Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
yani haiwezekani...😅😅😅Hata kama tuna hela ya kula?😂😂
mkiendaga kula mbuzi katoliki hamtuiti... sasa show lazima muipatae😭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani haiwezekani...😅😅😅Hata kama tuna hela ya kula?😂😂
Tushukuru kuwa na nchi nzuri km TZPolisi wa Kidini nchini Nigeria wamekamata watu 11 siku ya Jumanne kwa kuonekana wakila chakula mchana katika mwezi wa Ramadhani.
Watu hao wamekamatwa katika jimbo la kaskazini la Kano.
Kano ina idadi kubwa ya Waislam, ambapo sheria ya kidini – Sharia- inatumika pamoja na sheria za kawaida za nchi.
Polisi wa Kiislam, maarufu kama Hisbah, hufanya misako katika maeneo ya chakula na masoko wakati wa Ramadhani.
Wanaume 10 na mwanamke mmoja waliokamatwa, waliachiliwa huru baada ya kuapa kuwa hawatoacha kufunga bila sababu muhimu.
“Tulikamata watu 11 siku ya Jumanne, akiwemo mwanamke mmoja muuza karanga aliyeonekana akila na watu wakatujulisha,” amesema msemaji wa Hisbah Lawal Fagge, akizungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC.
“Wengine 10 ambao ni wanaume walikamatwa mjini karibu na masoko ambapo kuna shughuli nyingi.”
Ameongeza kusema msako utaendelea lakini amesema wasio Waislam hawahusiki na msako huo.
fanya declaration kuwa huna dini na hakuna atakaekusumbuaHapo ndipo napowachoka waislamu
Kwani lazima peponi twende wote ?
Wengine tunapenda moto. Tunataka tukachomwe jehanam
Wakristo wa Saudia?hivyo wakristo hufanya katika tawala zao kwahiyo kuwa mvumilivu
Kwamba ukijitangaza huna dini halafu ukala mchana hakuna ataekusumbua? Unataka uwaingize cha kike?fanya declaration kuwa huna dini na hakuna atakaekusumbua
inategemea, ikiwa umekatazwa kula hadharani basi kwani kuna shida gani kama utakula ndani kwako au kwenye hoteli?Kwamba ukijitangaza huna dini halafu ukala mchana hakuna ataekusumbua? Unataka uwaingize cha kike?
Hawa Waislam ni janga la Dunia. Ona huyu mwingine akimfokea mdada wawatu wakiwa kwenye basi ati kwanini anakula wakati yeye amefunga. Mijinga kweli hii mijituPolisi wa Kidini nchini Nigeria wamekamata watu 11 siku ya Jumanne kwa kuonekana wakila chakula mchana katika mwezi wa Ramadhani.
Watu hao wamekamatwa katika jimbo la kaskazini la Kano.
Kano ina idadi kubwa ya Waislam, ambapo sheria ya kidini – Sharia- inatumika pamoja na sheria za kawaida za nchi.
Polisi wa Kiislam, maarufu kama Hisbah, hufanya misako katika maeneo ya chakula na masoko wakati wa Ramadhani.
Wanaume 10 na mwanamke mmoja waliokamatwa, waliachiliwa huru baada ya kuapa kuwa hawatoacha kufunga bila sababu muhimu.
“Tulikamata watu 11 siku ya Jumanne, akiwemo mwanamke mmoja muuza karanga aliyeonekana akila na watu wakatujulisha,” amesema msemaji wa Hisbah Lawal Fagge, akizungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC.
“Wengine 10 ambao ni wanaume walikamatwa mjini karibu na masoko ambapo kuna shughuli nyingi.”
Ameongeza kusema msako utaendelea lakini amesema wasio Waislam hawahusiki na msako huo.