Waislamu 11 Wakamatwa Nigeria kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani

Waislamu 11 Wakamatwa Nigeria kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani

Polisi wa Kidini nchini Nigeria wamekamata watu 11 siku ya Jumanne kwa kuonekana wakila chakula mchana katika mwezi wa Ramadhani.

Watu hao wamekamatwa katika jimbo la kaskazini la Kano.

Kano ina idadi kubwa ya Waislam, ambapo sheria ya kidini – Sharia- inatumika pamoja na sheria za kawaida za nchi.

Polisi wa Kiislam, maarufu kama Hisbah, hufanya misako katika maeneo ya chakula na masoko wakati wa Ramadhani.

Wanaume 10 na mwanamke mmoja waliokamatwa, waliachiliwa huru baada ya kuapa kuwa hawatoacha kufunga bila sababu muhimu.

“Tulikamata watu 11 siku ya Jumanne, akiwemo mwanamke mmoja muuza karanga aliyeonekana akila na watu wakatujulisha,” amesema msemaji wa Hisbah Lawal Fagge, akizungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC.

“Wengine 10 ambao ni wanaume walikamatwa mjini karibu na masoko ambapo kuna shughuli nyingi.”

Ameongeza kusema msako utaendelea lakini amesema wasio Waislam hawahusiki na msako huo.
Upungufu wa Akili huo. Imani hailazimishwi wala kumpangia mtu. Mwanadamu na afunge kwa hiyari ya moyo wake. Kama mtu hafungi, na ninyi mkamlazimisha kufunga na akafunga, bado hapokei thawabu kwa kuwa siyo hiyari ya moyo wake. Sasa ya kazi gani hyo?
 
Wangekuwa wanafuatiliana hivi kwenye uzinzi, ulevi, wizi, umbeya ingekuwa ina maana.
Kulazimishana kufunga ni kukaa na njaa kwa kulazimishwa.
Hivyo ndio usithubutu adhabu yake kali sana , kwanza sehemu yenye kufuata sharia hakunaga pombe
 
قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ

Sema: Enyi makafiri.
Quran 109: 1.

Hilo jina la Kaafiri amewaita Muumba mwenyewe. Na kama hutaki Silimu otherwise hilo ndio jina lako
Kwahiyo kushika shika matako kila Mara ndio kunakupa uhalali wa kuona wenzio sio,,,? Qur'an ni kitabu tu kimeandikwa na watu kama Mimi na wewe , nawao pia hawakuwa wakamilifu kihivo ,unaweza kukisoma Ku bypass time tu ,sio kutusi wenzako
 
Huu nao ni ujinga kama ujinga mwingine. Wewe umeamua kubadili ratiba ya kula kwa sababu zako kwa nini ulazimishe watu wengine nao kubadili ratiba zao?.

Hizi dini hizi ni story za binadamu tu,hakuna Mungu hapo coz hakuna logic hata kidogo.
 
Polisi wa Kiislamu katika jimbo la kaskazini la Kano nchini Nigeria waliwakamata Waislamu 11 Jumanne ambao walionekana kula chakula wakati wa mwezi mtakatifu wa Ramadhani.

Kano ina idadi kubwa ya Waislamu, ambapo mfumo wa sheria ya Kiislamu - Sharia - unafanya kazi pamoja na sheria za kisekula.

Polisi wa Kiislamu, wanajulikana sana kama Hisbah, hufanya msako katika mikahawa na masoko kila mwaka wakati wa Ramadhani.

Wanaume kumi na mmoja na mwanamke mmoja walitolewa baada ya kuapa kwamba hawatakusudia kukosa kufunga tena.

"Tulikamata watu 11 Jumanne ikiwa ni pamoja na mwanamke aliyekuwa akiuza karanga ambaye alionekana akila kutoka kwa bidhaa zake na watu wengine wakatufahamisha," Msemaji wa Hisbah Lawal Fagge aliiambia BBC.

"Wanaume wengine kumi walikamatwa katika mji huo hasa karibu na masoko ambapo kuna shughuli nyingi."

Aliongeza kuwa operesheni za ukaguzi zitaendelea lakini akasema kuwa wasio Waislamu walikuwa hawajumuiki.
BBC
======================​
The Islamic police in Nigeria's northern state of Kano arrested 11 Muslims on Tuesday who were seen eating food during the Ramadan fast.

Kano has a majority Muslim population, where an Islamic legal system - Sharia - operates alongside secular law.

The Islamic police, widely known as Hisbah, carry out searches of eateries and markets every year during Ramadan.

The 10 men and one woman were released after swearing an oath that they would not purposely miss a fast again.

"We got 11 persons on Tuesday including a lady selling groundnuts who was seen eating from her wares and some persons alerted us," Hisbah spokesman Lawal Fagge told the BBC.

"The other 10 were men and were arrested across the city especially close to markets where a lot of activities happen."

He added that the search operations would continue but said that non-Muslims were exempt.


"We don't arrest non-Muslims because this doesn't concern them and the only time they could be guilty of a crime is when we find out they cook food to sell to Muslims that are supposed to be fasting."

Regarding those who were arrested he said that they were freed after promising to start fasting from now on and "for some of them we had to see their relatives or guardians in order to have family monitor them".

Just over two decades ago, Sharia was introduced to work alongside secular law in 12 of Nigeria's northern states that all have a majority Muslim population.

Ramadan is the ninth month of the Islamic calendar. It has a special significance in Islam.

It is during this month that Muslims believe the first verses of the Quran - Islam's holy book - were revealed to the Prophet Muhammad.

Fasting is one of the Five Pillars of Islam, which lay the basis for how Muslims are required to live their lives. The fast is observed during daylight hours.

This year, Ramadan is expected to last 30 days, with fasting starting on Monday 11 March and predicted to end on Tuesday 9 April
 
Back
Top Bottom