanisani
Asante kwa kujubali kuwa PAPA AMERUHUSU WANAMME KUBANDUANA. Na Unatakuwa umlaani km waungwana wote wanavyo mlaani .
Tukirudi kwenye imani za kigeni . Kweli kabisa UMELETWA NA MZUNGU na Yeye ndio akaweka picha ya Yesu na Maria kuwa ni wazungu na mpk leo WAKRISTO WOTE wanapigia Goti Picha ya HOLYWOOD ACTOR wakidhani kuwa ni YESU.
Unapokuja kwenye UISLAMU hapo unatakiwa upewe elimu kwanza manake ufahamu wako wa UISLAMU ni mdogo sana
Duniani kuna waislamu takriban 1.6 billion na ktk hao WAARABU NI ASILIMIA 15% !
Hizo ASILIMIA 85% ZA WAISLAMU SIO WAARABU.
Hilo lzm litakushangaza lkn usione aibu. Ujinga sio kosa .
Kosa ni kuwa mjinga kisha ukawa mbishi kusoma.
Wako WAARABU mamilioni mengi sana ambao SIO WAISLAMU na wengine ni makafiri waabudu mtu km hao wanaoabudu sanamu ya Mzungu.
We unachanganya masuala ya mila na DINI.
Mimi sivai mavazi ya waarabu . Navaa kibantu.
Na nakula ugali na dagaa.
Mwarabu anakula biriani ya mbuzi na nyama ya ngamia.
Mimi sina Hela.
Waarabu wana hela sana.
Mimi lugha ya kiarabu sijui.
Wala mila za kiarabu kwetu hakuna.
Anaeiga mila kisha akasahau ya kwao huyo ni mtumwa.
Km unavyoona wakristo. Wanavaa Suti na jua la Bongo.
Mahubiri yao wanajifanya kusema kiingereza wakati wanaosikiliza wote hakuna muingereza. 🤣
Viongozi wa KIKRISTO wanajipq UTUME NA UNABII KILA SIKU na nyie Kondoo mnakubali. Wanadai wanasamehe madhambi na nyie mnapanga Foleni kusamehewa madhambi na mtu ambae Ana vimada ndani. Mzinifu asie na aibu.
We umeshawahi kusikia ujinga Huo kwenye UISLAMU?
Atokee Muislamu kisha anadai yeye ni Nabii uone kitakachomkuta.
Wakristo wana BIBLIA 80,000 ambazo zimetafsiriwa kwa lugha zaidi ya 2900.
Na kila moja iko tofauti na ingine.
ukitaka ushahidi Google
Sisi hatuna kiongozi mmoja ambae akisema Kitu sote tufuate.
Tuna Kitabu cha Mungu KIMOJA TU. (QURAAN)
huo ndio muongozo wetu. Na atakeleta sheria TOFAUTI Ndani ya UISLAMU kinyume NA KITABU CHETU huyo ni kafiri na kamwe hatokubalika na Muislamu yyt.
HUO NDIO UISLAMU.
DINI YA KUABUDU MUNGU MMOJA TU.
HANA BABA WALA MWANA WANA HANA MSAIDIZI KTK UUNGU WAKE.
Karibu ktk UISLAMU uokoke na Moto wa Jahanam.
Njoo ktk KUFAULU.
NJOO KTK NJIA YA PEPONI.
Uislam, naama Quran hutumia lugha ya kiarabu. Na kama hujui kiarabu, basi wewe unakariri na kuimba na kuhifadhi kitu usichokijua. Hivyo unachofanya ni sawa na kujilisha upepo. Kila mnapoitana misikitini kwenu, mnaitana Allahu kibaru. Hilo kwani ni neno la lugha gani?
Uislam huwa haukubali kuwa critisized. Siyo vitabu vyake tu hata viongozi wao hawakubali kukosolewa. Na hii ndiyo ilichangia wazungu wakaawaacha mbali toka karne ya 11.
Uislam, naama Quran hutumia lugha ya kiarabu. Na kama hujui kiarabu, basi wewe unakariri na kuimba na kuhifadhi kitu usichokijua. Hivyo unachofanya ni sawa na kujilisha upepo. Kila mnapoitana misikitini kwenu, mnaitana Allahu kibaru. Hilo kwani ni neno la lugha gani?
Shida kubwa kwa makafiri Wengi ni kuwa hawajui kuwa hawajui. Na vichwa vimejaa divai na chibuku za makanisani.
UISLAMU ni Dini pekee yenye one Global language .
Muislamu wa Tanzania akienda China anaingia msikitini na kusali km anavyosali akiwa Tanzania bila shida yyt tena akiongozwa na Muislamu wa KICHINA.
nenda msikiti wwt Duniani ibada yao ni MOJA TU.
We kafiri wa kiha nenda China uone km utaweza kuimba kwaya zenu kama wakristo wa China.
Halafu bado unaona waislamu hawajitambui.
🤣🤣
Ukafiri no giza kubwa mno.
We ukute mkeo pia kaajiriwa na Azam au GSM au Mo dewji kuuza lambalamba au maji .
Halafu unadai waislamu maskini.
Tanzania hii watoa ajira wakubwa na wallpaper kodi wakubwa Sio kina PAULO au Joseph.
Km wewe mhutu huwezi kujua hilo.
Hii Nchi waislamu wakubeba vya kwao wakaondoka Nchi inasimama siku hio hio.
Na nyie wahutu wote lzm mrudi porini kuwinda ngedere kama mlivyokuwa zamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.