Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

Who determine areas of cash crop production?
Listen! Colonialism wasn’t just a random or accidental thing. They had motives following the Industrial development in Europe in that era. That’s why It was necessary to send some agents like explorers etc to give them a picture before they come and establish their powers.

Colonialism was a business though it may be seemed like a medley of stuffs like exercise of power and domination, civilization etc.. So everything they did was economical..
 
Unazungumzia miaka ipi? Wakati wa Middle school kama alivyoeleza mleta mada au miaka hii?
 
Ni wajinga wakishakunywa ghahawa ni kudanganya à hko misikitini
 
Huelew Mada hoja sio kusoma bure,hoja ni uwepo WA shule
Wakristo wasingejenga shule mngelipa wapi Hizo ada?
 
Elimu ya kuletwa tu hii , ukoloni ulianza 1885 baada ya mkutano wa BERLIN ,mlilazimisha mtu abadili dini jdio asome .
Hâta huelew ulichoandika umesoma Mada?
Waislamu walikalia kuvaa kubaz na kukalia ilmu akhera , wakristo wakajenga shule,ndipo na waislamu wakapata fursa ya kusoma
Nyie mlivyo na roho mbaya ingelikuwa shule ni zenu asingesoma mkristo
 
Hii ni kweli , tangu mwaka 1885 waislamu walitengwa kweny elimu mpaka uwe mkristo ndio unasoma , elimu yenyewe ya kuletwa ilikuwa inatolewa kwa mafungu .

Miaka yote hiyo wameshindwa kubomoa uislamu , nchi hii waislamu walipata tabu sana mpaka uhuru kwa ubaguzi wa wagalatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…