Naanza.kuelewa kwa nini musa wote uko humu.Baadhi ya waislam siku kama ya Leo saa 7 wapo ktk vikao badala ya kwenda msikitini .
Baadhi ya mabosi huanzisha vikao siku kama ya Leo wakijua waislam wanatakiwa waende msikitini
Upo nchi gani?andika vizuri sio musaNaanza.kuelewa kwa nini musa wote uko humu.
Huna shughuli ya kukuingizia kipato.
Madai haya unaweza kuyathibitisha?
Wakiristo kwenda kanisani ni option. Muislam ni lazima kwenda msikitiniMbona siku za Jumamosi na Jumapili kuna matukio ya kiTaifa hufanyika?, mfano kesho na kesho kutwa nimesikia kuna mafunzo elekezi ya wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hauoni hata hao waabudu Jumamosi na Jumapili watalalamika kwa nini ipangwe hivyo na siyo siku za katikari mwa juma?.
Wakoloni walituachia athari mbaya sana vichwani mwetu
Waislam wa eneo gani kwa hapa Nchini ambao WOTE ikifika Ijumaa huwa wanaenda Msikitini?.Wakiristo kwenda kanisani ni option. Muislam ni lazima kwenda msikitini
Eneo lenuWaislam wa eneo gani kwa hapa Nchini ambao WOTE ikifika Ijumaa huwa wanaenda Msikitini?.
Umekasirika? Mbona ukiona neno islam unaumia sana? Halafu mbona unahasira? Uislam hata uuuchukie utakuwa tuKwani kuna anayewakataza kwenda kumuabudu allah ijumaa? Waende tu. Halafu we jamaa acha basi uchochezi wa kidini. Umewahi kusikia au kusoma wakristo wakijibagua na kutaka matakwa yao binafsi katikati ya jamii kubwa mchanganyiko nchini Tanzania? huo ni ubaguzi wa kidini na ni upuuzi na ushenzi
Waislam wenyewe wanasemaje kwani?Baadhi ya waislam siku kama ya Leo saa 7 wapo ktk vikao badala ya kwenda msikitini .
Baadhi ya mabosi huanzisha vikao siku kama ya Leo wakijua waislam wanatakiwa waende msikitini
"Enyi mlioamini! Iwapo mtaadhiniwa kwa ajili ya Swala siku ya Ijumaa, kimbilieni kumtaja Mwenyezi Mungu na acheni biashara. Hayo ni bora kwenu, ikiwa mnajua."
(Surat Al-Jumu'ah, 62:9)
Utakuwa unachuki binafsi, unaingia jf ukiwa na msalaba shingoni?Unapaswa upigwe ban maisha kutokana na nyuzi zako za ubaguzi wa kidini. Umeachwa utambe ila siku si nyingi utapigwa pin usipoacha uchochezi wa kidini
Ikifika saa 7 vikao visitishwe waende msikitiniWaislam wenyewe wanasemaje kwani?
Nendeni acheni kulia lia....kila siku ni lawama na kulalamika tu. Nani kakukataza kwenda? Au wewe ulizaliwa njiti?kwa ulalamishi huu.Baadhi ya waislam siku kama ya Leo saa 7 wapo ktk vikao badala ya kwenda msikitini .
Baadhi ya mabosi huanzisha vikao siku kama ya Leo wakijua waislam wanatakiwa waende msikitini
"Enyi mlioamini! Iwapo mtaadhiniwa kwa ajili ya Swala siku ya Ijumaa, kimbilieni kumtaja Mwenyezi Mungu na acheni biashara. Hayo ni bora kwenu, ikiwa mnajua."
(Surat Al-Jumu'ah, 62:9)
Utakuwa? Ndo nini? Shule ulikimbia dogo ukakimbilia vitu usivyovifahamuUmekasirika? Mbona ukiona neno islam unaumia sana? Halafu mbona unahasira? Uislam hata uuuchukie utakuwa tu
Nimekimbia shule ndio lkn nimekimbia baada kufanya presentation ktk chuo kikuuUtakuwa? Ndo nini? Shule ulikimbia dogo ukakimbilia vitu usivyovifahamu
Ukishakuwa wa kulalama, kila siku na kila kitu utakilalamikia..!! LAST BORNMbona siku za Jumamosi na Jumapili kuna matukio ya kiTaifa hufanyika?, mfano kesho na kesho kutwa nimesikia kuna mafunzo elekezi ya wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hauoni hata hao waabudu Jumamosi na Jumapili watalalamika kwa nini ipangwe hivyo na siyo siku za katikari mwa juma?.
Wakoloni walituachia athari mbaya sana vichwani mwetu.