Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hapa ntakupa jibu la akili tu basi ntakupa baadhi ya mifano na matumizi ya lugha katika kutafsiri..then ntakuuliza swali .
Katika matumizi ya lugha tuje kwa kiswahili tunapotafsiri ndo tunatumia "Tume" "Tuli" kama kuonyesha wingi..Sasa katika tafsiri ya maandiko yakimuhusisha Mungu ni dhahiri huo wingi unaonyesha "Mamlaka" na "nguvu" za Mungu ndo maana mnaamini Kuna malaika wawe anawatuma katika ishu zake kwa kuwacommanda hapa ni wala malaika watiifu sio mashetani so ni wingi kwa vile kuwa viumbe ambavyo Mungu anavituma na kufanya moja kwa moja kwa maelezo ya Mungu.
Je yesu alifanya miujiza kwa nguvu zake au kwa mamlaka Mungu 👉ndo maana yesu alitaka uamini Mungu kwanza ndo uponyaji wake utakuponya kwamba anatenda kupitia kupitia nguvu na mamlaka ya Mungu sio yeye ndo maana alimwambia yule mzee Iman yako imekuponya haya yote ni kufanya kwa mamlaka ya Mungu.
Katika mamlaka ya Mungu ambaye alikuwa na messengers (mitume) pamoja na malaiko wote walikuwa katika kufanya Yale aliyoyatuma ili kumfikia mwanadamu ,Alitumia viumbe vyake kama ambavyo ni tofauti na binadamu kama malaika na pia Alitumia miongoni mwa wanadamu ambao ni mItume walioishi katika Maisha halisi ya bidamu.
Mtoa mada 👉come and show us how God abide with trio?
Matumizi ya lugha👉 how sure you are that the almighty God is a man? Kwa nn mnaptafsiri kutoka kingereza katika pronoun ya Mungu tunaweka "He" na sio "she" or "It" ,je unao hakika Mungu ni mwanaume ?
Matumizi ya lugha 👉 neno "Mungu" herufi ya kwanza ni lazima iwe kubwa kama jina la mtu ,the same kwa kingereza lazima lazima useme "God" na sio god ni makosa
Katika matumizi ya lugha tuje kwa kiswahili tunapotafsiri ndo tunatumia "Tume" "Tuli" kama kuonyesha wingi..Sasa katika tafsiri ya maandiko yakimuhusisha Mungu ni dhahiri huo wingi unaonyesha "Mamlaka" na "nguvu" za Mungu ndo maana mnaamini Kuna malaika wawe anawatuma katika ishu zake kwa kuwacommanda hapa ni wala malaika watiifu sio mashetani so ni wingi kwa vile kuwa viumbe ambavyo Mungu anavituma na kufanya moja kwa moja kwa maelezo ya Mungu.
Je yesu alifanya miujiza kwa nguvu zake au kwa mamlaka Mungu 👉ndo maana yesu alitaka uamini Mungu kwanza ndo uponyaji wake utakuponya kwamba anatenda kupitia kupitia nguvu na mamlaka ya Mungu sio yeye ndo maana alimwambia yule mzee Iman yako imekuponya haya yote ni kufanya kwa mamlaka ya Mungu.
Katika mamlaka ya Mungu ambaye alikuwa na messengers (mitume) pamoja na malaiko wote walikuwa katika kufanya Yale aliyoyatuma ili kumfikia mwanadamu ,Alitumia viumbe vyake kama ambavyo ni tofauti na binadamu kama malaika na pia Alitumia miongoni mwa wanadamu ambao ni mItume walioishi katika Maisha halisi ya bidamu.
Mtoa mada 👉come and show us how God abide with trio?
Matumizi ya lugha👉 how sure you are that the almighty God is a man? Kwa nn mnaptafsiri kutoka kingereza katika pronoun ya Mungu tunaweka "He" na sio "she" or "It" ,je unao hakika Mungu ni mwanaume ?
Matumizi ya lugha 👉 neno "Mungu" herufi ya kwanza ni lazima iwe kubwa kama jina la mtu ,the same kwa kingereza lazima lazima useme "God" na sio god ni makosa