Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

010101

Senior Member
Joined
Dec 12, 2022
Posts
168
Reaction score
370
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

  • Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
  • Ikumbukwe Majestic We zinatumika kwa viongozi tu, na kutambua utendaji walio chini , na viongozi hao huwa na baraza ( Mfalme - baraza la wazee , Raisi - mawaziri) - Kwa hiyo ni sawa kutumia wingi, kama uwakilishi
  • Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
 
Na iwe hivyo
Maswala ya watu kupangia wengine wale nini , wavae nini ni umama
Kupangiana kupo. Huwezi kwenda vatikani na itikadi za kiislam au maka na itikadi za kikristo. Cha muhim ni kuhesgimiana na kuvumiliana.

Wewe mkristo kwenye krismasi nialike ukijua unamualika muislam
 
Kupangiana kupo. Huwezi kwenda vatikani na itikadi za kiislam au maka na itikadi za kikristo. Cha muhim ni kuhesgimiana na kuvumiliana.

Wewe mkristo kwenye krismasi nialike ukijua unamualika muislam
Moja ya maneno nisiyopenda kusikia ni hapo kwenye kuvumiliana sijui kuheshimiana kuna upumbavu mwingi unafanywa kwa kivuli cha hayo mawili.

Tusipangiane namna ya kuishi ilimradi hatuvunji sheria za nchi full stop....
 
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud ...
1.Malaika walihusika kuumbwa mwanadam. Malaika ndo waletaji wa udongo sas sijui unawa-exclude kwa mising ipi.

2.Kumekua na mijadala mingi juu ya wingi unaotumiwa na Allah (s.w) pamoja na dhamiri ya kiume "He".Mung hutumia wingi kuonesha ukubwa wake. Yeye ni mmoja lakin anaweza kufanya mambo zaid ya umoja wake.

Kweny uislam debate za Allah(s.w) hazina mashiko sana kutokan na ukweli kwamba elimu tuliyopewa ni ndogo sana, zaid kumjadili mungu kwa undani zaid huishia kweny sintofaham.

Mungu mwenyew anakwambia hana mshirika huo utatu unatoka wap..kweny familia kuna mda inazuka migogoro sababu ya nafasi, wew unadhan uwepo wa miungu watatu ni aman kwa ulimwengu ni vipi wakitofautian kimaamuzi.


Kingine Muhammad (s .w.a) hakucopy ,alicopy vip hali ya kua ajui kusoma na kuandika .Tujikite kweny vitu ambavy akili zetu zinaweza kuja na majib ata kama ni miaka 500 mbelen na sio kumchimba mungu zaid


Swali!

Kama Muhammad(s .w.a) alicopy bible ni kweli biblia inasema "Jua linazunguka " na "mwezi umepasuka"?.

Tuanzie hapa
 
Achana na udini. Fanya Mambo mengine. Kaoshe hata vyombo fala Wewe
Mtu asiyejua kusoma na kuandika hawawezi kukueleza cha maana.

Atapatwa na hasira na kuanza kutukana. Hiyo dini ina mapungufu mengi sana ndiyo maana huwa hawataki mijadala ya dini.

Mtoa uzi angekuwa uarabuni angehukumiwa kifo kwasbb ameikosoa Quran
 
Ulichocopy na kupest ni uongo mtupu. Inaonesha hizi ni point zenu wakristo mmezianda kuattack uislam mnatumian WhatsApp [emoji23][emoji23][emoji23].Ntakua nakujib kimoja baada ya kimoja [emoji120]
 
Back
Top Bottom