Kuwa mpangajibwa kila kitu si sababu.
Kwa sababu, kuwa mpangaji wa kila kitu hakumzuii kutupa uhuru wa kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe.
Sasa, kwa sababu unasema Mungu ndiye mpqngaji wa kila kitu, kwa nini kaamua tuzaliwe bila kuchagua?
Kwa nini hajatupa uhuru wa kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe? Hususannkwa sababu tunaambiwa Mungu katupa uhuru wa kuchagua mambo, sasa kqma Mungu hatupi uhuru wa kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe, hapi tunabuhuru gani wa kuchagua?
Ukisema Mungu ndiye mpangaji hujajibu swali, umekubali kwamba huna jibu.
Mimi sijasema Mungu si mpangaji, ninekuuliza kwa nini kapanga hivi na si vile, hususan kwa sababu hivi alivyopanga kuna contradict habari nzima ya uhuru wetu kuchagua?
Hujajibu swali. Umekubali huna jibu.