Kijungu Moto
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 307
- 491
Kuna rafiki yangu kaniblock kisa kumwambia dini tumeletewa[emoji23]Hapo ndipo napowachoka waislamu
Kwani lazima peponi twende wote ?
Wengine tunapenda moto. Tunataka tukachomwe jehanam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna rafiki yangu kaniblock kisa kumwambia dini tumeletewa[emoji23]Hapo ndipo napowachoka waislamu
Kwani lazima peponi twende wote ?
Wengine tunapenda moto. Tunataka tukachomwe jehanam
[emoji23][emoji23]Peponi hawaendi wabaguzi.
Huwezi kumbagua binadamu mwenzako kwa kumwita kafiri kisha uende peponi.
Labda kama ni ile pepo ya mabikira 62 na mito ya pombe.
Pombe na sigara wanatumia vyumbani.Hivyo ndio usithubutu adhabu yake kali sana , kwanza sehemu yenye kufuata sharia hakunaga pombe
allah analazimisha watu wafunge,Polisi wa Kidini nchini Nigeria wamekamata watu 11 siku ya Jumanne kwa kuonekana wakila chakula mchana katika mwezi wa Ramadhani.
Watu hao wamekamatwa katika jimbo la kaskazini la Kano.
Kano ina idadi kubwa ya Waislam, ambapo sheria ya kidini – Sharia- inatumika pamoja na sheria za kawaida za nchi.
Polisi wa Kiislam, maarufu kama Hisbah, hufanya misako katika maeneo ya chakula na masoko wakati wa Ramadhani.
Wanaume 10 na mwanamke mmoja waliokamatwa, waliachiliwa huru baada ya kuapa kuwa hawatoacha kufunga bila sababu muhimu.
“Tulikamata watu 11 siku ya Jumanne, akiwemo mwanamke mmoja muuza karanga aliyeonekana akila na watu wakatujulisha,” amesema msemaji wa Hisbah Lawal Fagge, akizungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC.
“Wengine 10 ambao ni wanaume walikamatwa mjini karibu na masoko ambapo kuna shughuli nyingi.”
Ameongeza kusema msako utaendelea lakini amesema wasio Waislam hawahusiki na msako huo.
Duniani kuna dini za ovyo sana. Uislamu ni janga la dunia nzima.Wangekuwa wanafuatiliana hivi kwenye uzinzi, ulevi, wizi, umbeya ingekuwa ina maana.
Kulazimishana kufunga ni kukaa na njaa kwa kulazimishwa.
Hata kama tuna hela ya kula?😂😂ni lazima wote tushinde njaa, haiwezekani😅😅😅
Serikali ya Tanzania imeokoa mamia ya watoto wakiislam kule Dodoma na Longido wakiwa katika mazingira hatarishi
Hii naifananisha na wale polisi maarufu kama tigo wanazunguka mtaani kutafuta raia waliobeba mizigo na kuwadai risiti kama huna wanatishia kukuchukua hadi utoe pesa. Yaani polisi unamkamata mtu anayekula chakula cha kujinunulia mwenyewe???? Mm nafkir wangeweka nguvu kupambana na makundi yanayoteka watoto daily. Nigeria ni nchi moja ya kipumbavu sanaPolisi wa Kidini nchini Nigeria wamekamata watu 11 siku ya Jumanne kwa kuonekana wakila chakula mchana katika mwezi wa Ramadhani.
Watu hao wamekamatwa katika jimbo la kaskazini la Kano.
Kano ina idadi kubwa ya Waislam, ambapo sheria ya kidini – Sharia- inatumika pamoja na sheria za kawaida za nchi.
Polisi wa Kiislam, maarufu kama Hisbah, hufanya misako katika maeneo ya chakula na masoko wakati wa Ramadhani.
Wanaume 10 na mwanamke mmoja waliokamatwa, waliachiliwa huru baada ya kuapa kuwa hawatoacha kufunga bila sababu muhimu.
“Tulikamata watu 11 siku ya Jumanne, akiwemo mwanamke mmoja muuza karanga aliyeonekana akila na watu wakatujulisha,” amesema msemaji wa Hisbah Lawal Fagge, akizungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC.
“Wengine 10 ambao ni wanaume walikamatwa mjini karibu na masoko ambapo kuna shughuli nyingi.”
Ameongeza kusema msako utaendelea lakini amesema wasio Waislam hawahusiki na msako huo.
Muumba yupi sasa......maana hao makafir hawamtambui huyo mungu wa kiarabu....wala hawatambui adithi za kutunga za waarabu waliowakopi wayahudi wa kale.......wa kwenye toratiقُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema: Enyi makafiri.
Quran 109: 1.
Hilo jina la Kaafiri amewaita Muumba mwenyewe. Na kama hutaki Silimu otherwise hilo ndio jina lako
Sasa kumkubali mungu wa kiarabu mpaka tulazimishane........dini ya kiislamu haijiamini mpaka ilazimishe watuHiyo ni nguzo ya uislamu. Inawezekana washadanganyika na makafiri, lazima wakamatwe ili wamkiri Allah kuwa Mungu wa kweli.
Mzee wa ligi NAKUONA 😂🤣🤣🤣 vipi Gaza kichapo kinaendelea AU SIO
Nitajie wapi hakunaga pombe???Hivyo ndio usithubutu adhabu yake kali sana , kwanza sehemu yenye kufuata sharia hakunaga pombe
Labda hujui sharia law na hujawahi hata kufika sasa jichanganye upeleke ulevi wako kule uone kitakachokupataNitajie wapi hakunaga pombe???
Nitajie sehemu moja??
Saudia
Bahrain
Nigeria
Sudan??
sigara labda ila wengi hawanywi pombe na wanaichukia pombe, na huko kwao ni kosa la jinai, inauzwa kwa non muslims onlyPombe na sigara wanatumia vyumbani.
[emoji28]Ni lazima kufunga. Usipofunga unamtamanisha mwenzio msosi. Waache ujinga wafunge wafanye toba makafiri hao.
Mgalatia unaumia kutokea wapi?😂😂Mzee wa ligi NAKUONA 😂🤣🤣🤣 vipi Gaza kichapo kinaendelea AU SIO
Wameuliwa ? 😂Serikali ya Tanzania imeokoa mamia ya watoto wakiislam kule Dodoma na Longido wakiwa katika mazingira hatarishi