Waislamu Mnafeli wapi?

Waislamu Mnafeli wapi?

Hujajibu swali nililouliza, umeleta mambo ya evolution ambay mimi hata sijayasema.

Halafu umekubali kwamba hatukupewa uhuru wa kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe, kimsingi suala zima la kwamba tuna uhuru wa kuchagua linayeyuka hapo.

Mungu kumfanya mtu ajikute amezaliwa tu, bila ya kukubali kuzaliwa, ni kumnyima huyo mtu uchaguzi wa kuamua azaliwe au asizaliwe. Na hivyo, chochote kitakachotokea katika maisha hayo, huyo mtu hawezi kusemwa kwamba ana uhuru wa kuchagua.

Hana hata uhuru wa kuchagua azaliwe au asizaliwe!

Utasemaje ana uhuru katika kuzaliwa huko?

Yani umemfanya mtu mtumwa, kajikuta yuko shambani kwako. Halafu unasema mtumwa huyu ana uhuru wa kuchagua kulima au kumwagilia maji shamba.

Wakati hata hujamuuliza kama anataka kuwa mtumwa au hataki.

Sasa hapo napo unasema huyu mtumwa ana uhuru?
Mfano wako wa mtu shambani uko very clear
 
Hujajibu swali nililouliza, umeleta mambo ya evolution ambay mimi hata sijayasema.

Halafu umekubali kwamba hatukupewa uhuru wa kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe, kimsingi suala zima la kwamba tuna uhuru wa kuchagua linayeyuka hapo.

Mungu kumfanya mtu ajikute amezaliwa tu, bila ya kukubali kuzaliwa, ni kumnyima huyo mtu uchaguzi wa kuamua azaliwe au asizaliwe. Na hivyo, chochote kitakachotokea katika maisha hayo, huyo mtu hawezi kusemwa kwamba ana uhuru wa kuchagua.

Hana hata uhuru wa kuchagua azaliwe au asizaliwe!

Utasemaje ana uhuru katika kuzaliwa huko?

Yani umemfanya mtu mtumwa, kajikuta yuko shambani kwako. Halafu unasema mtumwa huyu ana uhuru wa kuchagua kulima au kumwagilia maji shamba.

Wakati hata hujamuuliza kama anataka kuwa mtumwa au hataki.

Sasa hapo napo unasema huyu mtumwa ana uhuru?
Na hujajibu swali langu
Kwamba kabla hujazaliwa ulikuwa hai?
Nakuja kukujibu
 
Hujajibu swali nililouliza, umeleta mambo ya evolution ambayo mimi hata sijayasema.

Halafu umekubali kwamba hatukupewa uhuru wa kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe, kimsingi suala zima la kwamba tuna uhuru wa kuchagua linayeyuka hapo.

Mungu kumfanya mtu ajikute amezaliwa tu, bila ya kukubali kuzaliwa, ni kumnyima huyo mtu uchaguzi wa kuamua azaliwe au asizaliwe. Na hivyo, chochote kitakachotokea katika maisha hayo, huyo mtu hawezi kusemwa kwamba ana uhuru wa kuchagua.

Hana hata uhuru wa kuchagua azaliwe au asizaliwe!

Utasemaje ana uhuru katika kuzaliwa huko?

Yani umemfanya mtu mtumwa, kajikuta yuko shambani kwako. Halafu unasema mtumwa huyu ana uhuru wa kuchagua kulima au kumwagilia maji shamba.

Wakati hata hujamuuliza kama anataka kuwa mtumwa au hataki.

Sasa hapo napo unasema huyu mtumwa ana uhuru?
"Mtu mtumwa shambani mwako"

Ni wapi niliposema kwamba mwenyezi Mungu akampa huyo mtu aliyemuumba jembe na zana za kilimo akamwambia kuwa lima na mazao yote nayahitaji mimi nitakupa chakula tu??

Wewe ulihitaji uhuru upi? Uwe na mbawa?

Unataka uwe na uhuru wa kuchagua mahali pa kuzaliwa

Rejea
Kutoka 20:12
Na jibu hili swali kwamba ulikuwa hai kabla hujazaliwa??
 
Mfano wako wa mtu shambani uko very clear
Nashangaa wanaojifanya hawaelewi hawaelewi nini.

Ukweli kwamba watu hatupewi uchaguzi wa kuamua tuzaliwe au tusizaliwe, kabla ya kuzaliwa, unaondoa kabisa hoja ya kwamba tuna uhuru wa uchaguzi.

Hatuna hata uhuru wa kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe, hatuna uhuru wa kuchagua tunazaliwa wapi, na wazazi gani, na vinasaba gani, mwaka gani etc.

Haya ni mambo yanayokuja kuathiri maisha yetu sana.

Sasa kwa nini tunajidanganya kwamba tuna uwezo mkubwa wa kuchagua mambo ikiwa hata hatuna uchaguzi wa kuzaliwa au kutozaliwa, kuzaliwa wapi, kuzaliwa lini, kuzaliwa na wazazi gani etc?
 
Nashangaa wanaojifanya hawaelewi hawaelewi nini.

Ukweli kwamba watu hatupewi uchaguzi wa kuamua tuzaliwe au tusizaliwe, kabla ya kuzaliwa, unaondoa kabisa hoja ya kwamba tuna uhuru wa uchaguzi.

Hatuna hata uhuru wa kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe, hatuna uhuru wa kuchagua tunazaliwa wapi, na wazazi gani, na vinasaba gani, mwaka gani etc.

Haya ni mambo yanayokuja kuathiri maisha yetu sana.

Sasa kwa nini tunajidanganya kwamba tuna uwezo mkubwa wa kuchagua mambo ikiwa hata hatuna uchaguzi wa kuzaliwa au jutizaliwa, kuzaliwa wapi, kuzaliwa lini, kuzaliwa na wazazi gani etc?
Kwa hivyo uhuru wa kuzaliwa ndio unaouhitaji??

Na je uhuru a kuishi?
Kupumua?
Kufanya yale utakayo katika ardhi uliyopo?

Kama unahitaji uhuru hup jibu kwanza swali hili

Ulikuwa hai kabla ya kuzaliwa??
Namalizia ka kusema kwamba

Mwanao hawezi kuwa na sauti zaidi yako kama anaishi kwako bado
 
"Mtu mtumwa shambani mwako"

Ni wapi niliposema kwamba mwenyezi Mungu akampa huyo mtu aliyemuumba jembe na zana za kilimo akamwambia kuwa lima na mazao yote nayahitaji mimi nitakupa chakula tu??

Wewe ulihitaji uhuru upi? Uwe na mbawa?

Unataka uwe na uhuru wa kuchagua mahali pa kuzaliwa

Rejea
Kutoka 20:12
Na jibu hili swali kwamba ulikuwa hai kabla hujazaliwa??
Mungu wako anawalazimisha watu wafanye kazi bila ya watu kusaini contract ya kukubali hiyo kazi. Halafu unasema huyu Mungu kawapa watu uhuru wa kuchagua.

Wewe unaona hili jambo limekaa sawa?
 
Kwani ni wapi walipoandika kamba mwenyezi mungu alimuagiza mtu huyo afanye kazi katika shamba lake??
Kwa ajili yake??
Wewe hata hujaelewa analogy.

Inawezekana ndiyo sababu hatuelewani.
 
Mungu wako anawalazimisha watu wafanye kazi bila ya watu kusaini contract ya kukubali hiyo kazi. Halafu unasema huyu Mungu kawapa watu uhuru wa kuchagua.

Wewe unaona hili jambo limekaa sawa?
Ulipozaliwa ulisaini Contract?

*Rum 1: 28
 
Ulipozaliwa ulisaini Contract?

*Rum 1: 28
Hivi mpaka sasa hujaelewa swali langu?

Sijasaini.

Kwa nini Mungu wako hakunipa nafasi ya kusaini contract niingie katika maisha haya kwa kukubali mwenyewe?

Kwa nini nimejikuta nimezaliwa tu bila mimi mwenyewe kukubali kuzaliwa?

Hujajibu swali hili.

Na kama sikuwa na uchaguzi wa kuchagua nizaliwe au nisizaliwe, utasemaje nina uchaguzi baada ya kuzaliwa?
 
Hivi mpaka sasa hujaelewa swali langu?

Sijasaini.

Kwa nini Mungu wako hakunipa nafasi ya kusaini contract niingie katika maisha haya kwa kukubali mwenyewe?

Kwa nini nimejikuta nimezaliwa tu bila mimi mwenyewe kukubali kuzaliwa?

Hujajibu swali hili.

Na kama sikuwa na uchaguzi wa kuchagua nizaliwe au nisizaliwe, utasemaje nina uchaguzi baada ya kuzaliwa?
Yohana 1:13 waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

Hakuna aliyejichagulia kuzaliwa hapa alipo leo kwa maana n Mungu pekee mwenye uwezo wa kufanya hivyo kwa maana anafahamu toka mimba zetu hzijatungwa mpaka siku zinakufa sisi tutakuwa watu wa aina gani.

Mtu huzaliwa kimwili na wazazi wake lakini huzaliwa kiroho kwa mapenzi yake. Na huo ndio uhuru uliokuwa unauhitaji
Naona hizi reference nazoweka huzisomi.
 
Yohana 1:13 waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

Hakuna aliyejichagulia kuzaliwa hapa alipo leo kwa maana n Mungu pekee mwenye uwezo wa kufanya hivyo kwa maana anafahamu toka mimba zetu hzijatungwa mpaka siku zinakufa sisi tutakuwa watu wa aina gani.

Mtu huzaliwa kimwili na wazazi wake lakini huzaliwa kiroho kwa mapenzi yake. Na huo ndio uhuru uliokuwa unauhitaji
Naona hizi reference nazoweka huzisomi.
Nakuuliza, kwa nini Mungu hatupi nafasi ya kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe?

Unaandika, Mungu hatupi nafasi ya kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe.

Hapo hujajibu swali, umekubali tu Mungu hatupi nafasi ya kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe.

Na kama hajatupa nafasi ya kuchagua katika hili, huwezi kusema katupa nafasi ya kuchagua.
 
Nashangaa wanaojifanya hawaelewi hawaelewi nini.

Ukweli kwamba watu hatupewi uchaguzi wa kuamua tuzaliwe au tusizaliwe, kabla ya kuzaliwa, unaondoa kabisa hoja ya kwamba tuna uhuru wa uchaguzi.

Hatuna hata uhuru wa kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe, hatuna uhuru wa kuchagua tunazaliwa wapi, na wazazi gani, na vinasaba gani, mwaka gani etc.

Haya ni mambo yanayokuja kuathiri maisha yetu sana.

Sasa kwa nini tunajidanganya kwamba tuna uwezo mkubwa wa kuchagua mambo ikiwa hata hatuna uchaguzi wa kuzaliwa au jutizaliwa, kuzaliwa wapi, kuzaliwa lini, kuzaliwa na wazazi gani etc?
Mkuu una hoja za msingi sana unafafanua kwa lugha inayoeleweka.

Sema mara nyingi mnaojadiliana nao hawataki kukubali kuelewa
 
Nakuuliza, kwa nini Mungu hatupi nafasi ya kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe?

Unaandika, Mungu hatupi nafasi ya kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe.

Hapo hujajibu swali, umekubali tu Mungu hatupi nafasi ya kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe.

Na kama hajatupa nafasi ya kuchagua katika hili, huwezi kusema katupa nafasi ya kuchagua.
Mungu hatupi nafasi hiyo kwa sababu
Yeye ndio mpangaji wa kila kitu na ndio muamuzi wa kila kitu katika dunia hii
 
Kwani ni wapi walipoandika kamba mwenyezi mungu alimuagiza mtu huyo afanye kazi katika shamba lake??
Kwa ajili yake??
Huo ni mfano kuhusu hoja ya kuwa huru kuchagua mkuu. Si mstari wa biblia wala maagizo ya mungu
 
Kumekuwa na dhana kwamba waislamu wanafuga majini kitu ambacho si kweli kabisa na hata Dini hairuhusu hivyo.

Mwenyezi Mungu anasema hakuumba majini na watu Ila isipokuwa wamwabudu Mola wao,ebu tuangalie Maandiko;

((Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.))
51:56

Kwahiyo Majini na wanadamu waliumbwa Kwa lengo moja Tu la kumwabudu Mola wao na sio vinginevyo.

Lakini bahati mbaya Sana kuna baadhi ya waislamu ambao hushirikiana na majini katika mambo Yao,na hii sio waislamu Tu hata baadhi ya watu ambao sio waislamu hufanya hivyo pia,iwe Kwa kupiga ramli,kufanya miujiza huko kwenye nyumba za ibada na kadhalika.

Ila mazungumzo yangu Leo hapa nazungumza na waislamu, kuna baadhi ambao huwa na haya maruhani/majini ambayo wenyewe huyaita majini Waziri kwakuwa Tu yanawasaidia katika mambo Yao. Naomba niwaambie kuwa hakuna majini mazuri ambayo yanakaa mwilini mwa mtu hata kidogo,hayo ni mabaya na machafu,jini ambaye ameumbwa ili kumwabudu Mola wake hawezi kuja kufanya makazi katika mwili WA mtu kwakuwa hayo ni makosa na amekiuka sababu ya kuumbwa kwake kabisa.

Wanao mwabudu Mola wao wapo kwenye makazi Yao ya kijini na wanaendesha Maisha Yao huku wanamwabudu Mola wao,kwahiyo acheni kuwa watumwa WA hayo majini,kwani hakika mwisho wenu utakuwa sio mzuri.

Ebu tuangalie maongezi haya ya majini kama yalivyoelezwa katika Qur'an ;

((Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.))
72:6


Haya ni maongezi ya Majini baada ya kusikia Qur'an na kumwamini Mola wao,ndio wanahadithia kuwa kuna wanadamu wanaume ambao walikuwa wanatafuta hifadhi toka Kwa majini lakini matokeo yake wakazidishiwa madhambi. Na huo ndio ukweli kuna watu ambao wanaamini majini kuwa ndio watawalinda hapa duniani,na huwa hawafanyi Jambo lolote mpaka washaurieni na majini wao,hakika hiyo ni kufuru kubwa kumwamini kiumbe wa Mwenyezi Mungu kuwa ndio anakuwezesha kufanikiwa Kwa mambo hapa duniani.

Na mwisho wa siku shetani/ hayo majini machafu ambayo yameacha kusudio la kuumbwa kwao na kuja kushirikiana na wanadamu,mwisho wa siku yatawakana na kuwaambia ukweli, tuangalie Aya ifuatayo;

(Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu: Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu).
14:22


Hakika kuna Aya nyingi Sana juu ya majini kuwapotosha wanadamu na kuwaingiza Motoni,kubwa ni kujua kwamba hakuna majini ambao wanatakiwa kushirikiana na binadamu kwani wao Wana Maisha Yao na wanadamu tuna yetu,ushirikiano wowote baina yetu ni upotovu na mwisho wake ni jehenamu.

Mambo mengi na Mda ni mchache!

Ni hayo Tu!
Wewe nani kakutuma kusema haya hivi kwa Wakristo Lucifer mnamtaja sana ni shetani mkuu mnawasingizia waislam sana.
Hivi unaijua Freemason na siri ya msururu wa madhehebu ya wakristo
Katoliki, Lutheran,presbyterian,wasabato, Anglican,Menonite,Living water n.k
Hivi unajua kwenye mlima wa Zayuni shetani alisema nitawaingilia huko kwenye makanisa Yao?
Hivi unajua madhehebu ya wakristo ya walokole yalianzia marekani mji wa Kansas city mwaka 1904 kama watu wanao rap kwa kuamini ili umuabudu mungu unatakiwa kupiga makelele usikike wakati ukweli ni kwamba unaweza muabudu mungu kimya kimya.
Wakristo msiwasingizie waislam issue za majini wakati freemason ipo.
Uislam ni dini ya amani.
Kula ugali wako lala abudu mungu wetu mmoja usihoji vingine
 
Wewe nani kakutuma kusema haya hivi kwa Wakristo Lucifer mnamtaja sana ni shetani mkuu mnawasingizia waislam sana.
Hivi unaijua Freemason na siri ya msururu wa madhehebu ya wakristo
Katoliki, Lutheran,presbyterian,wasabato, Anglican,Menonite,Living water n.k
Hivi unajua kwenye mlima wa Zayuni shetani alisema nitawaingilia huko kwenye makanisa Yao?
Hivi unajua madhehebu ya wakristo ya walokole yalianzia marekani mji wa Kansas city mwaka 1904 kama watu wanao rap kwa kuamini ili umuabudu mungu unatakiwa kupiga makelele usikike wakati ukweli ni kwamba unaweza muabudu mungu kimya kimya.
Wakristo msiwasingizie waislam issue za majini wakati freemason ipo.
Uislam ni dini ya amani.
Kula ugali wako lala abudu mungu wetu mmoja usihoji vingine
Kwani mkuu unadhani Mimi nipo upande gani
 
Nakwambia hivi.

1.Hujathibitisha Mungu yupo.
2. Hujaeleza kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba dunia inayoweza kuwa na maovu, wakati aliweza kuumba dunia isiyowezekana kuwa na maovu.
3. Unajitahidi kujibu kwa kusema kuna maisha huko mbeleni.Hujathibitisha kuna maisha huko mbeleni.
4. Hujaeleza kwa vipi tuna uhuru wa kuchagua wakati hata hatuchagui tunazaliwa au hatuzaliwi, tunazaliwa wapi, lini, na wazazi gani etc.

Huwezi kujibu maswali haya in a logically consistent way, kwa sababu huyo Mungu unayemsema hayupo, ni wa kutungwa na watu tu. Ni wa uongo tu.

Ndiyo maana huyo Mungu anabaki kuwa jambo la imani, hayupo, hawezi kuthibitishika yupo, kwa sababu hayupo.

Ni suala la kujidanganya yupo kwa imani tu.
Umekuwa unaikumbatia Sana hoja ya Uhuru WA kuchagua kuzaliwa,naona hii ndo inakubeba Sana

Naomba unijibu swali hili!

Je unakuwa hai Kwanza kabla ya kuzaliwa?
 
Back
Top Bottom