Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lazima.Kwani kufunga ni lazima au hiari
Upungufu wa Akili huo. Imani hailazimishwi wala kumpangia mtu. Mwanadamu na afunge kwa hiyari ya moyo wake. Kama mtu hafungi, na ninyi mkamlazimisha kufunga na akafunga, bado hapokei thawabu kwa kuwa siyo hiyari ya moyo wake. Sasa ya kazi gani hyo?Polisi wa Kidini nchini Nigeria wamekamata watu 11 siku ya Jumanne kwa kuonekana wakila chakula mchana katika mwezi wa Ramadhani.
Watu hao wamekamatwa katika jimbo la kaskazini la Kano.
Kano ina idadi kubwa ya Waislam, ambapo sheria ya kidini – Sharia- inatumika pamoja na sheria za kawaida za nchi.
Polisi wa Kiislam, maarufu kama Hisbah, hufanya misako katika maeneo ya chakula na masoko wakati wa Ramadhani.
Wanaume 10 na mwanamke mmoja waliokamatwa, waliachiliwa huru baada ya kuapa kuwa hawatoacha kufunga bila sababu muhimu.
“Tulikamata watu 11 siku ya Jumanne, akiwemo mwanamke mmoja muuza karanga aliyeonekana akila na watu wakatujulisha,” amesema msemaji wa Hisbah Lawal Fagge, akizungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC.
“Wengine 10 ambao ni wanaume walikamatwa mjini karibu na masoko ambapo kuna shughuli nyingi.”
Ameongeza kusema msako utaendelea lakini amesema wasio Waislam hawahusiki na msako huo.
ndio ushangae na akili zako ndogo,mwili wa kwako lakini ukutaka kujiua serikali yako inakushika na kukushtakiMiislamu bwana.zambi ni zangu Mimi hao askari wanawashwa na mini?
Hahaha hahaha mkuu wataka kwenda wapi hahaha.Hapo ndipo napowachoka waislamu
Kwani lazima peponi twende wote ?
Wengine tunapenda moto. Tunataka tukachomwe jehanam
Hivyo ndio usithubutu adhabu yake kali sana , kwanza sehemu yenye kufuata sharia hakunaga pombeWangekuwa wanafuatiliana hivi kwenye uzinzi, ulevi, wizi, umbeya ingekuwa ina maana.
Kulazimishana kufunga ni kukaa na njaa kwa kulazimishwa.
Watu ajabu sana nyie na huyo allah kama malkia wa nyuki mnamsaidia hadi ku hukumu!ndio ushangae na akili zako ndogo,mwili wa kwako lakini ukutaka kujiua serikali yako inakushika na kukushtaki
ndipo akili yako ilipoishiaWatu ajabu sana nyie na huyo allah kama malkia wa nyuki mnamsaidia hadi ku hukumu!
Kama wewe ulivyokafiri kwangu.قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema: Enyi makafiri.
Quran 109: 1.
Hilo jina la Kaafiri amewaita Muumba mwenyewe. Na kama hutaki Silimu otherwise hilo ndio jina lako
Kwa nini iwe lazima?Ni lazima.
Kwahiyo kushika shika matako kila Mara ndio kunakupa uhalali wa kuona wenzio sio,,,? Qur'an ni kitabu tu kimeandikwa na watu kama Mimi na wewe , nawao pia hawakuwa wakamilifu kihivo ,unaweza kukisoma Ku bypass time tu ,sio kutusi wenzakoقُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema: Enyi makafiri.
Quran 109: 1.
Hilo jina la Kaafiri amewaita Muumba mwenyewe. Na kama hutaki Silimu otherwise hilo ndio jina lako