Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ni lazima kufunga. Usipofunga unamtamanisha mwenzio msosi. Waache ujinga wafunge wafanye toba makafiri hao.Mimi kutokufunga kunaathiri nini mwingine??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lazima kufunga. Usipofunga unamtamanisha mwenzio msosi. Waache ujinga wafunge wafanye toba makafiri hao.Mimi kutokufunga kunaathiri nini mwingine??
Kumbe Mungu anawakataza wenzie kula?Hiyo ni nguzo ya uislamu. Inawezekana washadanganyika na makafiri, lazima wakamatwe ili wamkiri Allah kuwa Mungu wa kweli.
Kama ni muislam ni lazimaKwani kufunga ni lazima au hiari
Du kama Zanzibar tuPolisi wa Kidini nchini Nigeria wamekamata watu 11 siku ya Jumanne kwa kuonekana wakila chakula mchana katika mwezi wa Ramadhani.
Watu hao wamekamatwa katika jimbo la kaskazini la Kano.
Kano ina idadi kubwa ya Waislam, ambapo sheria ya kidini – Sharia- inatumika pamoja na sheria za kawaida za nchi.
Polisi wa Kiislam, maarufu kama Hisbah, hufanya misako katika maeneo ya chakula na masoko wakati wa Ramadhani.
Wanaume 10 na mwanamke mmoja waliokamatwa, waliachiliwa huru baada ya kuapa kuwa hawatoacha kufunga bila sababu muhimu.
“Tulikamata watu 11 siku ya Jumanne, akiwemo mwanamke mmoja muuza karanga aliyeonekana akila na watu wakatujulisha,” amesema msemaji wa Hisbah Lawal Fagge, akizungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC.
“Wengine 10 ambao ni wanaume walikamatwa mjini karibu na masoko ambapo kuna shughuli nyingi.”
Ameongeza kusema msako utaendelea lakini amesema wasio Waislam hawahusiki na msako huo.
Lazima.Kwani kufunga ni lazima au hiari
Sijui angekuwepo SAW mwenyewe angesemajeKano ina idadi kubwa ya Waislam, ambapo sheria ya kidini – Sharia- inatumika pamoja na sheria za kawaida za nchi.
Polisi wa Kiislam, maarufu kama Hisbah, hufanya misako katika maeneo ya chakula na masoko wakati wa Ramadhani.
Wanaume 10 na mwanamke mmoja waliokamatwa, waliachiliwa huru baada ya kuapa kuwa hawatoacha kufunga bila sababu muhimu.
Hahaha wanajua hakuna moto hivyo wanalazimisha tu watu watii sheria zao za kishwainiHapo ndipo napowachoka waislamu
Kwani lazima peponi twende wote ?
Wengine tunapenda moto. Tunataka tukachomwe jehanam
Sema tu kwamba ni lazima, addage kwamba ''kama ni muislam'' haina maana.Kama ni muislam ni lazima
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapo ndipo napowachoka waislamu
Kwani lazima peponi twende wote ?
Wengine tunapenda moto. Tunataka tukachomwe jehanam
nimecheka sana.Polisi wa Kidini nchini Nigeria wamekamata watu 11 siku ya Jumanne kwa kuonekana wakila chakula mchana katika mwezi wa Ramadhani.
Watu hao wamekamatwa katika jimbo la kaskazini la Kano.
Kano ina idadi kubwa ya Waislam, ambapo sheria ya kidini – Sharia- inatumika pamoja na sheria za kawaida za nchi.
Polisi wa Kiislam, maarufu kama Hisbah, hufanya misako katika maeneo ya chakula na masoko wakati wa Ramadhani.
Wanaume 10 na mwanamke mmoja waliokamatwa, waliachiliwa huru baada ya kuapa kuwa hawatoacha kufunga bila sababu muhimu.
“Tulikamata watu 11 siku ya Jumanne, akiwemo mwanamke mmoja muuza karanga aliyeonekana akila na watu wakatujulisha,” amesema msemaji wa Hisbah Lawal Fagge, akizungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC.
“Wengine 10 ambao ni wanaume walikamatwa mjini karibu na masoko ambapo kuna shughuli nyingi.”
Ameongeza kusema msako utaendelea lakini amesema wasio Waislam hawahusiki na msako huo.