Waislamu Mnafeli wapi?

Shida ipo sehemu moja tu wakristo wengi hawana elimu juu ya uislam kwaiyo wanamezeshana propaganda sana juu ya uislam.

Lakini bado sioni tatizo kuitwa wafuga majini kama ufugi uwezi chukia kitu ukiona unakasilika ujue unayafuga.
Swadakta Al habib
 
Shukrani kwa darsa👏
 
mwenyezi mungu anasema anayetaka maisha ya dunia atampa na atakuacha ujilie raha ya mchongo ya dunia ila tambua ahera huna chako..kupanga ni kuchagua mkuu
Aaah kasema wapi hii?
Kwahyo nisifuge kuku ili nipate hela nikala raha za dunia kwasababu ntakosa ahera?
 
Ni Kama dhambi zingine tu,ukute anayeshitikiana na jinni hanywi pombe,hazini,hachezi kamari...Ila hakuna uchawi usiohusisha jinni,wengine wanaita mizimu,Ila ndiyo jinni haohao
Mimi nna Rafiki yangu wa kijini, ila yeye Ni wa ibada Sana, na hakai mwilini mwangu, ila huwa anakuja kwa umbo la kibidamu baadae anatoweka, Ni mshakaji tunapiga story Sana, kila alhamisi ndio inakuwa siku yake yakuja kibindamu ,na ijumaa, nimeegundua kumbe chakula chao Ni mifupa pia,na mabaki ya vyakula walioacha binadamu baadhi
 
Si tulikubaliana kuna majini wazuri na wabaya..leo wewe unasema majini wote wabaya..utakua muislamu wa mchongo wewe.

#MaendeleoHayanaChama
Majini Kama ilivyo binadamu, Kuna wema na wabaya
 
Asalam alaykum
 
Si tulikubaliana kuna majini wazuri na wabaya..leo wewe unasema majini wote wabaya..utakua muislamu wa mchongo wewe.

#MaendeleoHayanaChama
Majini wazur na wabaya Kwa matendo Yao ni wao katika Maisha Yao, kuna wema na wabaya kama binadamu.

Lakini akishakuja kuchangamana na mwanadamu huyo tayar ni mbaya Kwa Hicho kitendo

Ngoja nikuongeze ufahamu zaidi Kwa mifano maana akili za watu WA Jf wanazijua wenyewe;

Binadamu katika Maisha Yao kuna wabaya na Wazuri lkn binadamu huyo huyo akienda kufanya mapenzi na mnyama hakika moja Kwa moja anakuwa ni mbaya kwasababu Kwa akili ya kawaida Hilo Jambo sio sawa
 
Huo mtihani ndugu yangu, lazima mtakuwa na mapatano Fulani

Majini hawashirikiani na wanadamu isipokuwa kuna makubaliano Kati Yao,na mara nyingi ni kumkana Mwenyezi Mungu na KUABUDIWA wao.

Jini hawezi kukufanyia kitu au kukusaidia Jambo Bila na yeye kupata faida.

Hakuna jema utalo pata kutoka Kwa hawa viumbe,Sana Sana utaangamia Tu!
 
Nimekaa tanga, tabora na lindi hivyo nafahamu kazi za mashehe kupunga pepo.
Mimi huwa mkweli katika Jambo la ukweli,sikatai kwamba hakuna masheikh ambao wanafanya hivyo,wapo na hao ni Wale wanao fanya uganga.

Lakini Dini hairuhusu ushirikina ,kwahiyo hao wahukumiwe Kwa matendo Yao na sio dini
 
hayo masuala ya majini na ushirikina ni mambo ya kimilia ya kiswahili na kiafrika. Hayana mahusiano kabisa na uislamu.

Uislamu ulishaeka wazi kuwa uchawi na ushirikina unamtoa mtu ndani ya uislamu, ni dhambi kubwa yao kuliko zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…