Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

Ndugu Black Sniper ,wewe madrasa haijakusaidia kwa kweli.
Huwezi kujiita Black Sniper kama kweli ulipita madrasa na kufuzu.
Wewe utakuwa umesomea ujinga kama apendavyo kuandika dada FaizaFoxy .
We jamaa kingereza sio ukristo umesahau kwenu kule kweny magofu italy , USA sio nchi yenu Labda kule Israel mnapofukuzwa .
 
Paskali, hujambo? Sina comments. Ngoja niku'destract' kidogo. Unakumbuka makundi mawili ya Maktupora 1) kundi la 'lookless' (siangalii makunyanzi) na 2) kundi la mshikamano? Mimi nilikuwa kundi la kwanza na wewe la pili. Na nakumbuka tulipokuwa tukikutana, nadhani hasa weekend kama kawaida wewe ulikuwa 'mshikamano' na mimi kama kawaida 'lookless'. Mshikamano B yuko wapi?
 
Kikwete hajawah kubadili jina ww mshamba
MBNA nayo mwarabu yenu hayakuwajengea shule ? Yalikalia kubaka wanawake tu
😀 😀Wewe ni fala kasome historia ya kikwete , hamna unachojua ...Wajenge shule kwani ni wakoolni ? Hao wakoloni pwani walipata ukinzani pwani walishakuwa wanajitambua .

NYie ndio kwanza mlikuwa mnavaa nyasi na kunywa uchafu ule .

Kamuangalie sativa huko
 
Hakuna mkristo anayependa kucheka na muislamu hata siku moja kwa vile ni waoga tu , maana wakianzisha vurugu waislamu wana misimamo ila roho zao ni ngumu.

Chukulia mkoloni alikuwa analazimisha watu wawe waislamu kwa lazima ndio wasome.
Nimeishi na wakristo tofauti na mikoa tofauti lakini wakristo wa kisukuma na eneo la kanda ya ziwa wana chuki sana na uislam.

Katika wakristo wapo poa na waislam wachagga na wapare na maeneo ya Tanga na Dar.
 
Nimeishi na wakristo tofauti na mikoa tofauti lakini wakristo wa kisukuma na eneo la kanda ya ziwa wana chuki sana na uislam.

Katika wakristo wapo poa na waislam wachagga na wapare na maeneo ya Tanga na Dar.
Yule sativa alishawahi kutukana waislamu , yule wa Mbeya wahuni wamemshona eti anatafuta huruma , wangemchinja kabisa .

Watu wa bara wana chuki sana yaani .
 
Pasco nakuheshim sana. Title ilionesha mtu mwingne kabisa
 
Paskali,
Nimeandika vipi Cecil Matola, Dr. Vedasto Kyaruzi na Julius Nyerere walivyopewa uongozi katika AA na TAA.

Dar-es-Salaam ya 1950 Nyerere asingeweza kumshinda Abdul Sykes katika uchaguzi wowote.

Angalia post # 85.
 
Was encouraging missionary schools and segregating muslims from secular education economical?how economical was it?
European powers by 80% if not 90% were Christians..So Christianity was a part of their culture and that’s inseparable!

It was necessary for the colonialism ( colonial economy) to blossom from their culture because It was intact...They used what they had to obtain economic prosperity or advantage into fruition.

The emergency of segregation and stuff like that ,was just a crosscutting thing and impeccably saying not a motivation behind for institutions like schools and colleges etc to exist..

I’m trying to change your inclination into a right path. You have to see the colonialism as a business or investment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…