Waislamu Mnafeli wapi?

Hatari sana..ndio mana wanajiripua na kuua wengine kwasababu wanakuwa wamepandwa na majini vichwani mwao..mtu wa kawaida hawezi wafanya huu upuuzi.

Tuzidi kuwaombea waipate nuru ya kweli.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mganga kama hajui kusoma Quran jua umepigwa. Sijui kuna uhusiano gani ya uchawi (majini), Quaran na lugha ya kiarabu. Wajuvi mtupe darsa mujarab kuhusu hili.
 
Mkuu hii imekaaje?
 
 
Ila tambua dunia ishatumia asilia 75 ya bando lake,so kuwa Tajir Kwa Mali za majini ila mwisho wa siku itakula kwako
Biblia inaniambia hivii👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

Marko 8:36-37 SUV​

Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake? Ama mtu atoe nini badala ya nafsi yake?
 
Na Salman alipoelezea "Satanic Verses" zilizo ndani ya Quran alitangaziwa fatwa.
 
Ngoja nimtafute Kipozeo anipe picture halisi ya peponi
 
Sikua naamini kwenye haya mavitu hadi nilipoishi Zanzibar kipindi fulani, niliyashuhudia, kile kisiwa hakuna ambaye hajakumbana na matukio ya majini, wanayafuga yaani ndio zao kote. Halafu ndio shughuli za popote walipo waislamu, kuanzia Mombasa, Pwani, nenda mpaka Tanga katiza mpaka kwa Wapemba.
 
Hakuna Malaika waasi mkuu futa hiyo dhana katika kichwa fasta

Malaika ni viumbe Safi Sana WA Mwenyezi Mungu na ndio wasaidizi wake,hawezi kuwa na viumbe wa ovyo.

Ingia darasani Kwanza ndo uje na hizo hoja zako

Shukrani
Ndiyo maana nilianza kwa kusema hii dunia imejaa udanganyifu mwingi sana. Na wewe mleta mada ni miongoni mwa hao WALIODANGANYWA na KUPOTOSHWA.

Huyo Shetani (malaika muasi) ni mjanja sana na ni mwerevu sana. Kwa ujanja wake na uerevu wake amewadanganya wengi sana. Kwa ujanja wake amejiingiza mpaka kwenye dini na kuanzisha dini ambazo wanadamu wanafikirini wanamwabudu MUNGU kumbe wanaabudu kiumbe huyu shetani. Kiumbe huyu yupo misikitini na makanisani, amewaletea mafundisho mkidhani yametoka kwa MUNGU kumbe ni madanganyo matupu.

Narudia tena kusema, "itafuteni KWELI nayo hiyo KWELI itawaweka huru kutoka kwenye madanganyo na vifungo vya shetani.
 
Watu wanafunga ng'ombe..mbuzi..kuku n.k wao wanafuga majini..no wonder wengi wanamtindio wa ubongo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Baadhi ya Waislamu hawalijui hili kiundani ndo hao unaowaona humu wakibisha.
Uislamu na na Majini ni chanda na pete. Uislamu ndio dini ya majini sasa yataendaje mbali na waislamu wenzao watu ?

Ukienda sehemu yoyote ile yenye waislamu wengi Majini nao wanakuwa wengi kwakuwa dini yao ni Uislamu pia na waislamu wanakubali na kuwakaribisha wanao waita ndugu zao wa Kijini.

Ukisikia mji wa Waislamu maana yake mji wa watu na majini, kwani wote ni waislamu.

Cha kushangaza Muhammadi ni kama amewatoa ufahamu kabisa hawawezi kukaa pembeni na kutafakari.

Kama wanaamini baadhi ya majini ni Waislamu
Na wao ni Waislamu wanakanushaje kuishi nao pamoja? Na huko ndiko kufuga majini tunako kuongelea. Yaani kuwakaribisha majini katika maeneo yako, nyumbani kwako na kwako binafsi.

Waislamu watu na waislamu Majini ni marafiki wa karibu sana. Mtume wao aliwaambia Majini waislamu ni ndugu zao.

Ndugu wanatenganaje ?
 
khee! Yani jini unasema mshkaji wako? wacha niendelee kuitwa kafiri tu, ndo maana mnajilipua ovyo
 
Hafu wenyewe kwa wenyewe mnapingana wengini ni sawa wengine sio sawa hafu wote mnatumia kitabu kimoja
 
Ila mimi nafahamu waislamu wengi hawajamaliza kuyasoma mafundisho yao.
Na wanao maliza wanaogopa kuyasema yote hadhalani hasa yale ambayo nina uhakika kama waislamu wengi wangeyasoma wangeachana na huo ushirikina.
Ndio maana yule mwamba akawawekea ili wajue.

Mimi ningekuwa mwislamu ningewapenda sana wanaoweka hayo mafundisho. Maana wana nia njema tu.

Nia ya kuieleza dini yao ilivyo
 
Ni ukweli kabisa.
Mimi nilinunua kiwanja hivi vya kupimwa na makampuni.

Kabla sijaanza kujenga kuangalia ramani mbele yangu kuna wapemba wamenunua kiwanja cha kujenga Msikiti yaani napakana nao.

Niliuza kile kiwanja.
Niliogopa kupishana na hao Brothers and Sisters watakao pita kila asubuhi mchana na jioni kuwenda kuswali.

Ni ukweli kabisa Majini wanaswali humo misikitini.
Wanakuja wengine kama watu wengine kama roho.

Nipo nimekaa pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…