Waislamu wengi hawaufahamu uislamu wao.
Maimamu wao hawaambii kabisa namna mwislamu mtu na mwislamu Jini wanayoshiri pamoja kwenye dini yao, hadi wamwamini sana muumini huyo ndio wana mwambia hiyo habari
Mi nikiongea nao najua uelewa wao huwa nawaacha tu.
Uko ushirika mkubwa sana kati ya baadhi mashehe na majini maislamu ndio maana unaona kuwa baadhi ya mashehe wanatabiri nyota na kuagua na kuganga wanafanya hivyo kwa kuwezeshawa na majini
Na mwasisi ni Mtume Muhammadi mwenyewe.
Alikuwa anashiri dini pamoja na majini kama alivyoshiriki na waislamu watu.