baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Exactly Mkuu, uchawi ni Sanaa ya kuwasiliana na majini.Ni Kama dhambi zingine tu,ukute anayeshitikiana na jinni hanywi pombe,hazini,hachezi kamari...Ila hakuna uchawi usiohusisha jinni,wengine wanaita mizimu,Ila ndiyo jinni haohao
Basi kama hamfichi kitu usimtishe mtoa mada sasaSisi hatuelimishani mitandaoni sisi tunaenda kukaa chini kusomeshwa hatufichi kitu sisi
Sio kama nyie pastor akisema hakuna kuuliza ndo imepita iyo
Sasa kati yetu na sisi nani kuna walakini mkubwa mno?
Hajathibitisha huko motoni kupo.Na jamaa anaweza kusema kuwa amemtaja Bakhesa kama tajiri sio tajiri aliyetajirika kea makini.
Angalia hiyo sentensi yake,yawezavunjwa vunjwa
Unaelewa kwamba unaweza kufanya uhakiki na usipate uhakika?Uhakika ni matokeo ya uhakiki,
Nilipo hakiki maneno ya kiswahili nikapata uhakika kuwa "logical consistency" sio maneno ya kiswahili kutokana na ukweli wangu.
Nakujibu Tu kwakuwa nakuheshimuNioneshe hao waloelimika hapa?
Ni kweli na kinyume chake pia.Unaelewa kwamba unaweza kufanya uhakiki na usipate uhakika?
Kwa hivyo hoja nzima haitufikishi popote, na haikufikiriwa kwa kina.Ni kweli na kinyume chake pia.
Hao Masharifu mala kadhaa tunaona ndio waalimu wazuri wa dini.
Akizaliwa mtoto Sharifu anatembezwa sehemu mbali mbali kutoa mihadhara ya dini na kuombea waislamu wenye madhaifu mbali mbali.
Wewe bado hujaufamu Uislamu kwa usahihi.
Inategemea kiwango cha uelewa wa mtu.Kwa hivyo hoja nzima haitufikishi popote, na haikufikiriwa kwa kina.
Hata mimi sioni kosa lako hapo Sheikh labda ungekuwa umepotosha kwenye mada na kuweka vitu vya uwongo hapo ingekuwa kweli hata mimi kuna rafiki yangu mkiristo ambaye nimesoma nae miaka mingi alikuwa anaamini muislamu ukishika dini lazima uwe na majibu na Qu'ran ina majini baada miaka mingi tulikutana siku za karibuni aliniona nipo kisheikh aliniona kuhusu majini nikamuelimisha akajiona alikuwa gizani sana kuamini dhana potofu..Nakujibu Tu kwakuwa nakuheshimu
Kwakuwa unaona watu bado wanaonyesha kupinga haina maana kwamba hawajifunzi,kinachobaki hapa ni ushabiki wa Dini Tu.
Na sitarajii wote wataelewa Ila hao wachache watao elewa inatosha,kwani Nabii Nuhu aliwalingania watu Kwa miaka kibao lakini walio mkubali ni 80 Tu. Kwahiyo kwenye kazi ya da'wa kazi yako ni kufikisha Tu na Allah ndio muwezeshaji
Tunaambiwa tufikishe walau Aya moja Tu kuwafahamisha watu ujumbe wa Mwenyezi Mungu,watu wengine huwezi kutana nao misikitini au makanisani Bali tunakutana humu na kuelimishana.
Nashangaa tatizo liko wapi.
Wasio waislamu karibia wote kama sio baadhi Yao wanaamini Uislamu ni Dini ya majini,sasa Mimi nimeonyesha Uislamu wenyewe hauko hivyo Bali watu wake ndio wako hivyo,je nimefanya vibaya kusema haki?
Uongo ukiachwa uendelee'' mwisho wa siku unakubalika kuwa kweli,ni juu yetu kusema hii kweli na hii ni Uongo.
Shukrani.
Nikikujibu 42, jibu langu linatufikisha wapi katika mjadala huu?Inategemea kiwango cha uelewa wa mtu.
Nadharia yangu ni kuwa.
"Kitu chochote kinakufikisha mahala pengine"
Hivyo kujifunza hoja yoyote kunafaa.
Na sio kukanusha kanusha kitu chochote.
Naomba unielimishe jua linazama bipi kwenye matope na kwenda kumsujudia Mungu?Sisi hatuelimishani mitandaoni sisi tunaenda kukaa chini kusomeshwa hatufichi kitu sisi
Sio kama nyie pastor akisema hakuna kuuliza ndo imepita iyo
Sasa kati yetu na sisi nani kuna walakini mkubwa mno?
Nitafurahi kwa jibu jipya na nitalifanyia kazi ya kulielewa vizuri zaidi.Nikikujibu 42, jibu langu linatufikisha wapi katika mjadala huu?
Jazakallahu kheir Al akhy adriz hakika umetoa maelezo mazuri sana binafsi nimefurahi Sana Kwa maoni yako na Busara zako.Hata mimi sioni kosa lako hapo Sheikh labda ungekuwa umepotosha kwenye mada na kuweka vitu vya uwongo hapo ingekuwa kweli hata mimi kuna rafiki yangu mkiristo ambaye nimesoma nae miaka mingi alikuwa anaamini muislamu ukishika dini lazima uwe na majibu na Qu'ran ina majini baada miaka mingi tulikutana siku za karibuni aliniona nipo kisheikh aliniona kuhusu majini nikamuelimisha akajiona alikuwa gizani sana kuamini dhana potofu..
Sasa dhana hizo zipo sana na ni vizuri kubainisha wazi na kuweka sawa inapopatikana nafasi ,kuhusu watu kutukana kwa trend yao ya matusi mbona huu uzi haujachafuliwa kabisa kwa jinsi ninavyoona mimi swala hilo haliwezi kuwa sababu ya kutobainishwa ukweli na upotofu na nakupa kongole kwa kufuata kanuni nzuri ya majadiliano hauna jazba wala hakuna uliowatukana wala kuwajibu vibaya hata wale wazee wa lugha chafu umeenda nao kwa busara na kuwapuuza kwani kwenye uzi wake Akhi wa nasahau kwa waislamu wa hapa kuna watu wengi walikuja kutukana dini na kukazuka vita vikali mule na mabishano ukilinganisha na huu hapa kumetulia kabisa.
Vilevile kuna mtu kama Atufigwegwe god yeye ametoa ushuhuda kuhusu yeye binafsi kushirikiana na jini na akapewa nasahau humu pengine huenda uzi huu ukamfanya abadilike kwani katika wema hakuna kudharau jambo haswa jambo na kila mtu atalipwa kwa kile alichokinuia naamini nia yako ilikuwa na ni njema kabisa..
You are neither here, nor there.Nitafurahi kwa jibu jipya na nitalifanyia kazi ya kulielewa vizuri zaidi.
Kumbuka kila jibu ni jibu sahihi kwa mjibuji.
Shida ipo sehemu moja tu wakristo wengi hawana elimu juu ya uislam kwaiyo wanamezeshana propaganda sana juu ya uislam.
Lakini bado sioni tatizo kuitwa wafuga majini kama ufugi uwezi chukia kitu ukiona unakasilika ujue unayafuga.
a matter is always occupy space.You are neither here, nor there.
A barrel of malarkey.a matter is always occupy space.
even if it is in the form of spirit.
so i am somewhere residing.
is any intellectual tank forfeiting seconds on malarkey barrel ?A barrel of malarkey.