Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

Ndugu Black Sniper ,wewe madrasa haijakusaidia kwa kweli.
Huwezi kujiita Black Sniper kama kweli ulipita madrasa na kufuzu.
Wewe utakuwa umesomea ujinga kama apendavyo kuandika dada FaizaFoxy .
We jamaa kingereza sio ukristo umesahau kwenu kule kweny magofu italy , USA sio nchi yenu Labda kule Israel mnapofukuzwa .
 
Wanabodi,

Watanzania wote waliosoma enzi za mkoloni mpaka tunapata uhuru, tumekuwa na elimu ya aina 3. Shule za serikali, Government Schools, Shule za Mission, na elimu ya madras kwa ndugu zetu Waislamu.

Shule za serikali zilikuwa chache na zilichukua wanafunzi wachache tena vichwa kweli kweli, hivyo Watanzania wengi waliemika kupitia Shule za Mission.

Elimu ya madrasa iliwahusu Waislamu pekee, lakini shule za serikali na shule za Mission zilichukua watu wa dini zote bila ubaguzi wowote.

Hivyo Watanzania wengi wa zamani waliobahatika kusoma elimu ya secondary, walisoma shule za misheni.

Kilichofanya Wakristo wengi zaidi kuwa ni wasomi kuliko Waislamu, ni changamoto ya ada za shule.

Watoto wa mikoa yenye mazao ya biashara, waliweza kusoma zaidi kwasababu wazazi wao waliweza kulipa ada, kutokana na kupata kipato, lakini watoto wa mikoa ambayo haikuwa na mazao ya biashara ikiwemo mikoa yote yenye Waislamu wengi, hawakubahatika kupata elimu ya kisasa.

Hali hii ilipelekea hata uendeshaji wa harakati za uhuru, kuongozwa na wasomi Wakristo, mfano vyama vyote vya siasa vilivyopigania uhuru, kuanzia AA kiliongozwa na Mkristo, Cecil Matola, TAA ikaongozwa na Dr. Vedastus Kyaruzi na TANU ikaongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kitu kizuri sana Shule za Mission zilichowafanyia Watanzania, akitokea Mwanafunzi very bright, akafanya vizuri mitihani yake na kufaulu vizuri, wale waalimu wa shule za Mission, usually makasisi, waliwachukua watoto hao na kuwasomesha bure, hivyo ndio wengi wa wasomi wa Kiislamu walivyopatikana, hivyo watu kama Juma Mwapachu na nduguye Bakari, kina Hamza Aziz, Inspector Rashid na Waislamu wengi wa enzi hizo, walisoma sekondari kwa hisani ya Shule za Mission.

Hisani hii, sio kwa ndugu zetu Waislamu pekee, hata Wakristo kutoka maeneo ambayo hawana mazao ya biashara, hivyo umasikini wa kipato unasababisha watoto wao hawezi kulipiwa ada, na kutosoma sana.

Hivyo wasomi wa mikoa ya Singida na Dodoma, kama kina John Samwel Malecela na nduguye Job Lusinde, washukuru sana Mission, vinginevyo bila hisani ya Shule za Mission, kuna watu wangeishia kuchunga mbuzi au kupiga dufu au kuadhini tuu lakini sasa ni wasomi wazuri na waandishi mahiri kwa hisani ya Shule za Mission.

Hivyo hili ni bandiko la kuwakumbusha ndugu zetu Waislamu waliofaidika na hisani ya kusomeshwa shule za Mission, wakumbuke fadhila, wawe ni watu wa shukrani, wawashukuru sana Wakristo, wazishukuru shule za Mission walizosomea, na kuwashukuru wale Makasisi waliowaokoa.

Ukifadhiliwa, usiwe mtovu wa fadhila, haiwezekani mtu ufadhiliwe shule za Mission, halafu kila uchao ni kuwabeza tuu Wakristo na kuwatukuza Waislamu, mara kulalamikia mfumo Kristo, mara kulalamika....

Inaendelea

Paskali
Paskali, hujambo? Sina comments. Ngoja niku'destract' kidogo. Unakumbuka makundi mawili ya Maktupora 1) kundi la 'lookless' (siangalii makunyanzi) na 2) kundi la mshikamano? Mimi nilikuwa kundi la kwanza na wewe la pili. Na nakumbuka tulipokuwa tukikutana, nadhani hasa weekend kama kawaida wewe ulikuwa 'mshikamano' na mimi kama kawaida 'lookless'. Mshikamano B yuko wapi?
 
Kikwete hajawah kubadili jina ww mshamba
MBNA nayo mwarabu yenu hayakuwajengea shule ? Yalikalia kubaka wanawake tu
😀 😀Wewe ni fala kasome historia ya kikwete , hamna unachojua ...Wajenge shule kwani ni wakoolni ? Hao wakoloni pwani walipata ukinzani pwani walishakuwa wanajitambua .

NYie ndio kwanza mlikuwa mnavaa nyasi na kunywa uchafu ule .

Kamuangalie sativa huko
 
Hakuna mkristo anayependa kucheka na muislamu hata siku moja kwa vile ni waoga tu , maana wakianzisha vurugu waislamu wana misimamo ila roho zao ni ngumu.

Chukulia mkoloni alikuwa analazimisha watu wawe waislamu kwa lazima ndio wasome.
Nimeishi na wakristo tofauti na mikoa tofauti lakini wakristo wa kisukuma na eneo la kanda ya ziwa wana chuki sana na uislam.

Katika wakristo wapo poa na waislam wachagga na wapare na maeneo ya Tanga na Dar.
 
Nimeishi na wakristo tofauti na mikoa tofauti lakini wakristo wa kisukuma na eneo la kanda ya ziwa wana chuki sana na uislam.

Katika wakristo wapo poa na waislam wachagga na wapare na maeneo ya Tanga na Dar.
Yule sativa alishawahi kutukana waislamu , yule wa Mbeya wahuni wamemshona eti anatafuta huruma , wangemchinja kabisa .

Watu wa bara wana chuki sana yaani .
 
Wanabodi,

Watanzania wote waliosoma enzi za mkoloni mpaka tunapata uhuru, tumekuwa na elimu ya aina 3. Shule za serikali, Government Schools, Shule za Mission, na elimu ya madras kwa ndugu zetu Waislamu.

Shule za serikali zilikuwa chache na zilichukua wanafunzi wachache tena vichwa kweli kweli, hivyo Watanzania wengi waliemika kupitia Shule za Mission.

Elimu ya madrasa iliwahusu Waislamu pekee, lakini shule za serikali na shule za Mission zilichukua watu wa dini zote bila ubaguzi wowote.

Hivyo Watanzania wengi wa zamani waliobahatika kusoma elimu ya secondary, walisoma shule za misheni.

Kilichofanya Wakristo wengi zaidi kuwa ni wasomi kuliko Waislamu, ni changamoto ya ada za shule.

Watoto wa mikoa yenye mazao ya biashara, waliweza kusoma zaidi kwasababu wazazi wao waliweza kulipa ada, kutokana na kupata kipato, lakini watoto wa mikoa ambayo haikuwa na mazao ya biashara ikiwemo mikoa yote yenye Waislamu wengi, hawakubahatika kupata elimu ya kisasa.

Hali hii ilipelekea hata uendeshaji wa harakati za uhuru, kuongozwa na wasomi Wakristo, mfano vyama vyote vya siasa vilivyopigania uhuru, kuanzia AA kiliongozwa na Mkristo, Cecil Matola, TAA ikaongozwa na Dr. Vedastus Kyaruzi na TANU ikaongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kitu kizuri sana Shule za Mission zilichowafanyia Watanzania, akitokea Mwanafunzi very bright, akafanya vizuri mitihani yake na kufaulu vizuri, wale waalimu wa shule za Mission, usually makasisi, waliwachukua watoto hao na kuwasomesha bure, hivyo ndio wengi wa wasomi wa Kiislamu walivyopatikana, hivyo watu kama Juma Mwapachu na nduguye Bakari, kina Hamza Aziz, Inspector Rashid na Waislamu wengi wa enzi hizo, walisoma sekondari kwa hisani ya Shule za Mission.

Hisani hii, sio kwa ndugu zetu Waislamu pekee, hata Wakristo kutoka maeneo ambayo hawana mazao ya biashara, hivyo umasikini wa kipato unasababisha watoto wao hawezi kulipiwa ada, na kutosoma sana.

Hivyo wasomi wa mikoa ya Singida na Dodoma, kama kina John Samwel Malecela na nduguye Job Lusinde, washukuru sana Mission, vinginevyo bila hisani ya Shule za Mission, kuna watu wangeishia kuchunga mbuzi au kupiga dufu au kuadhini tuu lakini sasa ni wasomi wazuri na waandishi mahiri kwa hisani ya Shule za Mission.

Hivyo hili ni bandiko la kuwakumbusha ndugu zetu Waislamu waliofaidika na hisani ya kusomeshwa shule za Mission, wakumbuke fadhila, wawe ni watu wa shukrani, wawashukuru sana Wakristo, wazishukuru shule za Mission walizosomea, na kuwashukuru wale Makasisi waliowaokoa.

Ukifadhiliwa, usiwe mtovu wa fadhila, haiwezekani mtu ufadhiliwe shule za Mission, usome bure, halafu kila uchao ni kuwabeza tuu hao Wakristo waliokusomesha elimu yao hadi unaweza kuandika kwa kuwadogosha na kuwatukuza na kuwakweza Waislamu, mara kulalamikia mfumo Kristo, mara kulalamika, Waislamu wanabaguliwa kielimu, mara hivi mara vile...

Baada ya uhuru, Mwalimu Nyerere akataifisha shule zote za mission na Hospital zote za mission na kuigeuza za serikali, akatoa elimu bure kwa wote tangu darasa la kwanza hadi la chuo kikuu ili Watanzania wote wa dini zote na makabila yote wapate haki sawa ya elimu ya juu.

Wakati huo tukitumia mitaala ya Cambridge na mitihani ya Cambridge, bado walioingia sekondari ni watoto wa makabila yale yale, Wachagga, Wahaya, Wanyakyusa, Wasukuma, Wahehe, na watu wa dini ile ile!.

Nyerere akafuta mitihani Cambridge, tukaanzisha Baraza letu la mitihani na mitaala yetu, mitihani tukatunga wenyewe, bado wanaopasi ni makabila yale yale na dini ile ile.

Ndipo tukakubali ukweli mchungu kumbe kiwango cha IQ hakifanani kwa dini zote na makabila yote, ikakawa sasa inafanyika affirmative action ili ndugu zetu hawa nao wasome na makabila yote wasome, kwa kuweka different cut off points maeneo tofauti tofauti. The highest ni Bukoba cut off point ni 90, Kilimanjaro 80, Mbeya 70, Iringa, Kanda ya Ziwa 60. Muslim dominated areas 40, primitive tribes ikashushwa mpaka 0 kwa Hadzabe, na wakasomeshwa kwa nguvu mpaka form 4 na wote wakapata zero!.

Utaratibu huu ulisaidia sana Watanzania wote kupata fursa za elimu ya juu. Bakwata na taasisi za Kiislamu pia zikaanzisha sekondari za elimu dunia, japo performance ya Shule ya Islamic Seminary ilikuwa... niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!. pia niliwahi kuuliza Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Inaendelea

Paskali
Pasco nakuheshim sana. Title ilionesha mtu mwingne kabisa
 
Wanabodi,

Watanzania wote waliosoma enzi za mkoloni mpaka tunapata uhuru, tumekuwa na elimu ya aina 3. Shule za serikali, Government Schools, Shule za Mission, na elimu ya madras kwa ndugu zetu Waislamu.

Shule za serikali zilikuwa chache na zilichukua wanafunzi wachache tena vichwa kweli kweli, hivyo Watanzania wengi waliemika kupitia Shule za Mission.

Elimu ya madrasa iliwahusu Waislamu pekee, lakini shule za serikali na shule za Mission zilichukua watu wa dini zote bila ubaguzi wowote.

Hivyo Watanzania wengi wa zamani waliobahatika kusoma elimu ya secondary, walisoma shule za misheni.

Kilichofanya Wakristo wengi zaidi kuwa ni wasomi kuliko Waislamu, ni changamoto ya ada za shule.

Watoto wa mikoa yenye mazao ya biashara, waliweza kusoma zaidi kwasababu wazazi wao waliweza kulipa ada, kutokana na kupata kipato, lakini watoto wa mikoa ambayo haikuwa na mazao ya biashara ikiwemo mikoa yote yenye Waislamu wengi, hawakubahatika kupata elimu ya kisasa.

Hali hii ilipelekea hata uendeshaji wa harakati za uhuru, kuongozwa na wasomi Wakristo, mfano vyama vyote vya siasa vilivyopigania uhuru, kuanzia AA kiliongozwa na Mkristo, Cecil Matola, TAA ikaongozwa na Dr. Vedastus Kyaruzi na TANU ikaongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kitu kizuri sana Shule za Mission zilichowafanyia Watanzania, akitokea Mwanafunzi very bright, akafanya vizuri mitihani yake na kufaulu vizuri, wale waalimu wa shule za Mission, usually makasisi, waliwachukua watoto hao na kuwasomesha bure, hivyo ndio wengi wa wasomi wa Kiislamu walivyopatikana, hivyo watu kama Juma Mwapachu na nduguye Bakari, kina Hamza Aziz, Inspector Rashid na Waislamu wengi wa enzi hizo, walisoma sekondari kwa hisani ya Shule za Mission.

Hisani hii, sio kwa ndugu zetu Waislamu pekee, hata Wakristo kutoka maeneo ambayo hawana mazao ya biashara, hivyo umasikini wa kipato unasababisha watoto wao hawezi kulipiwa ada, na kutosoma sana.

Hivyo wasomi wa mikoa ya Singida na Dodoma, kama kina John Samwel Malecela na nduguye Job Lusinde, washukuru sana Mission, vinginevyo bila hisani ya Shule za Mission, kuna watu wangeishia kuchunga mbuzi au kupiga dufu au kuadhini tuu lakini sasa ni wasomi wazuri na waandishi mahiri kwa hisani ya Shule za Mission.

Hivyo hili ni bandiko la kuwakumbusha ndugu zetu Waislamu waliofaidika na hisani ya kusomeshwa shule za Mission, wakumbuke fadhila, wawe ni watu wa shukrani, wawashukuru sana Wakristo, wazishukuru shule za Mission walizosomea, na kuwashukuru wale Makasisi waliowaokoa.

Ukifadhiliwa, usiwe mtovu wa fadhila, haiwezekani mtu ufadhiliwe shule za Mission, usome bure, halafu kila uchao ni kuwabeza tuu hao Wakristo waliokusomesha elimu yao hadi unaweza kuandika kwa kuwadogosha na kuwatukuza na kuwakweza Waislamu, mara kulalamikia mfumo Kristo, mara kulalamika, Waislamu wanabaguliwa kielimu, mara hivi mara vile...

Baada ya uhuru, Mwalimu Nyerere akataifisha shule zote za mission na Hospital zote za mission na kuigeuza za serikali, akatoa elimu bure kwa wote tangu darasa la kwanza hadi la chuo kikuu ili Watanzania wote wa dini zote na makabila yote wapate haki sawa ya elimu ya juu.

Wakati huo tukitumia mitaala ya Cambridge na mitihani ya Cambridge, bado walioingia sekondari ni watoto wa makabila yale yale, Wachagga, Wahaya, Wanyakyusa, Wasukuma, Wahehe, na watu wa dini ile ile!.

Nyerere akafuta mitihani Cambridge, tukaanzisha Baraza letu la mitihani na mitaala yetu, mitihani tukatunga wenyewe, bado wanaopasi ni makabila yale yale na dini ile ile.

Ndipo tukakubali ukweli mchungu kumbe kiwango cha IQ hakifanani kwa dini zote na makabila yote, ikakawa sasa inafanyika affirmative action ili ndugu zetu hawa nao wasome na makabila yote wasome, kwa kuweka different cut off points maeneo tofauti tofauti. The highest ni Bukoba cut off point ni 90, Kilimanjaro 80, Mbeya 70, Iringa, Kanda ya Ziwa 60. Muslim dominated areas 40, primitive tribes ikashushwa mpaka 0 kwa Hadzabe, na wakasomeshwa kwa nguvu mpaka form 4 na wote wakapata zero!.

Utaratibu huu ulisaidia sana Watanzania wote kupata fursa za elimu ya juu. Bakwata na taasisi za Kiislamu pia zikaanzisha sekondari za elimu dunia, japo performance ya Shule ya Islamic Seminary ilikuwa... niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!. pia niliwahi kuuliza Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Inaendelea

Paskali
Paskali,
Nimeandika vipi Cecil Matola, Dr. Vedasto Kyaruzi na Julius Nyerere walivyopewa uongozi katika AA na TAA.

Dar-es-Salaam ya 1950 Nyerere asingeweza kumshinda Abdul Sykes katika uchaguzi wowote.

Angalia post # 85.
 
Was encouraging missionary schools and segregating muslims from secular education economical?how economical was it?
European powers by 80% if not 90% were Christians..So Christianity was a part of their culture and that’s inseparable!

It was necessary for the colonialism ( colonial economy) to blossom from their culture because It was intact...They used what they had to obtain economic prosperity or advantage into fruition.

The emergency of segregation and stuff like that ,was just a crosscutting thing and impeccably saying not a motivation behind for institutions like schools and colleges etc to exist..

I’m trying to change your inclination into a right path. You have to see the colonialism as a business or investment.
 
Back
Top Bottom