Waislamu 11 Wakamatwa Nigeria kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani

allah analazimisha watu wafunge,
 
Lakini kwenye kufukuana mifereji hawasemi chochote usikute ktk hao maaskari kuna mashoga kibao na mabasha na wakisha maliza kazi ya kulazimisha watu kufunga wanarudi magetoni kufukuana mifereji kama wale vijana wa zenji waliofumwa wakifumuana lakini wakafumwa tena wakifumuana hukohuko mahabusu walikowekwa
 
Hii naifananisha na wale polisi maarufu kama tigo wanazunguka mtaani kutafuta raia waliobeba mizigo na kuwadai risiti kama huna wanatishia kukuchukua hadi utoe pesa. Yaani polisi unamkamata mtu anayekula chakula cha kujinunulia mwenyewe???? Mm nafkir wangeweka nguvu kupambana na makundi yanayoteka watoto daily. Nigeria ni nchi moja ya kipumbavu sana
 
Muumba yupi sasa......maana hao makafir hawamtambui huyo mungu wa kiarabu....wala hawatambui adithi za kutunga za waarabu waliowakopi wayahudi wa kale.......wa kwenye torati
 
Nitajie wapi hakunaga pombe???
Nitajie sehemu moja??
Saudia
Bahrain
Nigeria
Sudan??
Labda hujui sharia law na hujawahi hata kufika sasa jichanganye upeleke ulevi wako kule uone kitakachokupata
 

Attachments

  • Screenshot_20240315-043543_Chrome.jpg
    145.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240315-043447_Chrome.jpg
    110.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240315-043654_Chrome.jpg
    154.5 KB · Views: 2
Waafrika umaskini, ujinga na umbumbimbu hautaidha KAMWE...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…